Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
Tunachokijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio maana hata morale ya askari iko chini ukiringanisha na ya ukraine. Matakwa ya mtu mmoja yanaumiza sana.Kwann ukafe kwa ujinga wa putin si apeleke watoto wake wakapigane. Ufe watoto wako atalea nani. Sometimes vita huwa ni matakwa ya kiongozi mpumbavu na sio uhitaji wa nchi.
Kabisa mkuu, na wala hatokuwa wa mwisho kushindwa. Anazidi kuharibu heshima aliyojiwekea.Putin akubali tu yeye sio wa kwanza kushindwa
Unaambiwa heri uchomwe kisu au unywe sumu unaweza wahishwa hospital ukapona ila sio HIMARS. Hiki chombo kimebadili taswira nzima ya vita.Hata ungelikuwa wewe kwa moto ule huwezi kukubali kurudi, bora wakunyonge. [emoji23][emoji23]
Heri ya kuachia ngazi ya Urais lakini sio kwa hiko anachofanya kugharimu taifa zima.Kufanya hivyo ni kuweka rehani Urais wake.
Nenda kwenye jukwaa husika utazikuta huko thread za kutoshaMkuu naheshimu uhuru wa mtu na mawazo ya mtu,a moment of interaction please!!! Hivi na mambo yanayohusu nchi yetu huwa unayapa coverage ya kiwango hiki?
Yaani watengeneze video namna hiyo hapo? Ukiitwa mjinga utalaumu?Anything is possible
Mbaya zaidi adui yako ana moto balaa, ana mashine za kisasa. Hiyo HIMARS unaambiwa ni balaa tupu, bado US hajapeleka F14, F18 au F35 huko.Kwenda vitani ukiwa na uhakika wa kufa ni ujinga na upumbavu.
Kwanza huna silaha nzuri, huna mavazi ya kuzuia baridi, huna medical kit
Hizo zote ulizotaja sahau kuziona huko.Mbaya zaidi adui yako ana moto balaa, ana mashine za kisasa. Hiyo HIMARS unaambiwa ni balaa tupu, bado US hajapeleka F14, F18 au F35 huko.
... Mkuu kuachia urais ni kujipa hukumu ya kifo mchana kweupe; haitakaa itokee. Usalama wake umo ndani ya hicho cheo na hapo ndipo ugumu ulipo.Heri ya kuachia ngazi ya Urais lakini sio kwa hiko anachofanya kugharimu taifa zima.
[emoji23][emoji23]Hii vita ni faida tupu kwa US na washirika wake wa NATO..Timu ProRussia kila habari mbaya kuhusu Urusi mnaita Propaganda za magharibi.Ila hizohizo media zikiongelea madhila yaliyoipata Ukraine mnashabikia kwamba ni kweli[emoji848]
.....
“President Putin’s three-day war, or ‘special operation’, turns out to have been a disaster for him and his army.”
UK Defence Secretary Ben Wallace updates the House of Commons on the war in Ukraine:
Familia zao sijui zitakuwa zinamchukuliaje putinpray for russia [emoji635]
View attachment 2444645
Familia za hawa maaskari zina wakati mgumu sana.sawa kufa ni kawaida vitani.
but what is this??
guys pray for russians
View attachment 2444648
View attachment 2444649
View attachment 2444650
View attachment 2444651
View attachment 2444652
View attachment 2444653
View attachment 2444654
Hivi huwa unalipwa au unajitolea?[emoji848]Hawa ni walioponea kufa na kurudi Urusi, wamegoma hawarudi tena kwenye mapambano....
Linaitwaje hilo mkuu? Ni 2 miles au 2km?Kuna bomu fulani linarushwa na himars, hilo bomu lina vigololi 180,000
Lenyewe hulipuka 2m kabla ya kufika ardhini, kila kilicho eneo hilo huhalibiwa na hizo gololi
M30A1 GMLRSLinaitwaje hilo mkuu? Ni 2 miles au 2km?
Hajasema wametengeneza amesema ni propaganda. Inawezekana yote yariyolipotiwa yametokea kama yalivyo na bado ikabaki kuwa PropagandaYaani watengeneze video namna hiyo hapo? Ukiitwa mjinga utalaumu?