Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaanza Upyaaaa!!
Huyo jamaa wa Dar Mpya siku hizi yuko Jambo Tv?
Huyo jamaa wa Dar Mpya siku hizi yuko Jambo Tv?
Namkubali sana ni jembe.
Hivi hiyo Nguo aliyovaa Mh Tundu Lissu yenye tumikanda kuna watu maalum inabidi wavae?😅
Huyo ndiye John Marwa? Aisee ndio jembe pekee lilibaki kuripoti habari za upinzani bila woga enzi zile za ujima...kwani Dar Mpya haikuwa mali yake.
..huyu jamaa anajitahidi sana ktk kuuliza maswali.
..John Marwa yuko tofauti na waandishi wengine.
😅😅😅Kwani huyu Tundu Antipas Lisu hakuwepo wakati wa UKAWA?
John Marwa huuiza swali reeeeefu hadi unazeleu, amateurs!..kwani Dar Mpya haikuwa mali yake.
..huyu jamaa anajitahidi sana ktk kuuliza maswali.
..John Marwa yuko tofauti na waandishi wengine.
Uone sasa Lissu anavyopuuzwa.hata wanachadema wenyewe wa kusikiliza hayo maneno yake hakuna