Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Msamehe hajui hata lugha unayo andika. Ni chawa, hajui hata kuchakata taarifa anachukua kama ilivyoOh, if you are that dumb, then that explains everything.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msamehe hajui hata lugha unayo andika. Ni chawa, hajui hata kuchakata taarifa anachukua kama ilivyoOh, if you are that dumb, then that explains everything.
Jadili hojaMsamehe hajui hata lugha unayo andika. Ni chawa, hajui hata kuchakata taarifa anachukua kama ilivyo
Analeta ki tweet cha Alex Jones, inaonekana hamjui Alex Jones ni nani katika siasa za US.Msamehe hajui hata lugha unayo andika. Ni chawa, hajui hata kuchakata taarifa anachukua kama ilivyo
Eti kwa vile jiran yako anafirw@ basi na wewe kufirw@ ni halali sindio !?🤣🤣 mjinga sana wewe mtu wa hovyoMy Take
Hakuna Nchi imewahi fanikiwa kupambana na rushwa Kwa 100%.
Choice sema hiviii,kuna kaujumbe kako ulitaka kukafanyi ulinganifu na mazingira yako na yetu.Na walaa siii kingine.My Take
Hakuna Nchi imewahi fanikiwa kupambana na rushwa Kwa 100%.
My Take
Hakuna Nchi imewahi fanikiwa kupambana na rushwa Kwa 100%.
Naomba nikwambie tu kwamba USAID siyo wezi wala wabadhirifu. USAID ni kama DANIDA, DFID, SIDA, NORAD au mashirika mengine ya maendeleo yaliyopo kwenye nchi ya dunia ya kwanza. Hao wanaosema ni USAID ni criminal organization siyo kwamba wanawapenda. Huyo Elon Musk ambaye ni kaburu tangu lini anawapenda? Anazo chuki tangu Apartheid ilivyokomeshwa huko Afrika kusini, Elon Musk ni far-right wing kama alivyo Donald Trump, Stephen Miller, Stephen Bannon na wengine wenye misimamo mikali dhidi ya nchi za Africa na latin America, wamejaa chuki sana. Haya yote yanayotokea ni mambo ya kupangwa na hayafanyi sense hata kidogo. Mnakumbuka Trump na makamu wako JD Vance walisema Haitian Immigrants walioko Ohio wanakula pets (Mbwa na Paka), je walivyoulizwa watu waliopoteza mbwa au paka wajitokeze....Je alijitokeza hata mtu mmoja?.....Hapana. Lengo ni kuwabagua na kuwa-victimized watu weusi na wenye asili ya kutoka Africa,. Trump hakusema nchi za Africa ni shitholes....au hamkumbuki? Mnaona anawapenda sana....siyo? Subirini.My Take
Hakuna Nchi imewahi fanikiwa kupambana na rushwa Kwa 100%.
Safi sana Trump kutuonesha majizi
View: https://x.com/elonmusk/status/1886492712700141634?t=bF8MAHlbYWUxGZOJ3Lt0ow&s=19
Ndio taifa la kulea nakufuga chawa tumefika,tunaangalia tumbo na uchawa basi ubongo tunaukabidhi kwa wafugaji wa chawa.Tukipungukiwa damu tunasubiri USAID atoe msaada kupata damu,ili tusikate moto.Hii ni shida kweli kweli.Yani tunajifananisha na US kwa mambo ya ovyo yale mazuri tunayapotezea kwanini?
MKATABA MWINGINE BANDARINI NA MISRI WAZUA TAHARUKI YA CHINI KWA CHINI!My Take
Hakuna Nchi imewahi fanikiwa kupambana na rushwa Kwa 100%.
My Take
Hakuna Nchi imewahi fanikiwa kupambana na rushwa Kwa 100%.
Analeta ki tweet cha Alex Jones, inaonekana hamjui Alex Jones ni nani katika siasa za US.
Anaokoteza tweets tu kama masikini wa akili.
Kuzidi hii massive graft Kwa hao mnaowalambaga miguu?Majizi ya umma ya Chama Cha kijani wanaiba Kwa kiwango cha kutisha haijapata kutokea