Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Ndege nyingi za mizigo za US Air Force zimekuwa zinatua Djibouti siku za karibuni.
Hawa TPLF,Tigray People's Liberation Front ilipoanzishwa ilikuwa inaitwa Marxist-Leninist League of Tigray.
Since, I don't know when,there have always been Marxist-Leninists rioting in Ethiopia. Na sasa hivi Joe Biden amepeleka majeshi ya Marekani Djibouti kuwasaidia hawa waasi.
Na kwa vile hatujasikia nani anataka kumsaidia Abiy Ahmed,tunaweza kusema,"Bye bye Abiy".
Jana usiki nimewaona Wamisri watatu wanafanya evening stroll. Hawaongei Kiingereza. Waliponiona nimeshika tasbihi wakaniuliza kama mimi ni Mwislamu. Juhudi zote za kuongea nao zilipinga mwamba. They don't speak English. So what are they doing here? Wamefikia Hotel ya Regent, Mikocheni.
Hawa TPLF,Tigray People's Liberation Front ilipoanzishwa ilikuwa inaitwa Marxist-Leninist League of Tigray.
Since, I don't know when,there have always been Marxist-Leninists rioting in Ethiopia. Na sasa hivi Joe Biden amepeleka majeshi ya Marekani Djibouti kuwasaidia hawa waasi.
Na kwa vile hatujasikia nani anataka kumsaidia Abiy Ahmed,tunaweza kusema,"Bye bye Abiy".
Jana usiki nimewaona Wamisri watatu wanafanya evening stroll. Hawaongei Kiingereza. Waliponiona nimeshika tasbihi wakaniuliza kama mimi ni Mwislamu. Juhudi zote za kuongea nao zilipinga mwamba. They don't speak English. So what are they doing here? Wamefikia Hotel ya Regent, Mikocheni.