Video: Wanajeshi wa Urusi wapokea kichapo kwa kugoma kwenda kupigana Ukraine

Video: Wanajeshi wa Urusi wapokea kichapo kwa kugoma kwenda kupigana Ukraine

[emoji23][emoji23]Hii vita ni faida tupu kwa US na washirika wake wa NATO..

1. Kapata nafasi ya kummdhoofisha urusi kazi ambayo angeifanya kwa kuhangaika na kwa muda mrefu ila imefanyika ndani ya miezi 9 tu.

2. Kapata field halisi (siyo jangwani wala baharini tena) ya kutest mitambo yake.

3. Kapata nafasi ya kujua uwezo halisi wa Putin kijeshi.


Ni mbaya sana wanajeshi wako kukataa kupigana, tena hao ni wale wadogo ila kule juu kwa majenerali huenda hali ni mbaya zaidi na wanauza siri kimya kimya.
Kwenye hii vita Putin kaonesha kwamba yeye ni mbumbumbu hasa!
Nakubaliana na wewe, senior officers wa serikali ya Russia yamkini hawataki kabisa kuendelea na hii vita. Ngoma imebuma vibaya saaana kwa Putin, heshima alojiwekea yoye imepukutika. Lile jeshi lilisifiwa kwa miaka mingi, lote amelishushia heshima yake.
 
Sio kila amri unatii, inaruhusiwa kughairi kama amri ina ukichaa, leo hii Putin aibuke ghafla atoe amri ya kushambulia Ulaya kwa manyuklia, nakuhakikishia atapigwa risasi na mejenerali wake maana wananajua kitakachofata ni Urusi kufutwa kwenye uso wa dunia.
Tena hiyo nuclear yamkini putin ndo anaitaka ila maafisa waandamizi wanamdindia. Maisha matamu mkuu.
 
Kama hujui jambo Bora unyamaze. Si kila amri zinazotolewa na Rais kwa majeshi lazima zitekelezwe. Rais akikurupuka bila kufuata utaratibu hawawezi kutekeleza amri yake. Rais hutoa amri kwa majeshi kwa utaratibu maalum, ni baada ya Baraza la usalama kuidhinisha ndo atatoa amri ya hali ya hatari au vita. Mambo mengine huitaji kuridhiwa na bunge ndo utekelezaji wake uanze.

At individual capacity mwanajeshi anaweza kukataa kwenda vitani na akatoa sababu zake za msingi. Hawezi kupigwa shaba, bali utapelekwa court marshal na utahukumiwa kwa mujibu wa taratibu za kijeshi ikiwemo kufukuzwa kazi na siyo kuuawa kama unavyodai.

Makosa ya kupigwa risasi labda kama unataka kupindua nchi, na yanayoendana na hayo.
Wape darasa vilaza hao. Wasipoelewa wachape na vibao.
 
Tunawezaje kuthibitisha hiyo video?Jina ni la kuigiza,sura imefichwa lakini pia sauti iliyotumika ni ya muigizaji!
 
Mashabiki wa putin humu ndani mwanzo wa vita walisema HIMARS si kitu, wakasema haiwezi kukomboa hata nusu heka.

Leo hii kinachoendelea huko kinatisha.
Walivyo vichwa maji, walidhani HIMARS ni aina ya Gobore 😂😂😂 ndiyo maana walisema haiwezi kuikomboa nusu ekari.
 
Nakubaliana na wewe, senior officers wa serikali ya Russia yamkini hawataki kabisa kuendelea na hii vita. Ngoma imebuma vibaya saaana kwa Putin, heshima alojiwekea yoye imepukutika. Lile jeshi lilisifiwa kwa miaka mingi, lote amelishushia heshima yake.
Zilipigwa propaganda nyingi kweli kuwa Russia ina;
1. the best military in the world,
2. Ina best air defense systems eti S-400, lakini HIMARS anazibutua.
3. Ina nuclear weapons hatari, katishiwa kidogo tu na mzee Biden akapiga reverse.
4. Ana MLRS hatari, kumbe hakuna hata inayoifikia HIMARS.

Ni mtu mjinga tu ndo anaweza akalinganisha nguvu ya NATO & USA against Russia. Labda wale religious fanatics.
 
Bila shaka hujawahi kupitia hata jkt. Oh sawa nikueleweshe. Jeshi huapa kulinda katiba, kumlinda Rais, na kulinda ardhi na maslahi ya taifa popote. Pia huapa kupokea amri kutoka kwa rais wao muda wote wa utumishi.
Ni kosa la jinai kukataa kupigana inapotolewa amri na mkuu wa nchi. Eti ukatae kupigana kisa familia yako ataitunza Nani ukifa?
Nb.
Kijeshi Hili lipo kote kukataa kupigana kosa lake Ni shaba iwe ulaya, Marekani au Iran.
Hili linapaswa kuangaliwa upya, kuna viongozi walevi wanaotoa amri za vita bila sababu za msingi. Viongozi wa namna hii either wapinduliwe au waongoze mstari wa mbele kwenye vita.
 
Tunawezaje kuthibitisha hiyo video?Jina ni la kuigiza,sura imefichwa lakini pia sauti iliyotumika ni ya muigizaji!

Karibu sana kwenye jukwaa, maustadhi mlitoweka wengi ghafla tukawa tunatamba wenyewe humu. Nafurahi mumeanza kurudi mmoja mmoja, sijui nini kimewapa kujiamini ghafla tena.
 
Karibu sana kwenye jukwaa, maustadhi mlitoweka wengi ghafla tukawa tunatamba wenyewe humu. Nafurahi mumeanza kurudi mmoja mmoja, sijui nini kimewapa kujiamini ghafla tena.
Akili Yako ndogo sana!
 
Sina maana kuwa mimi ni pro Russia.

Ninachofahamu ni kwamba western media ni waongo watukuka kama alivyosema Trump.


Tuwe wapatanishi na siyo wachochezi
Eastern media ndio zinaongoza kwa uongo na propaganda,manake kule ukiongea kinyume na mtawala umekwenda na maji.Hivi utaanzia wapi kuandika Kinyume na Andunje au kiduku halafu ukaachwa?Jiwe mwenyewe (CCM ProRussia no.1) ilikuwa usipomsifu wasiojulikana lazima wapite na wewe.
Katika western media unaweza mpinga raisi aliyeko madarakani (rejea Trump alivyopingwa na vyombo vya habari)na bado ukapeta.
Kuhusu wewe kwamba wewe sio ProRussia ulivyoulivyo tu inaonyesha jinsi gani wewe ulivyo ProRussia Wahedi.Halafu Russia akichapika mnasema ,mnaomba poo tuache uchochezi tuwe wapatanishi,Ukraine akishambuliwa mnaona poa acha apigwe,yaani ni "Double Standard"🤔
 
Bila shaka hujawahi kupitia hata jkt. Oh sawa nikueleweshe. Jeshi huapa kulinda katiba, kumlinda Rais, na kulinda ardhi na maslahi ya taifa popote. Pia huapa kupokea amri kutoka kwa rais wao muda wote wa utumishi.
Ni kosa la jinai kukataa kupigana inapotolewa amri na mkuu wa nchi. Eti ukatae kupigana kisa familia yako ataitunza Nani ukifa?
Nb.
Kijeshi Hili lipo kote kukataa kupigana kosa lake Ni shaba iwe ulaya, Marekani au Iran.
SAsa anaepata madhara ni Rais,nchi au mwanajeshi husika
 
Eastern media ndio zinaongoza kwa uongo na propaganda,manake kule ukiongea kinyume na mtawala umekwenda na maji.Hivi utaanzia wapi kuandika Kinyume na Andunje au kiduku halafu ukaachwa?Jiwe mwenyewe (CCM ProRussia no.1) ilikuwa usipomsifu wasiojulikana lazima wapite na wewe.
Katika western media unaweza mpinga raisi aliyeko madarakani (rejea Trump alivyopingwa na vyombo vya habari)na bado ukapeta.
Kuhusu wewe kwamba wewe sio ProRussia ulivyoulivyo tu inaonyesha jinsi gani wewe ulivyo ProRussia Wahedi.Halafu Russia akichapika mnasema ,mnaomba poo tuache uchochezi tuwe wapatanishi,Ukraine akishambuliwa mnaona poa acha apigwe,yaani ni "Double Standard"🤔
Ni mke wangu pekee ananifahamu kwa undani.

Are you?
 
Hili linapaswa kuangaliwa upya, kuna viongozi walevi wanaotoa amri za vita bila sababu za msingi. Viongozi wa namna hii either wapinduliwe au waongoze mstari wa mbele kwenye vita.
Ha ha ha.
Hilo halitakuwa jeshi litakuwa josho Kama wakuu wa kijeshi wanaamua kujadili amri ya babalao( kiongozi mkuu).
Kiongozi mkuu:
Nchi fulani Ni maadui zetu wanaendekeza chuki na uovu dhidi ya watu wetu. Ni muda wa kuhakikisha Hili linakoma.wapigwe.
Generali;
ndio mkuu
Masoja:
Oyaa oyaaa oyaa usiogope mkuu Hapa ngaingai .basi kinanuka.
 
Back
Top Bottom