ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kila Nchi hapo,hao USA mikopo Yao ni zaidi ya GDP Yao.Kukopa , rushwa kujifananisha na US ila maendelea na fursa za ajira aaaaaah .
Yani tunajifananisha na US kwa mambo ya ovyo yale mazuri tunayapotezea kwanini?Kila Nchi hapo,hao USA mikopo Yao ni zaidi ya GDP Yao.
Hata mambo Mazuri ya Tanzania Bado hamtaki ku appreciate mkimaanisha Kila kitu ni hovyo and so tunawaonesha kwamba huko mnakodhani mambo yamenyooka hakuko hivyo.Yani tunajifananisha na US kwa mambo ya ovyo yale mazuri tunayapotezea kwanini?
Mkuu,My Take
Hakuna Nchi imewahi fanikiwa kupambana na rushwa Kwa 100%.
View: https://x.com/RealAlexJones/status/1886579192730419430?t=wfcrrVoLSP3L4KkoSt3QZQ&s=19
Ndio hata Elon amethibitisha HiloMkuu,
Unabase madai yako kutokana na tweet ya Alex Jones?
Rushwa ipo Dunia nzima sema Kwa wenzetu ipo Kwa kiwango kidogo ukilinganisha na huku kwetu kwenye fragile economy lakini bado Kuna mass corruptionMy Take
Hakuna Nchi imewahi fanikiwa kupambana na rushwa Kwa 100%.
View: https://x.com/RealAlexJones/status/1886579192730419430?t=wfcrrVoLSP3L4KkoSt3QZQ&s=19
Kiwango kidogo si ndio?Rushwa ipo Dunia nzima sema Kwa wenzetu ipo Kwa kiwango kidogo ukilinganisha na huku kwetu kwenye fragile economy lakini bado Kuna mass corruption
Alex Jones na Elon Musk, ndiyo sources zako hizo?Ndio hata Elon amethibitisha Hilo
View: https://x.com/elonmusk/status/1886317363953279401?t=cRoZVe7h_LMv7CUOJNDyfQ&s=19
Ndio MkuuAlex Jones na Elon Musk, ndiyo sources zako hizo?
Are you that dumb?
Kwa nini Elon Musk unamuwekea "hata"?
Hicho alichotweet Elon Musk kinathibitishaje rushwa?
Oh, if you are that dumb, then that explains everything.Ndio
Safi sana Trump kutuonesha majiziOh, if you are that dumb, then that explains everything.
Huyu Alex Jones si ndiye yule alipigwa fine $bilioni 1 na mahakama kwa kusema mass shooting ya Sandy Hook ilikuwa ni igizo la FBI tu kutengeneza mazingira ya kunyang'anya raia bunduki zao?!Mkuu,
Unabase madai yako kutokana na tweet ya Alex Jones?
Huna facts. Una tweets za Elon Musk mtu anayejulikana ku spread fake news.Safi sana Trump kutuonesha majizi
View: https://x.com/elonmusk/status/1886492712700141634?t=bF8MAHlbYWUxGZOJ3Lt0ow&s=19
Ndiye huyo.Huyu Alex Jones si ndiye yule alipigwa fine $bilioni 1 kwa kusema mass shooting ya Sandy Hook ilikuwa ni igizo la FBI tu kutengeneza mazingira ya kunyang'anya raia bunduki zao?!
Mkuu kwa Africa bado sana asee , ila siku moja tutakuja pata kiongozi makini atatufikisha panapotakiwa tu.Hata mambo Mazuri ya Tanzania Bado hamtaki ku appreciate mkimaanisha Kila kitu ni hovyo and so tunawaonesha kwamba huko mnakodhani mambo yamenyooka hakuko hivyo.
Mleta uzi atakuwa hajui huyo ni sawa na Musiba tu wa US.Ndiye huyo.
Sasa huyu ChoiceVariable haoni hata aibu kutuletea huyu Alex Jones kama source ya habari yake hapa?
Unafurahia kuoneshwa majizi ya USA haya ya kwenye serekali yako unayoyajua unayatetea!Safi sana Trump kutuonesha majizi
View: https://x.com/elonmusk/status/1886492712700141634?t=bF8MAHlbYWUxGZOJ3Lt0ow&s=19
Hawa watu wengine wanaokotezaokoteza habari za US hata hawamjui nani ni nani.Mleta uzi atakuwa hajui huyo ni sawa na Musiba tu wa US.