Sijui kwanini watu huwa hawasemi turning point, Kuna ile point inayotrigger mafanikio yako. Hiyo ndiyo inayoleta hamasa.Acha mawazo potofu
Mkuu una za ndani kabisa au unamchafua tu?Huyo anaitwa mdaka five vipi hajasema mbao za magendo , hajasema mafuta ya magendo, hajasema korosho za magendo toka msumbiji, vipi hajasema mafuta ya petrol ya magendo akisema hayo uje unieleze hapa, mueleze mbinga mbinguni ni pazuri
Tatizo Ni Nchi Za Afrika Hazitoi Fursa Za Kutajirika Kwa Njia Za Halali Either Mfumo Ukubebe Au Kalumanzila Atahusika Au Toa Damu Pata Pesa.Vijana hawakubali kuamini kuna wanaoanza from scratch na kufanikiwa. Wanaamini kila aliefanikiwa kapitia njia za panya ambazo hasemi. Hii yote ni ku justify kuwa kufeli kwao ndio kawaida ya maisha.
Hata mimi nimechoka mbaya ila naamini wapo matajiri waliofanikiwa from scratch kwa juhudi na jasho lao sio njia za mkato. Nimefeli kwasababu kuba vitu nimekosea kwenye mapambano.
Ukikaa na waliofanikiwa utajiona ulikosea wapi. Sisi wengine hatuna muda wa kubadili ila vijana muda bado mnao badilikeni bado mna nafasi ya kutoaboa. Ila ukiamini huwezi kutoboa bila njia za mkato endelea tu tena unatakiwa utumie hizo njia ufanikiwe.
Duh! Je hajawahi pewa tenda za kusupply vifaa vya ujenzi kwenye miradi ya halmashauri na wilaya? Hizo tenda mtu kupata 100m hadi 500m ni kawaida. Cha msingi ukubali kutoa 10%Huyo anaitwa mdaka five vipi hajasema mbao za magendo , hajasema mafuta ya magendo, hajasema korosho za magendo toka msumbiji, vipi hajasema mafuta ya petrol ya magendo akisema hayo uje unieleze hapa, mueleze mbinga mbinguni ni pazuri
Hujaelewa hoja yangu.
Huwezi kufanya abstract thinking.
Sijasema he is not any of those things he claims.
Nimesema habari ya chanzo kimoja ina low credibility, ili habari iwe ya kuaminika inahitaji kuwa supported na several sources.
Unaelewa tofauti ya mtu kusema huyu muongo na mtu kusema habari hii haina ushahidi wa kutosha kukubalika?
Niki comment habari ambayo haijahakikiwa hilo halimaanishi kuwa hii habari imehakikiwa.
That is a non sequitur logical fallacy.
But I suspect you don't know what that is, if you even know what a logical fallacy is at all.
Duh! Tia nyama kidogoHela walipata toka kWa Marehemu Karume baada ya baba yao aliyekuwa Kiziwi kupigwa risasi kwa bahati mbaya.
Na We Tupe Ushahidi Kama Anasema Kweli!Yeye ameleta story ya maisha yake, unachobisha ni nini? Ulikuwa wakati anatafuta?
Au wewe ni ndugu yake?
Story za Steve Jobs, Elon Musk, Bill Gates na Mark mnaziamini ila akija Mbongo mwenzenu mnaleta ubishi.
Hebu tupe ushahidi kwamba anadanganya?
Mwandishi Amekwenda Kuona Kitu Kilichokamilika La Sivyo Alete Video Ya Wakati Anatafuta Hizo Bilioni Kusema Ni Lahisi.Mwandishi ameenda hadi kwenye biashara zake. What else do you want?
Kama umeangalia hiyo video. Yupo kwenye hardware na kuna watu kweli amewaajiri na no wengi
Ulitaka akuletee bank statement ndo uamini?
Kwa hiyo habari zote za Azam TV wabongo mnaamini ila mtu kuelezea utajiri wake ndo mnaanza kuleta doubts.
Nimekwambia uniletee ushahidi kuwa hana hizo hela au hakuanza kwa kuchoma CD unaangaika tu.
Ushahidi wako uko wapi?
Hujasema wewe billionaire ulianza na mtaji kiasi gani na sasa unamiliki nini.Wakuu,
Kuna muda kama vijana inabidi muwe serious na maisha.
Kuna huyu kijana nimemuona huko Azam TV anasema alianza kwa kuchoma CD yaani nyimbo moja alikuwa anaweka kwa Tsh 100 aka-fight sana.
Anasema alikuwa kwa siku alikuwa anatumia 1000 mpaka 1500 tu kuna kipindi mpaka akaumwa vidonda vya tumbo.
Sasa hivi ni Bilionea mkubwa tu. Ana duka kubwa la hardware na anafanya mambo ya usafirishaji na ameajiri watu wengine 71
Sasa vijana mnakwama wapi kuwa kama huyu? Kuweni serious
ππAtuambie hizo elf na mia tano zilijaa kwa muda gani mpaka akawa bilionea. Kuna kitu hajatuambia.
Sawa umeshinda
Lame and pathetic
Nadhani kuna jambo tunaliacha hewani. Kama jamaa ametaja kuwa kaanza na kuchoma CD, haimaanishi kuwa kazi hiyo ndiyo imemletea umilionea.Tunaye hapa mbinga ila kuhusu utajiri wake siri anajua mwenyewe , na asituchoshe Kwa story za kuburn CD π
Kuna kitu hakiongeleiAtuambie hizo elf na mia tano zilijaa kwa muda gani mpaka akawa bilionea. Kuna kitu hajatuambia.
Sio hutaki mkuu bali unajua hautaweza au ningumu kuufikia huo ubilioneaMimi sio kijana wala sio mzee
Na sitaki kuwa bilionea
Shida iko wapi kwani