Video:Vijana wa hovyo hii Code Ni ya mwisho sitawaambia tena.

Video:Vijana wa hovyo hii Code Ni ya mwisho sitawaambia tena.

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Vijana akiingia geto hakikisha harudi salama. Siyo demu anakuaga unaanza kujiuma uma tu...
Mwamba kapita mle mle.

Hii ni ya mwisho sitawaambia tena
๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
 
Mwamba kazingua hiyo vest kubwa kama gunia la carrot.

Ila hizo mambo za kubembelezana hivyo siku hizi sidhani kama zipo. Sababu kuwa ni kuwa suala la mahusiano siku hizi lipo kimaslahi zaidi. Mwanamke anataka hela mwanaume anataka utelezi.

No feelings no attachment. Chana pochi achanue miguu.
 
Mwamba kazingua hiyo vest kubwa kama gunia la carrot.

Ila hizo mambo za kubembelezana hivyo siku hizi sidhani kama zipo. Sababu kuwa ni kuwa suala la mahusiano siku hizi lipo kimaslahi zaidi. Mwanamke anataka hela mwanaume anataka utelezi.

No feelings no attachment. Chana pochi achanue miguu.
Hapo alikuwa ana date na demu wa kilokole pure mkuu lazima utumie zana za kivita zaidi. Kuhusu vest kipindi hicho ilikuwa unyama sana asee๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Mwamba kazingua hiyo vest kubwa kama gunia la carrot.
Itakuwa ameazima kwa Brother K. (zaidi bofya spoiler)
Brother K ni mchekeshaji maarufu kutoka Kigoma, Tanzania, anayejulikana sana kupitia kundi la vichekesho la Futuhi, ambalo linapeperushwa na Star TV. Jina lake kamili ni Braza K, lakini pia anaitwa "Tajiri wa Kigoma." Alianza safari yake ya sanaa kupitia kituo cha vijana cha Videa Youth Centre, ambapo aligundua kipaji chake cha kuchekesha. Kazi yake iliongezeka umaarufu baada ya kujiunga na Futuhi mwaka 2011,

Mbali na uigizaji, Brother K pia ni mwanamuziki mwenye nyimbo za Bongo Fleva na R&B, pamoja na mjasiriamali anayejihusisha na ufugaji na biashara ya usafirishaji. Anaelezea kwamba kazi ya uchekeshaji ni ngumu na inahitaji ubunifu wa kila siku, lakini inampa furaha kubwa na imebadilisha maisha yake
 
Back
Top Bottom