Video: Wanajeshi wa Urusi wapokea kichapo kwa kugoma kwenda kupigana Ukraine

Video: Wanajeshi wa Urusi wapokea kichapo kwa kugoma kwenda kupigana Ukraine

HIzi ni war propaganda.
Western are good at it
Timu ProRussia kila habari mbaya kuhusu Urusi mnaita Propaganda za magharibi.Ila hizohizo media zikiongelea madhila yaliyoipata Ukraine mnashabikia kwamba ni kweli🤔
.....
“President Putin’s three-day war, or ‘special operation’, turns out to have been a disaster for him and his army.”

UK Defence Secretary Ben Wallace updates the House of Commons on the war in Ukraine:
 
Timu ProRussia kila habari mbaya kuhusu Urusi mnaita Propaganda za magharibi.Ila hizohizo media zikiongelea madhila yaliyoipata Ukraine mnashabikia kwamba ni kweli🤔
.....
“President Putin’s three-day war, or ‘special operation’, turns out to have been a disaster for him and his army.”

UK Defence Secretary Ben Wallace updates the House of Commons on the war in Ukraine:

Sina maana kuwa mimi ni pro Russia.

Ninachofahamu ni kwamba western media ni waongo watukuka kama alivyosema Trump.


Tuwe wapatanishi na siyo wachochezi
 
Kwahiyo mabeberu wametengeneza hiyo video? Embu acha ushabiki usio na maana.
Hauna tofauti na waliopokea tena wakalaani kuwa Iraq kulikuwa na silaha za maangamizi.


Pia hauna tofauti na waliosema kuwa Gaddafi alikuwa amewafanya manamba raia wake.

Unajua. Tukisema tuunge mkono Urusi au Magharibi inatufanya sisi kuwa ni misukule yao.

Simama kwenye amani
 
Hauna tofauti na waliopokea tena wakalaani kuwa Iraq kulikuwa na silaha za maangamizi.


Pia hauna tofauti na waliosema kuwa Gaddafi alikuwa amewafanya manamba raia wake.

Unajua. Tukisema tuunge mkono Urusi au Magharibi inatufanya sisi kuwa ni misukule yao.

Simama kwenye amani
Una mawazo ya ajabu sana, na hii inakuonesha kuwa una chuki dhidi ya west. Gadaffi alivamiwa, sote humu ndani tulipinga. Jambo lolote dhalimu sisi hatuliungi mkono, hata Russia kumvamia Ukraine hatuungi mkono pia.
 
Kwann ukafe kwa ujinga wa putin si apeleke watoto wake wakapigane. Ufe watoto wako atalea nani. Sometimes vita huwa ni matakwa ya kiongozi mpumbavu na sio uhitaji wa nchi.
 
Mkuu naheshimu uhuru wa mtu na mawazo ya mtu,a moment of interaction please!!! Hivi na mambo yanayohusu nchi yetu huwa unayapa coverage ya kiwango hiki?
 
... kati ya majeshi yaliyokosa maadili kabisa duniani; hata makundi ya kigaidi yana miiko na utii kwa mamlaka zao hata kama ni za kishetani tofauti na jeshi la Russia. Wanajeshi wa design hiyo morali ya kupigana vita itatoka wapi?
 
pray for russia [emoji635]
IMG_1299.jpg
 
Back
Top Bottom