FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Huo unaonesha kuwa ni ujinga wa walimu tu kuwaweka watoto nje tena chini, si wangewaambia wapange ma deski yao.
Hao walimu wao ndiyo wale waliosomea ujinga shuleni na sasa wanauhamishia huo ujinga wao kwa hao wanafunzi.
Hao walimu ni wa kuchukuliwa hatua za kibabbe tu, hawafai kubali kuwa walimu.