Uchaguzi 2020 Video: Tundu Lissu akiondoka Tarime jioni hii kuelekea mkoa wa Manyara, hadi wanawake wameamua kumlinda!

Uchaguzi 2020 Video: Tundu Lissu akiondoka Tarime jioni hii kuelekea mkoa wa Manyara, hadi wanawake wameamua kumlinda!

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Tutakuwa tukibadilisha badilisha kutaja maeneo halisi atakayokuwepo mgombea kwa muda husika kutokana na jinsi tunavyoona kiusalama.

Pia hili gari analotumia Lissu msilichukulie poa maana yaliyomo humo yamo!
Tunaondoka Tarime kama hivyo!

 
Meko atakufa kwa pressure mwaka huu.

Anajuta sana kwanini aliwaziba wenzie midomo kwenye masuala ya kisiasa kwa miaka minne na nusu.

Alipokuwa anatamba peke yake alidhani watanzania wanampenda kumbe alikuwa anajidanganya.

Ona sasa mgombea wa CHADEMA anavyopokelewa kifalme kila apitapo.
 
Tutakuwa tukibadilisha badilisha kutaja maeneo halisi atakayokuwepo mgombea kwa muda husika kutokana na jinsi tunavyoona kiusalama. Pia hili gari analotumia Lissu msilichukulie poa maana yaliyomo humo yamo!
Tunaondoka Tarime kama hivyo!
Aisee siasa za bongo utasuuzika na roho yako.
 
Tutakuwa tukibadilisha badilisha kutaja maeneo halisi atakayokuwepo mgombea kwa muda husika kutokana na jinsi tunavyoona kiusalama. Pia hili gari analotumia Lissu msilichukulie poa maana yaliyomo humo yamo!
Tunaondoka Tarime kama hivyo!
Dah kuna baadhi tunaumia sana tukiona hii nyomi tunatamani tungekuwa sisi
 
Tutakuwa tukibadilisha badilisha kutaja maeneo halisi atakayokuwepo mgombea kwa muda husika kutokana na jinsi tunavyoona kiusalama. Pia hili gari analotumia Lissu msilichukulie poa maana yaliyomo humo yamo!
Tunaondoka Tarime kama hivyo!
Duh mkuu naona Mara imezizima hapo kweli mwaka huu ni mwaka wa CDM, Mungu awalinde katika safari yenu naamini hadi mwisho wa safari tutakuwa tumeelewana kabisa.
 
Meko atakufa kwa pressure mwaka huu.

Anajuta sana kwanini aliwaziba wenzie midomo kwenye masuala ya kisiasa kwa miaka minne na nusu.

Alipokuwa anatamba peke yake alidhani watanzania wanampenda kumbe alikuwa anajidanganya.

Ona sasa mgombea wa CHADEMA anavyopokelewa kifalme kila apitapo.
Hafi wala hana pressure, yuko fresh kabisa. Nyie campaign yenu imekuwa ni vilio tuu
 
Back
Top Bottom