Video: Tuacheni utani, Kabendera anatia huruma

Video: Tuacheni utani, Kabendera anatia huruma

Hakuna al iyechukua pesa za escrow kwa kificho, pesa zote ni halali na waliochukua walilipwa pesa halali
Mpaka leo hatujui ni akina nani waliobeba kwenye mifuko,ila tunajua Tibaijuka tulijua maana alitumia bank.Hao waliochukua kwenye mifuko hakuna traces zao mpaka leo,ila wao wanajijua.Pia Eric alitakiwa kusiwe na trace yeyote inayoonyesha analipwa mamiolioni na the Economist.Kamwe hii kesi ya uhujumu uchumi isingemkuta.
 
Huyu jamaa tukiacha unafiki alimtukana sana Magufuli, mbaya alikuwa anatumia gazeti na maadui zetu wazungu... Tena aombe sana Mungu bado yupo hai, anajua Jamal Khashogy alicho fanyiwa baada ya kuichafua nchi yake na kukimbilia Marekani?



Sent using Jamii Forums mobile app
Alikatwakatwa vipande huko ubalozi wa Saudi Arabia, Istanbul Turkey akawekwa kwenye brief cases na kuodoshwa kuelekea Riyadh Saudi Arabia. Kama nilivyo ona kwa runinga ya CNN. Mchumba wake alibaki nje ya consulate akisubiri masikini ya mungu ! That was the most cruel operation I have ever heard in my entire life 😱 !
 
Kama wameshachunguza na kujua kosa lake ni kwa nini kila siku wanasema kwamba uchunguzi haujakamilika? Lakini pia kutokulipa kodi siyo kutakatisha pesa kosa analoshitakiwa nalo.
Usipolipa kodi serikali pesa hiyo unaipeleka wapi ? Huko uipelekapo kama kuwekeza au kufanyia jambo lolote ndio kutakatisha fedha. Maana fedha haramu inakua halali kupitia uchochoro ulioipitishia. That is money laundering!
 
Alikatwakatwa vipande huko ubalozi wa Saudi Arabia, Istanbul Turkey akawekwa kwenye brief cases na kuodoshwa kuelekea Riyadh Saudi Arabia. Kama nilivyo ona kwa runinga ya CNN. Mchumba wake alibaki nje ya consulate akisubiri masikini ya mungu ! That was the most cruel operation I have ever heard in my entire life 😱 !
Too Sad ila ndo hivyo,kuwasema wenye nguvu kuliko wewe na unawasema vitu ambavyo wapo wrong,hata kama upo right.Jiandae kwa lolote.
 
Wangapi wamesamehewa na kesi zao zilikuwa zinaendelea mahakamani ? Waliandika barua na pesa wakarudisha. Eric pia aliandika barua.
Hujui kuwa maandishi yake ndo yaliwafanya wazee wa kazi wamchunguze na kukuta kumbe analipwa mamilioni ya dola na hayalipii kodi.
Kila jambo hutokea kwa sababu.
Una uhakika na hilo?? Mbona mwanzo walisema wanachunguza uraia wake? Walipogonga mwamba ndipo wakaja na plan B". Watz sio wajinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika na hilo?? Mbona mwanzo walisema wanachunguza uraia wake? Walipogonga mwamba ndipo wakaja na plan B". Watz sio wajinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ujue ,ukiwa unaandika negatives za Magufuli ,hakikisha wewe msafi.Walimkamata na wakamtafutia makosa,bahati mbaya wakamkuta na hilo.Believe me wasingemkuta na kosa wala wasingempeleka mahakamani.
 
Tuambieni Kosa la pascal ni lipi? Kuleta habari za magazeti ya nje hapa jukwaan?

Halafu habari za hilo gazeti zimeletwa na watu wengi tu zaidi ya Member watatu nimewasoma wakinukuu hicho chanzo.

Watanzania tuache unafiki, wakati Mayalla analeta hapa hizo habari mlikuwa mnaunga mkono na kusema huo ndio ukweli wenyewe kuhu Rais Magufuli baada ya kuona jamaa kadakwa mnajifannya kumuonea huruma.

Labda Kosa la Mayalla ni kupita pita kwenye vyombo vya habari vya nje na kutuletea habari humu jamvini kitu ambacho watanzani wengu wavivu hawawezi kufanya.



Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo jamaa (P) ni zaidi ya umjuavyo jf hapa!
Labda kwa sababu umemjulia humu na kumsoma humu, lakini haiba yake ya nje huijui vyema!
... unajua ni kipi kilimfanya alete zile makala hapa?!
Je kwa nini baada ya Kabe, kuwekwa ndani aliacha kuleta chochote kuhusu zile makala au hata aseme zimeacha kuandikwa au lolote kuhusu mwenendo wa lile gazeti...!?
Hao wengine walioleta hizo makala hapa ni wamoja tu na P, maana unapaswa utambue hazikutafsiriwa na mtu mmoja kama yeye alivyojinadi!
Niishie hapa...
 
Huyo jamaa (P) ni zaidi ya umjuavyo jf hapa!
Labda kwa sababu umemjulia humu na kumsoma humu, lakini haiba yake ya nje huijui vyema!
... unajua ni kipi kilimfanya alete zile makala hapa?!
Je kwa nini baada ya Kabe, kuwekwa ndani aliacha kuleta chochote kuhusu zile makala au hata aseme zimeacha kuandikwa au lolote kuhusu mwenendo wa lile gazeti...!?
Hao wengine walioleta hizo makala hapa ni wamoja tu na P, maana unapaswa utambue hazikutafsiriwa na mtu mmoja kama yeye alivyojinadi!
Niishie hapa...

Paschal ndo alimwambia aandike hizo makala?
Yani kwa uwezo wako kwamba kama asingeleta hizo makala JF watu wasingesoma hiyo economics na ...
 
Huyu jamaa tukiacha unafiki alimtukana sana Magufuli, mbaya alikuwa anatumia gazeti na maadui zetu wazungu... Tena aombe sana Mungu bado yupo hai, anajua Jamal Khashogy alicho fanyiwa baada ya kuichafua nchi yake na kukimbilia Marekani?



Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu ni "maadui zenu."

Hujui kutofautisha 'nchi' na 'mtu'. Kiufupi wewe ujinga unakubabili. Jibidishe kuuondoa ujinga.

Ulivyoandika hapa inaonyesha huna uelewa (not informed).
Hujui waliomfanya Khashogy wanafanya nini kwa sasa!
 
Kwaiyo anavuna alichopanda?

Ila kule sio sehemu mzuri maana atakuwa anafikiria mengi anayoyamiss uraiani na kujutia pia.

Ni kweli sio kuzuri, ila kwa mwanaume ni jambo la kawaida sana katika maisha. Ndio maana nasema huyo Kabendera kaacha maisha sana kuliko aliyokuwa nayo Kalisinga Seth, au Hery Kitilya aliyekuwa boss wa TRA?
 
Kusudi la mada hii kama ilivyowasirishwa ni kutia watu woga. Yanayompata Kabendera "liwe fundisho kwa wengine."

Ndiyo maana ya mada hii. Ndio lengo la mada.

Kwa kutazama hiyo picha iliyowekwa hapo, sijui mleta mada amesoma vipi mwonekano wa Kabendera hadi akaona "anatia huruma!"
"Anatia huruma" kwa vile anaonewa kwa kubambikiwa kesi?
 
Ukivuna pesa ya beberu ujue kuna siku fimbo ya mnyonge itakushukia
 
Back
Top Bottom