Video: Tuacheni utani, Kabendera anatia huruma

Kulikuwa na haja gani ya kumteka?, hilo si no swala LA TRA kumpelekea bill ya kodi kabla ya kumshitaki,
 
Kwaiyo anavuna alichopanda?

Ila kule sio sehemu mzuri maana atakuwa anafikiria mengi anayoyamiss uraiani na kujutia pia.
Dogo ungebahatika kujua nchi ilivyoliwa na inavyoliwa na hao wahuni unaoawaita vjongozi, nadhani ungeandamana uchi,

Hizo buku 7 unalipwa mwenyewe unaona umeyapatia maisha enhe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…