TANZANIA sio TanganyikaMkuu serikali iliyopo ni ya Tanganyika ila ililzimisha kibabe iwe serikali ya Tanzania.
Maana hakuna utaratibu uliofanyika wa kuunda muungano isipokuwa Nyerere (Tanganyika) alitamka asubuhi na decree ya kubinafsisha Tanganyika kuwa Tanzania!
Hatujawahi kuwa na serikali ya Muungano!
Mkuu are sure huu mfano uliotumia unaakisi the reality uliyo taka kupresent au unakimbia hoja kwa mfano mwepesi???
Za Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaKutumia Sheria zipi??
Mkuu serikali iliyopo ni ya Tanganyika ila ililazimisha kibabe iwe serikali ya Tanzania.Dawa ni kuwepo Serikali ya Tanganyika! Kila serikali ijiamlie mambo yake kasoro Ulinzi,Uhamiaji,mambo ya nje na ndani yawe ya Muungano kama ilivyo sasa!
Tanganyika na Zanzibar zisiwe nchi bali mataifa mawili ndani ya nchi moja ya Tanzania.
Mkuu, kimsingi unakubali kuwa Tanganyika tunatumia mabavu kuikalia Zanzibar! Kwa sababu tunajua kuwa Tanganyika ndio Tanzania!Hata ukiwa na kila kitu, bila sovereignty, wewe sio nchi!. Zanzibar haina dola, haina sovereignty hivyo sio nchi!.
P
Tanzania mpaka mwaka 1965 haikuwa kuwepo ila ilikuja mwaka 1965 ila Nchi ilikuwa ikiitwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar..TANZANIA sio Tanganyika
Unaweza ukazitaja??Za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mkuu nyakati hubadilika, himaya za uajemi, ugiriki, rumi, uingereza na usovieti zilisambaratika, siku watanganyika wakigutuka hutaamini, ni suala la muda tu!Mkuu mdukuzi , hilo haliwezekani aslaan!. Unakijua kilichomkuta Abdul Jumbe?. Nani atathubutu kufanya ujinga huo?. Tanzania ni nchi moja ya JMT, kitendo cha kujitoa muungano ni sawa na uhaini kwa JMT!, no one can dare do that!. Mwisho wa uwezo wao ni kwa vitimbakwiri kupiga tuu kelele!, there's nothing they can do!. Huu
Muungano wetu adimu na adhimu tutaulinda kwa gharama yoyote!.
P
✍️📝👍👌👏🤝🙏🛡️Tanzania mpaka mwaka 1965 haikuwa kuwepo ila ilikuja mwaka 1965 ila Nchi ilikuwa ikiitwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar..
Na hata Katiba ya Muungano ya mwaka 1964 iliitwa katiba ya Muungano wa Tanganyika Na zanzibar..
Ila baada ya 3 decrees za Mwalimu nyerere..
Akabadilisha Serikali ya Tanganyika na Kuwa Serikali ya Muungano na Viongozi na mali zote zikawaa chini ya Muingano na Tanzania huku Zanzibar Haikugushwa na Decree hizo..
Ndo maana Mara nyingi watu wakigusa hizo decree huonekana Wabaguzi lakini hapo ndiyo shida ilipoanza..
Maana hizo decrees zio Makubaliano ya Muungano...
Wanachofany Wenzetu sio kujipodoa bali kujipofua Ili wasione uhimu wa ndoa yetu ... Hili linatikisa Misingi ya ndoa yenyewe!Mimi nimezaliwa Tanzania, na wengi wetu tumezaliwa Tanzania, waliozaliwa Tanganyika wote by now ni wastaafu, wako over 60 years, na walipopata akili, walikuwa tayari Tanzania, ni Watanganyika gani hao wa kuililia Tanganyika na kujivunia Tanganyika?.
Muungano ni kama ndoa, Zanzibar ni kama mwenza, sasa wewe kama mwenza wako anajipodoa, na wewe utataka kujipodoa ili mlingane?. Hebu acheni hizi kitu!.
P
Na siku moja obviously wataingia madarakani maana Wazee wote watakuwa wamesha goo. !!😅🙏Hawa watoto wa 2000 wakiingia madarakani muungano kwa heri,
Huyo ndio Ansbert Ngurumo !View attachment 2991056
Ndugu wana JF - Jukwaa la Siasa;
Mjadala wa muungano tata wa Tanganyika na Zanzibar (1964) unaendelea tena leo....
Na kwa kweli mjadala huu haupaswi kuishia njiani isipokuwa tu wote tumeelewana na kukubali kuwa lipo tatizo ktk muungano huu linalostahili kutatuliwa sasa na sio kesho kama tunataka kuendelea nao...
Leo katika video hiyo☝🏻☝🏻 ni makala ya uchambuzi toka kwa mchambuzi nguli wa maswala ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ndugu Ansbert Ngurumo kupitia YouTube channel yake [SK Media Online TV] anayeishi uhamishoni Uingereza
Katika uchambuzi huu, Ansbert Ngurumo anazimulika kauli za watu watatu juu muungano wa Tanganyika na Zanzibar (1964) ambao ni;
1. Mzee Steven Wassira a.k.a Tyson (CCM)
2. Rais Samia Suluhu Hassan (CCM)
3. Tundu Antipasy Lissu (CHADEMA)
Hawa wote wanajibu maswali mawili muhimu yafuatayo ambayo ndiyo msingi mkuu wa ubishani unaoendelea sasa ktk muungano huu;
1. KWAMBA, Zanzibar ni nchi au sio nchi?
2. KWAMBA, Watu au wananchi wa nchi ya Zanzibar ni Watanzania au Wazanzibari?
Nani mkweli kati ya hawa watu watatu kuhusu muungano wetu? Nini maoni yako? Tatizo liko wapi? Ni kitu gani kinafichwa kupitia muungano huu?
Tazama na sikiliza video hiyo ya dakika 14 tu hadi mwisho kisha tumia akili yako kupima mwenyewe halafu sema kitu.
Na bila shaka kasi ya internet imeboreka kiasi chake na hivyo kila mtu ataifungua video hii bila kuhangaika sana..
==========================================
United States of Tanzania !!??Dawa ni kuwepo Serikali ya Tanganyika! Kila serikali ijiamlie mambo yake kasoro Ulinzi,Uhamiaji,mambo ya nje na ndani yawe ya Muungano kama ilivyo sasa!
Tanganyika na Zanzibar zisiwe nchi bali mataifa mawili ndani ya nchi moja ya Tanzania.
Dola ni kitu gani?Hata ukiwa na kila kitu, bila sovereignty, wewe sio nchi!. Zanzibar haina dola, haina sovereignty hivyo sio nchi!.
P
Huu ndio ukweli wa mambo, tena sio wanahisi tumewaoa, bali huyo mwanamke ndie alijitongozesha, akajibebisha, Mzee Tanganyika akachukua ngoma, akaoa, akatia ndani, analisha, anatunza, anagharimia kila kitu, mke kazi kupendeza tuu, kila kitu bure!.
Niliwahi kuuliza humu Tangu lini Mke Ndani Ya Ndoa Akaomba Uhuru ili Kutoka Nje Ya Ndoa? Aruhusiwe?
Tanzania itakuwa na wanaume wa ajabu wanao ona wivu na wake zao kwa kutamani wawe sawa kwa sawa!.
Mwacheni mkeo apendeze. Mpe kila anachokitaka!.
P
Nakuonaga mtu makini sanaaa, ila ktk sentence hiii, naanza kujitafakari upya. Unamfaham Juma Nkamia???
1. Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja tuu wa JMT. Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT.
2. Wananchi wa Zanzibar ni Watanzania ila pia ni wakaazi wa Zanzibar. Ukaazi sio uraia.
P
Kwakweli hizi arguments unazotoa hapa zinanishangaza sana na kunisikitisha pia.Mimi nimezaliwa Tanzania, na wengi wetu tumezaliwa Tanzania, waliozaliwa Tanganyika wote by now ni wastaafu, wako over 60 years, na walipopata akili, walikuwa tayari Tanzania, ni Watanganyika gani hao wa kuililia Tanganyika na kujivunia Tanganyika?.
Muungano ni kama ndoa, Zanzibar ni kama mwenza, sasa wewe kama mwenza wako anajipodoa, na wewe utataka kujipodoa ili mlingane?. Hebu acheni hizi kitu!.
P