Video: Treni ya SGR yadaiwa kusimama baada ya kupata hitilafu eneo la Gongo la Mboto

Video: Treni ya SGR yadaiwa kusimama baada ya kupata hitilafu eneo la Gongo la Mboto

Status
Not open for further replies.
Ukweli unajulikana. Waswahili wanafanya hujuma ili mabasi ya Sh

Ukweli unajulikana. Waswahili wanafanya hujuma ili mabasi ya viongozi yasikose soko. Esther Bus (Mwigulu - Waziri), Shabiby Bus (Shabibu - Mbunge), Abood Bus (Abood - Mbunge), Musukuma Bus (Musukuma - Mb) n.k.

Viongozi wakubwa pia wana hisa kwenye kampuni hizo zenye zaidi ya mabasi 600 kwa ujumla wake. Wenye akili tunajua ni hujuma.

R.I.P JPM
Ni vizuri kuchua tahadhali , lakini mbona usafiri wa train na bus na serve purpose tofauti?,
Mfano: ukipanda train utaweza kushuka dumila?
 
Pole pole alishawahi kusema ili tuendelee inabidi tufundishane adabu ,je unajua adabu gani anayozungumzia polepole? Wachina ,wasingapore wameweza ,wahenga wanasema ukicheka na nyani utavuna mabua kwahiyo tusiwachekee "manyani".
Wengine hatukulelewa kukalipia - mama

Haya sasa kazi tunayo
 
Hakuna mradi unaoweza kuendeshwa na Serikali halafu ukawa na ufanisi. Serikali imeshindwa mambo yote muhimu, halafu tutegemee itaweza kuendesha SGR?

Hata kama mabasi yote yatazuiwa kufanya biashara, ikaachwa SGR pekee, bado itapata hasara, kama ilivyo kwa ATCL.
 
It's another white elephant project. Kama nchi hatujawahi kufanya kitu kwa ufanisi tangu tupate uhuru. Angalia mwendokasi tu imewashinda, we plan, design and construct....baada ya hapo wanakuja wataalam wa kuhujumu na kazi inaishia hapo.
Bila kuwashika masisiem a.k.a. wazee wa kuhujumu mashirika ya umma na kuwaweka ndani
Hakuna kitu kitafanikiwa ndani ya nchi
 
Mtu kapita tu tena na gari kakuta train
imesimama conclusion tayari imeharibika.

Train ipo kwenye majaribio mtu hujui kama ipo kwenye signal stop testing, break testing ya kubeba mabehewa makubwa or whatever.

Inahitaji ‘leading statement’ tu kwenye kichwa cha habari, asilimia kubwa ya watanzania kwenda na herd thinking.
 
Swala sio project yenyewe, Project tunaipenda na tunaiunga mkono, ila utekelezaji ndiyo unasikitisha. Kaangalie Sgr za umeme za China alafu linganisha na huo mkweche tulioletewa. Unajiuliza nani aliyepitisha na kukubali hayo matreni mabovu yanunuliwe?
Kwahiyo unajilinganisha na China
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom