Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃
Singida Mjini mbunge ni MO Dewji? 🐼
😂😂😂😂 Kumbe!Mo Dewji si mbunge. Aliachanaga na cheo hicho alipokiona ni cha chini kwa hadhi yake
Wewe ni mnafiki sana. Mbunge wa Singida mjini ni Musa Sirma.😃😃
Singida Mjini mbunge ni MO Dewji? 🐼
😂😂😂😂😂😂Wewe ni mnafiki sana. Mbunge wa Singida mjini ni Musa Sirma.
Sio mnafki huyu jamaa ni kilaza flani anauejifanya mjuaji.Wewe ni mnafiki sana. Mbunge wa Singida mjini ni Musa Sirma.
😄😄😄Mama anaupiga mwingi,
Pongezi na shukrani kwa mhe, raisi dakitari mbobevu, aliyetamani kuwa muhudumu wa ndege ila akabahatisha urais baada ya genge msoga kumsucide gaidi shetani.
Hongera sana mama kwa kuwezesha wanafunzi hao kufanya mtihani wakiwa wamekaa .chini.
Mitano tena kwa mama
😂😂😂😂Sio mnafki huyu jamaa ni kilaza flani anauejifanya mjuaji.
Hata ukisoma post zake zimekaa kiukilazaukilaza
Hii mbona kama kejeri anyway waelewa tumeelewa nini unamaanisha wenyewe wanita fagilia na kusilibaMama anaupiga mwingi,
Pongezi na shukrani kwa mhe, raisi dakitari mbobevu, aliyetamani kuwa muhudumu wa ndege ila akabahatisha urais baada ya genge msoga kumsucide gaidi shetani.
Hongera sana mama kwa kuwezesha wanafunzi hao kufanya mtihani wakiwa wamekaa .chini.
Mitano tena kwa
Mkurugenzi wa Manispaa anaendesha gari la Milioni 600. Kila siku DED yupo kwenye vikao akenda kutembelea shule hiyo atakwenda na msafara wa magari ya mabilioni ya shilingi. Tumerogwa na kulaaniwa. 2025 wataichagua CCM
😃😃
Singida Mjini mbunge ni MO Dewji? 🐼Joo ACHA kusinzia moo ana miaka 20 Toka alipo ACHA ubunge njaa
Kwamba hakukuwa na namna bora ya kukaa darasani na wasiweze kuibiana hayo majibu?Me nadhani wamekaa hivyo ili wasiigiliziane kulikoni wangekaa kwenye madawati huenda wakaigiliziana. Halafu me sioni kama kunashida kukaa chini, unapotafuta kitu chenye mafanikio haiitaji starehe