Ushiled
JF-Expert Member
- Nov 4, 2023
- 656
- 1,153
Si alikataa ๐๐๐๐๐
Singida Mjini mbunge ni MO Dewji? ๐ผ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si alikataa ๐๐๐๐๐
Singida Mjini mbunge ni MO Dewji? ๐ผ
Aje abubujikwe vizuri ๐Atajidai amebubujikwa na maji machoni.๐คฃ
Tatizo ni nini? Mbona sehemu nyingi tu wanafanyia nje?
Huoni tatizo?You gone nut,huh?Tatizo ni nini? Mbona sehemu nyingi tu wanafanyia nje?
UmejAA ujingaIpo uelewa unaosema, usisiemu huzaa ujinga, ujinga hutunga mimba ya umbumbu, umbumbu huzaa utahira, utaahira ukiisha kukomaa, huzaa dhambi, dhambi hupelekea fedhea, fedhea ikiisha kukomaa huwa UKATILI
Tozo hazijakoma, mkopo wa scotland ulichukuliwa kwaajili ya madarasa(kamili), bajeti ya elimu inasemaje? Sensa zinafanyika ili iwe nini?
- Sio shule moja, ziko nyingi!
- Sio Singida tu, nenda kwa Nape, nenda Dar, kote hakuna madarasa ya hadhi ya 2024 wala madawati ya kukidhi mahitaji.
Umekaza shingo, SI KWELI?
Akili hizi maendeleo yatachelewa Sana.Me nadhani wamekaa hivyo ili wasiigiliziane kulikoni wangekaa kwenye madawati huenda wakaigiliziana. Halafu me sioni kama kunashida kukaa chini, unapotafuta kitu chenye mafanikio haiitaji starehe
Wewe una tatizo mkuu, yaani karne hii unatoa hizo sababu kujustify watoto kufanyia mtihani kwenye hayo mazingira? Tena unasema huoni kama kuna shida? Basi safari bado ndefu sana sana.Me nadhani wamekaa hivyo ili wasiigiliziane kulikoni wangekaa kwenye madawati huenda wakaigiliziana. Halafu me sioni kama kunashida kukaa chini, unapotafuta kitu chenye mafanikio haiitaji starehe
Ni rahisi sana kuwaongoza raia wenye mtazamo kawa wako.nafikiri waliwekwa hivyo kusudi wasichuguliane mitiani ndugu
Ni mawazo yangu wala siitaji interruptionAkili hizi maendeleo yatachelewa Sana.
Kawaida kukaa kwenye vumbi ukiwa una andika?!
Pole kwa watoto wazuri kwa kupewa adhabu wasiyostahili.
Ngoja limkute jambo huyo mwl mkuu wa shule hiyo ndo atawajua ccm walivyo wanafiki maana hadi namwonea huruma.Afisa elimu atawahi huko kuwafundisha ya kujibu wakiulizwa jambo.
Walimu wamebwinu mbunu..Kwani umeambiwa hawana madawati...!?
Hiyo ni mbinu ya walimu kila mmoja ajitegemee...
Hatuwatendei haki hao taifa lijalo....hii ni aibu na dhambi.
Ndio wakae chini ?..acha kutetea ujinganafikiri waliwekwa hivyo kusudi wasichuguliane mitiani ndugu
Ndiyo sisi hao