Uke utapata tabu sana hapaNami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiii
Kwanini umekuja humu JF kufichua siri zangu [emoji848][emoji57]Ila Pana kero kwenye daladala na mabus Jana nimesafiri na mtu ana Nuka mdomo nilikua naomba asiongee na simu ni mateso aisee nikakumbuka maski,Leo ndani ya bus watu wanapitiwa usingizi fully harufu mbaya ya ushuzi.
Kumbe wapandao ndege na kuwa na magari binafsi Wana maana yao.
Wanakwepa mengi yakiwemo harufu za midomo,vikwapa ushuzi kuandaana nk.
Anakunya keki huyo ChifuKwani wewe una nini hadi uchukie wapanda dala dala? Kama u tajiri hivyo si upande chopa kila uendapo mjini?
Huu ndiyo Uanaume sasa.Katika historia yangu demu aliyenikataaga kwa sababu zozote zile alafu badae anikute kwenye hali fulani nzuri aanze kunishobokeaga sijawahi pepesa maneno. Wapo kama watatu hivi nilishawahi kuwachana, mlipokuwa na chuchu zimesimama mliniona fala kwahyo sasahivi ndio mnaniona nafaa. Kipindi life ngumu hawataki shobo lakini nimetusua kidogo tu hao
Mbavu zangu [emoji847]Hawa wanafanya watu waazime gari ili wawapate, Kipindi anatongozwa anafatwa na gari mimba ikiingia anapanda daladala mwenyewe kwenda Kliniki
Wadangaji utawajua tu ...... Haya endelea kudangaNami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
View attachment 2643444
Uwe unatafuna chochote mdomo usitemeKwanini umekuja humu JF kufichua siri zangu [emoji848][emoji57]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Huyo mwenye gari kali una mpa nini? UCHI TU?Nami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Ana tako hilo hapo kwenye Avatar