Video: Wamasai wazichapa tena na Walinzi (Wajeruhi)

Muungano hauna maana yoyote
 
Muungano ufe tu
 
Wazanzibar na mafala sana,wao wanapenda kuonewa huruma wakati kwao ni wabaguzi,hata tukiachana na hilo la wamasai ila wazanzibar ni mafala tu
Ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
 
Mbona hawawapigi hao wazungu waapige tu walinzi? Ni wazi kuwa mnawachokoza. Wamasai sisi tunakaa nao huku bara sijui ni wapi kama ilishawahi tokea matukio ya ukorofi wa wawamasai. Maana ni watu poa sana.

Sasa wakitembea na hayo marungu, fimbo na sime ninyi inawakera nini si fasheni yao hiyo ya uvaaji?
 
Who cares, umekuja kutafuta au kupendwa, weka malengo fanya kilichokuleta the rest will be History

hilo ndio tatizo kubwa la waafrika, always wao wapo kwenye ku demand, umewahi kusikia muhindi anataka upendo wetu? yeye ana focus na michongo yake tu. mtu mweusi amelaanika kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…