Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😂😂😂nyiee pandeni nasema panden
Swala sio project yenyewe, Project tunaipenda na tunaiunga mkono, ila utekelezaji ndiyo unasikitisha. Kaangalie Sgr za umeme za China alafu linganisha na huo mkweche tulioletewa. Unajiuliza nani aliyepitisha na kukubali hayo matreni mabovu yanunuliwe?TUSIWE NEGATIVE SANA kama imepata changamoto itatatuliwa hakuna shida hapo. Changamoto kitu cha kawaida, na mwanzo ni mgumu karibu kwa kila kitu. Baadhi yenu mlisema Bwawa la Nyerere ni WHITE ELEPHANT ama mnataka kusema kitu chochote atakachoanzisha mwafrika ni White Elephant??
Nasubiria watu.........wame.......baada ya trend ya.........kudondoka
But the govt. should formulate modalities to Task those dudes involved in the misuse or sabotage.We need to accommodate the SGR othwise money is gone from tax payer
Pole pole alishawahi kusema ili tuendelee inabidi tufundishane adabu ,je unajua adabu gani anayozungumzia polepole? Wachina ,wasingapore wameweza ,wahenga wanasema ukicheka na nyani utavuna mabua kwahiyo tusiwachekee "manyani".Kama mwendokasi tu umewashinda hata hiyo sgr haitadumu. Kwanza tumeletewa mtumba ambao imetumika miaka kumi huko Korea kusini
Kumbe nako huku Esijiara kuna wapiga debe? Nimecheka sana.nyiee pandeni nasema panden
Hqhahahahahahahahaaaaaaaa mpwaaa nchi tamuhiiii ajira kilasehemuuKumbe nako huku Esijiara kuna wapiga debe? Nimecheka sana.
Miaka kumi kwa injini ya treni ni michache Sana,zile za zamani ni tangu 1970s hukoKama mwendokasi tu umewashinda hata hiyo sgr haitadumu. Kwanza tumeletewa mtumba ambao imetumika miaka kumi huko Korea kusini
Hii ndio njia pekee kwa nchi yetu, kuwapa kina Kadogosa kuendesha hizi projects ni kupoteza fedha za wananchi.Serikali waachane na biashara ,wafanye PPP ,kazi ya serikali iwe monitoring tu ,wawape private sector kisha wawape profit margin ya kuweza kurun bizness ,kulipa mishahara na faida inayoweza kufanya maintanance na kuwekeza zaidi ila sio Super profit.
Unajua maana ya white elephant project?It's another white elephant project. Kama nchi hatujawahi kufanya kitu kwa ufanisi tangu tupate uhuru. Angalia mwendokasi tu imewashinda, we plan, design and construct....baada ya hapo wanakuja wataalam wa kuhujumu na kazi inaishia hapo.
Acha uchuro 🐼SGR imekufa Kibudu Kabla Ya Kazi, CCM Inacheka Tu
Hapo Kuna Uchoro GaniAcha uchuro 🐼
Sijui, nifahamishe mkuu!Unajua maana ya white elephant project?
Sgr siyo treni ya umeme Wala yenye umbo la risasi,sgr ni gauge ya relief,china Ina hela,nchi yako fukara,Kodi unakwepa,tozo unapinga,hela za kununua bullet train zitatoka wapi?Swala sio project yenyewe, Project tunaipenda na tunaiunga mkono, ila utekelezaji ndiyo unasikitisha. Kaangalie Sgr za umeme za China alafu linganisha na huo mkweche tulioletewa. Unajiuliza nani aliyepitisha na kukubali hayo matreni mabovu yanunuliwe?
Hii ndio njia pekee kwa nchi yetu, kuwapa kina Kadogosa kuendesha hizi projects ni kupoteza fedha za wananchi.