peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Mpeni DP W
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ten percentSwala sio project yenyewe, Project tunaipenda na tunaiunga mkono, ila utekelezaji ndiyo unasikitisha. Kaangalie Sgr za umeme za China alafu linganisha na huo mkweche tulioletewa. Unajiuliza nani aliyepitisha na kukubali hayo matreni mabovu yanunuliwe?
Tutafika tukiwa tumechoka sana au pengine hatutafika kabisa. Kwa nini kile kinachaonzishwa na kusimamiwa na sisi wenyewe hapa nchini haraka sana kinadorora katika hatua za mwanzo tuu, halafu wanakuja watu e.g. ww na wanatoa maelezo ya utetezi na blaa blaa nyingi.? Mbona huko kwingine miradi inawekewa time frame na viashiria wakati wa majaribio ili baadaye Mradi utakapoanza full scale yasijitokeze madhila kama hayo? Sasa waliokwama hapo wanarudi Dar (kwa usafiri upi na gharama za nani)au wanasubiri yafanyike matengenezo? (Wataishije hapo porini).TUSIWE NEGATIVE SANA kama imepata changamoto itatatuliwa hakuna shida hapo. Changamoto kitu cha kawaida, na mwanzo ni mgumu karibu kwa kila kitu. Baadhi yenu mlisema Bwawa la Nyerere ni WHITE ELEPHANT ama mnataka kusema kitu chochote atakachoanzisha mwafrika ni White Elephant??
syo faida tu na uhai wa watu ulindweMradi huu lazima uangaliwe kwa umakini mkubwa sana,ili kuleta faida kwa umma.
Huyo sirikal unamjua?Ila wabongo haki mmechoka aisee. Kila anaye comment ni povu tu la negative. Dah! Serekali angalieni hili swala. Wananchi wanachuki sana na serekali ni vile tu hamtaki kufungua masikio msikie.
Kwani hizi mambo zilishaanza safari commercial? Inawezekana zipo kwenye majaribio jamani. Panapo majaribio treni inaweza kusimama popote jamani. Kwann mnawaza limebuma?
Lakini pia Inawezekana kuna changamoto na ndio maana ya majaribio ili kabla ya kuanza safari officially hizi changamoto zote ziwe zimetatuliwa
Pamoja na yote, serekali kaeni kwa kutulia sana, wananchi wana sumu nyingi sana mioyoni mwao juu yenu
Yeah! Vijana hawachelewi kujiongeza na kuyaona maokoto.Hqhahahahahahahahaaaaaaaa mpwaaa nchi tamuhiiii ajira kilasehemuu
Zinatoka kwenye bandar,mbuga za wanyama,misitu,maziwa,migod,gas,madini,mifugo,watalii,Sgr siyo treni ya umeme Wala yenye umbo la risasi,sgr ni gauge ya relief,china Ina hela,nchi yako fukara,Kodi unakwepa,tozo unapinga,hela za kununua bullet train zitatoka wapi?
Kwani imeishaanza kufanya kazi ama ni majaribio! Kuna vitu vingi sana vilianza hata huko kwa wazungu na vikapata changamoto za hapa na pale na bado wakafanyia marekebisho na wakatoboa. Kama una uhakika kuwa safari zimeanza tafadhali sema na tupe RATIBA.Tutafika tukiwa tumechoka sana au pengine hatutafika kabisa. Kwa nini kile kinachaonzishwa na kusimamiwa na sisi wenyewe hapa nchini haraka sana kinadorora katika hatua za mwanzo tuu, halafu wanakuja watu e.g. ww na wanatoa maelezo ya utetezi na blaa blaa nyingi.? Mbona huko kwingine miradi inawekewa time frame na viashiria wakati wa majaribio ili baadaye Mradi utakapoanza full scale yasijitokeze madhila kama hayo? Sasa waliokwama hapo wanarudi Dar (kwa usafiri upi na gharama za nani)au wanasubiri yafanyike matengenezo? (Wataishije hapo porini).
Hatutaki mitumba .Kodi mtukate halafu mtuletee mitumba?Miaka kumi kwa injini ya treni ni michache Sana,zile za zamani ni tangu 1970s huko
Aisee; Hapo ilipokwama, kwa mujibu wa video clip, ilikuwa inaenda wapi na ilibeba nini? Kama haikuwa na abiria; basi mkuu, nasitisha na naondoa karata yangu. Ngoma ichezwe.Kwani imeishaanza kufanya kazi ama ni majaribio! Kuna vitu vingi sana vilianza hata huko kwa wazungu na vikapata changamoto za hapa na pale na bado wakafanyia marekebisho na wakatoboa. Kama una uhakika kuwa safari zimeanza tafadhali sema na tupe RATIBA.
Nadhani muonekano wa treni hutegemea imeundwa itembee kwa spidi gani. Mfano hapa Ujerumani kuna treni zinaitwa ICE ( Intercity Express ) ambazo zinatembea mpaka spidi 300km/h. Pia kuna Regional Trains ( RE , RB, S-Bahn ) ambazo hutembea kati ya spidi 80km/hr - 150km/hr.Mbona treni zingine za SGR zinazotumia umeme huko kwingineko duniani zina muonekano bora na mzuri kuliko hii ya Tanzania?
Ukweli unajulikana. Waswahili wanafanya hujuma ili mabasi ya viongozi yasikose soko. Esther Bus (Mwigulu - Waziri), Shabiby Bus (Shabibu - Mbunge), Abood Bus (Abood - Mbunge), Musukuma Bus (Musukuma - Mb) n.k.Mradi huu lazima uangaliwe kwa umakini mkubwa sana,ili kuleta faida kwa umma.