DuuhHata mtupe Tanganyika yote hamwezi kulipia hata roho ya mtu mmoja ya mliowauwa 1964 na mnaoendelea kuuwa kila siku za uchafuzi / uchaguzi zinapofika, yaani tufaidi kwa kuuliwa ndugu zetu na kunajisiwa mama zetu na dada zetu huku mali zetu zikiporwa ? UNA AKILI KIJANA WEWE