Ni vizuri kuchua tahadhali , lakini mbona usafiri wa train na bus na serve purpose tofauti?,Ukweli unajulikana. Waswahili wanafanya hujuma ili mabasi ya Sh
Ukweli unajulikana. Waswahili wanafanya hujuma ili mabasi ya viongozi yasikose soko. Esther Bus (Mwigulu - Waziri), Shabiby Bus (Shabibu - Mbunge), Abood Bus (Abood - Mbunge), Musukuma Bus (Musukuma - Mb) n.k.
Viongozi wakubwa pia wana hisa kwenye kampuni hizo zenye zaidi ya mabasi 600 kwa ujumla wake. Wenye akili tunajua ni hujuma.
R.I.P JPM
Wengine hatukulelewa kukalipia - mamaPole pole alishawahi kusema ili tuendelee inabidi tufundishane adabu ,je unajua adabu gani anayozungumzia polepole? Wachina ,wasingapore wameweza ,wahenga wanasema ukicheka na nyani utavuna mabua kwahiyo tusiwachekee "manyani".
Si kwell!Huyo sirikal unamjua?
Ulishawahi muona?
Hata wewe ni sirikal kama hujui
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bila kuwashika masisiem a.k.a. wazee wa kuhujumu mashirika ya umma na kuwaweka ndaniIt's another white elephant project. Kama nchi hatujawahi kufanya kitu kwa ufanisi tangu tupate uhuru. Angalia mwendokasi tu imewashinda, we plan, design and construct....baada ya hapo wanakuja wataalam wa kuhujumu na kazi inaishia hapo.
Mapema namna hii ?
Kodi yenyewe Kodi unayotoa wewe unayeishi chini ya Dola moja kwa siku?!Hatutaki mitumba .Kodi mtukate halafu mtuletee mitumba?
Unarukia tu mamboSijui, nifahamishe mkuu!
Una uhakika? Angalia usijekuwa wewe ndio unarukia tu mambo.Unarukia tu mambo
Kafulila aje atoe majibu yake.Kama nasikia BRT kwa sasa hakuna mabasi, sijui nini kitaufanya mradi huu uwe na matokeo CHANYA.
Sgr ya tz ni white elephant kivipi!?Una uhakika? Angalia usijekuwa wewe ndio unarukia tu mambo.
Kwahiyo unajilinganisha na ChinaSwala sio project yenyewe, Project tunaipenda na tunaiunga mkono, ila utekelezaji ndiyo unasikitisha. Kaangalie Sgr za umeme za China alafu linganisha na huo mkweche tulioletewa. Unajiuliza nani aliyepitisha na kukubali hayo matreni mabovu yanunuliwe?
Umefanya uvhocheziHapa hakuna treni Banaaa, huu ni mshipa tu
Hahahaha 🤣 🤣 🤣Umefanya uvhochezi