fogoh2 JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 5,305 Reaction score 5,355 Jan 30, 2024 #121 Hakunaga uchawi maigizo tu hayo na uvivu wa kufikiri
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 23,322 Reaction score 64,738 Jan 30, 2024 #122 GoldDhahabu said: Nachingwea😃😃😃 Big NOOO! Hakuna Mnachingwea asieelewa kuwa uchawi upo ingawa si wote wanaoushabikia. Sema ukweli mkuu, uko nchi gani? Watu wote wanaoishi Nachingwea wanafahamu kuwa uchawi upo. Click to expand... Uchawi upo vichwani kwa watu wasio taka kufikiri zaidi .
GoldDhahabu said: Nachingwea😃😃😃 Big NOOO! Hakuna Mnachingwea asieelewa kuwa uchawi upo ingawa si wote wanaoushabikia. Sema ukweli mkuu, uko nchi gani? Watu wote wanaoishi Nachingwea wanafahamu kuwa uchawi upo. Click to expand... Uchawi upo vichwani kwa watu wasio taka kufikiri zaidi .
Mgodo visa JF-Expert Member Joined Nov 1, 2016 Posts 3,590 Reaction score 3,632 Jan 31, 2024 #123 Sidhani kama hao vijana wangetengwa/wangewekwa tofauti katikaahojiano wangeweza kutoka majibu yenye kufanana. Sometimes ni trick tu. Janja janja za watu wakiwa na Malengo yao binafsi.
Sidhani kama hao vijana wangetengwa/wangewekwa tofauti katikaahojiano wangeweza kutoka majibu yenye kufanana. Sometimes ni trick tu. Janja janja za watu wakiwa na Malengo yao binafsi.