Video vixen, PoshyQueen adai hawezi kutokea kwenye video ya msanii wa Bongo bila milioni 5

Video vixen, PoshyQueen adai hawezi kutokea kwenye video ya msanii wa Bongo bila milioni 5

Kumradhi wadau kwa kudandia mjadala.Mwenye contacts za producer Thud Thomas anisaidie tafadhali.
 
Milioni moja ku appear Kwenye video yangu ,laki tano namshughulikia mpaka asubui,...deal?
 
Mwanadada anayekuja kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii adai hawezi kutokea kwenye video yeyote ya Msanii wa Bongo yaani (video vixen) bila Shilingi Million 5 .Hii amekuwa akisikika kwenye baadhi ya interview za media mbalimbali.

Kutokana na muonekano wake unadhani anastahili hilo dau...!!!

View attachment 789791
View attachment 789809

Anaitwa Jacqueline obed
Bei ya mwisho shi ngapi?
 
Wadau narudia tena mwenye contacts za producer THUD THOMAS anisaidie tafadhali.
 
Mwanadada anayekuja kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii adai hawezi kutokea kwenye video yeyote ya Msanii wa Bongo yaani (video vixen) bila Shilingi Million 5 .Hii amekuwa akisikika kwenye baadhi ya interview za media mbalimbali.

Kutokana na muonekano wake unadhani anastahili hilo dau...!!!

View attachment 789791
View attachment 789809

Anaitwa Jacqueline obed
hao wapo kibao mtaani tuna subiri mwezi ukatike na mfungo huu.maana wamevaa dela sasa
 
Back
Top Bottom