Video: Vijana wakamatwa kwa uchawi

Video: Vijana wakamatwa kwa uchawi

Wachawi wameshikwa na watu wanaamini 😂 😂

Kama wachawi kwanini wasipotee hapo kichawi?

Kwanini wote huwa wanashikwa chini hatujawahi kuwaona wakiwa huko juu angani?

Haya ni maigizo kama maigizo mengine yote. Hao vijana ni wahanga.

Hakuna uchawi ila kuna imani za kishirikina. Imani hizi zinatamalaki kwenye jamii za watu WAJINGA na MASKINI. Huwezi kuta habari kamaa hii Dar sehemu yenye watu wenye vipato vya kati na walioelimika let alone Ulaya. Inabidi uwe zwazwa first class kuamini uchawi upo na unafanya kazi.
Nchi hata matatizo ya afya ya akili hatujaweza kuyapatia majina.

Kila kitu tunaita "kichaa".

Wenzetu wana schizophrenia, multiple personality disorder, paranoia, anxiety, bipolar, depression, psychosis, dissociative disorder, ma phobia ya kujaza encyclopaedia.

Nyie mnafikiri haya magonjwa ya wazungu tu? Kwetu hayapo?
 
Nchi hata matatizo ya afya ya akili hatujaweza kuyapatia majina.

Kila kitu tunaita "kichaa".

Wenzetu wana schizophrenia, multiple personality disorder, paranoia, anxiety, bipolar, depression, psychosis, dissociative disorder, ma phobia ya kujaza encyclopaedia.

Nyie mnafikiri haya magonjwa ya wazungu tu? Kwetu hayapo?

Kabisa.
 
Hawawezi movie vitu ambavyo havipo kwenye society.imagation ni kuufunua ulimwengu wa kiroho katika ulimwengu halisi.
Mfano uvionavyo vyote kwenye cartoon vile ni viumbe halisi vipo kwenye ulimwengu roho ni mwanadamu pekee na malaika ndio walioumbwa kwa uzuri mfano wa Mungu
Kwamba cartoon ni viumbe halisi?
 
Hawawezi movie vitu ambavyo havipo kwenye society.imagation ni kuufunua ulimwengu wa kiroho katika ulimwengu halisi.
Mfano uvionavyo vyote kwenye cartoon vile ni viumbe halisi vipo kwenye ulimwengu roho ni mwanadamu pekee na malaika ndio walioumbwa kwa uzuri mfano wa Mungu
Eti Cartoon ni viumbe halisi [emoji1787][emoji1787] watz never disappoint.
 
Kiwango cha ujinga cha huyu bwana bongo dili ni cha hali ya juu sana. I can't fathom how someone on the Great Thinker platform could be so unintelligent. Dumb as a brick.
Naanza kufanyia kazi huu usemi wako, nlidhan unamtukana.

Yani cartoon ni viumbe halisia!? Kweli??
 
Waachiwe manake serikali haiamini uchawi wala ushirikina
 
Kwamba cartoon ni viumbe halisi?
Katika ulimwengu wa roho ikiwa ni tafsiri katika imagination ya ulimwengu halisi.
Thus cartoon zina nguvu ya uharibifu ndani yake ili kutokeleza kizazi kipya chenye mtazamo wautakao wao.
 
Katika ulimwengu wa roho sio wa mwili.
Imagination ni ideas zinatokana kwa Mungu au shetani
Huwezi ku prove uwepo wa roho wala Mungu.

Kwa sababu vyote havipo.

Ukibisha, prove roho ipo, prove Mungu yupo.
 
Nipo Tz nachingwea najificha kwenye fake ID.
Nachingwea😃😃😃 Big NOOO! Hakuna Mnachingwea asieelewa kuwa uchawi upo ingawa si wote wanaoushabikia. Sema ukweli mkuu, uko nchi gani? Watu wote wanaoishi Nachingwea wanafahamu kuwa uchawi upo.
 
Kuna degree za uchawi hukohuko ulaya,na nchi iliyozidi katika uchawi ni Romania
Mwaka Juzi Chuo Kikuu kimoja nchini Kenya kilitangaza kutaka kuanza kufundisha kozi ya uchawi chuoni hapo, na baadhibyabwalimu wangetoka Tanzania. Lakini ilikuwa na mashaka kama Serikali itakubali kuwafadhili wanafunzi watakaochukua hiyo shahada.
 
Back
Top Bottom