aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 341
- 714
sasa unataka nani akamhoji kwaajili yako siuende mwenyewe?Sitaki kuamini, nataka habari yenye multiple sources ili iweze kuhakikika zaidi.
Habari ya mtu kutoka kwa mtu mmoja tu, tena yeye mwenyewe, unaweza kuambiwa lolote, haina a high degree of credibility.
Kwa nini somo hili rahisi linakuwa gumu sana kwa Watanzania wengi?
kwahio huyo jamaa sio bilionea?mzee zinakutosha?Kwani wapi nimesema jamaa si bilionea?
Ubilionea wa pesa za madafu ambazo dola moja ni shilingi 2500 nao unauhesabu ubilionea? Huo ni ubilionea wa Kariakoo tu ukiupeleka hata Kenya hapo unarudi chini.
Ukiugawanya kwa 2500 huo ubilionea utabaki ubilionea? Huyo jamaa ana one billion US dollars?
Au mnarukia tu maneno ya watu, mnachukua jina bilionea where a billionaire means something mnau copy paste kwenye shilingi za madafu huko?
Unaelewa hata hoja yangu ni nini?
Au unarukia tu mazungumzo?
Kwani wapi nimesema jamaa si bilionea?
Ubilionea wa pesa za madafu ambazo dola moja ni shilingi 2500 nao unauhesabu ubilionea? Huo ni ubilionea wa Kariakoo tu ukiupeleka hata Kenya hapo unarudi chini.
Ukiugawanya kwa 2500 huo ubilionea utabaki ubilionea? Huyo jamaa ana one billion US dollars?
Au mnarukia tu maneno ya watu, mnachukua jina bilionea where a billionaire means something mnau copy paste kwenye shilingi za madafu huko?
Unaelewa hata hoja yangu ni nini?
Au unarukia tu mazungumzo?
Hiko kitakua ni kianzio tu lazima kuna fursa alikutana nayo hapo kati sema hajataka kuweka wazi kakwambia alipoanzia tuKama hio kazi inawafanya watu mabilionea mbona mimi sikuwahi kuwa billionea.
Niliifanya hio mishe 2009-2010 ila zaidi ya kupata mademu hamna nilichofaidika nacho. Hela ya kula tu.
Huamini au ?Atuambie hizo elf na mia tano zilijaa kwa muda gani mpaka akawa bilionea. Kuna kitu hajatuambia.
Always kuna siku moja maisha yanabadilika completely. Unakutama na mtu anakupa tobo unapata chain ya deals ambapo after a shortwhile unapata pesa nyingi sana.Hiko kitakua ni kianzio tu lazima kuna fursa alikutana nayo hapo kati sema hajataka kuweka wazi kakwambia alipoanzia tu
Hayo ni majanga kama majanga mengine eg. Mafuriko nk.
By the way hojayako inazungumzia afya na usalama, ambavyo nimevimention tayari.
Pia tambua kwamba kila unavyozidi kutajirika ndivyo usalama wako unakuwa hatarini.
Bila mabaunsa wa kutosha huwezi toka na ukawa na amani
Mkuu sema kwa nchi za wenzetu 53 bado kijana kabisa 😆Kwa Umri nilionao Kwa sasa Hivi Nina Miaka 53 nimebakiza Miaka 7 Nistaafu..
Hata Nikiweka Milion Kumi Kw Umri wangu Tayari Maji ya Jioni haya 😀😀
Naweza Nisifikishe hata Milion 70 😀😀
huyu anatia huruma sana.Ilianza kwa kusema ni uongo, ukasema hakuna credible source na sasa hivi umeanza kudogosha pesa zake ambazo we can tell kabisa HUNA 😂
Wivu wako ukiu-marinate kidogo tu unaenda kuwa Kalumanzila!
KWa Hiyo Hata Kaka Wasira Bado kijana 🤣🤣Mkuu sema kwa nchi za wenzetu 53 bado kijana kabisa 😆
ulikuwa mzembe hukua namalengo.mwenzio akishinda njaa sana.Kama hio kazi inawafanya watu mabilionea mbona mimi sikuwahi kuwa billionea.
Niliifanya hio mishe 2009-2010 ila zaidi ya kupata mademu hamna nilichofaidika nacho. Hela ya kula tu.
Bado mbichi kabisa mkuu😁KWa Hiyo Hata Kaka Wasira Bado kijana 🤣🤣
Yule anafaa Kuwa Baba yangu kabisa 🤣
Umeangalia hio video? Ku bsm cd ni mwanzo baadae aliendelea na vitu vingine.Mtu katika kuangaika unapitia shughuli mbalimbali lakini kuna shughuli fulani miongoni mwa zile ulizopitia ndiyo inakuwa msingi wa mafanikio yako,sasa kwa huyo jamaa angesema kilichompa mafanikio,siyo aseme kilichompa mafanikio ni kuchoma CD.
wabongo vichwa nunda.wamekomalia cd tuUmeangalia hio video? Ku bsm cd ni mwanzo baadae aliendelea na vitu vingine.
Hio ni kawaida tu. Hata mimi shughuli ninayoifanya inefanya wengi mabilionea na mimi ni choka mbaya ila siwezi kukaa hapa kujifariji eti wao wamekuwa mabilionea kwasababu ya vitu viovu nyuma ya pazia. No never.Kama hio kazi inawafanya watu mabilionea mbona mimi sikuwahi kuwa billionea.
Niliifanya hio mishe 2009-2010 ila zaidi ya kupata mademu hamna nilichofaidika nacho. Hela ya kula tu.
safi kabisa.Hio ni kawaida tu. Hata mimi shughuli ninayoifanya inefanya wengi mabilionea na mimi ni choka mbaya ila siwezi kukaa hapa kujifariji eti wao wamekuwa mabilionea kwasababu ya vitu viovu nyuma ya pazia. No never.
Acheni kujifariji.
Sasa kama kuna shughuli nyingine iliyompa mafanikio kwa nini story inakuwa kuchoma CD!Umeangalia hio video? Ku bsm cd ni mwanzo baadae aliendelea na vitu vingine.
Kazi inategemea unaifanya kwa ukubwa gani na kwa muda gani. I believe time factor is all it takes for one to succed.Hio ni kawaida tu. Hata mimi shughuli ninayoifanya inefanya wengi mabilionea na mimi ni choka mbaya ila siwezi kukaa hapa kujifariji eti wao wamekuwa mabilionea kwasababu ya vitu viovu nyuma ya pazia. No never.
Acheni kujifariji.
Hio ni kawaida tu. Hata mimi shughuli ninayoifanya inefanya wengi mabilionea na mimi ni choka mbaya ila siwezi kukaa hapa kujifariji eti wao wamekuwa mabilionea kwasababu ya vitu viovu nyuma ya pazia. No never.
Acheni kujifariji.
Katika maisha yangu hadi nilipofikia kiumri, nimejifunza kuwa:Wakuu,
Kuna muda kama vijana inabidi muwe serious na maisha.
Kuna huyu kijana nimemuona huko Azam TV anasema alianza kwa kuchoma CD yaani nyimbo moja alikuwa anaweka kwa Tsh 100 aka-fight sana.
Anasema alikuwa kwa siku alikuwa anatumia 1000 mpaka 1500 tu kuna kipindi mpaka akaumwa vidonda vya tumbo.
Sasa hivi ni Bilionea mkubwa tu. Ana duka kubwa la hardware na anafanya mambo ya usafirishaji na ameajiri watu wengine 71
Sasa vijana mnakwama wapi kuwa kama huyu? Kuweni serious