VIDEO: Wasaliti waanza kulia na kusaga meno. Hakuna kumhurumia yeyote, hakutakuwa na Mswalie Mtume

VIDEO: Wasaliti waanza kulia na kusaga meno. Hakuna kumhurumia yeyote, hakutakuwa na Mswalie Mtume

Mngewapa basi adhabu ya kuwavua nyadhifa kisha kuwapiga ban ya kugombea miaka 5
Kama ni mtu muungwana atabaki chamani kama siyo ataondoka na hapo chama chake cha awali kitabeba tena the credibility highest rank
Mbinu hii haina morality value

For instance hapa JF watu wanapopewa ban kwa kweli wanaumia kwa kuwa wanaipenda Jf wanavumilia na wanarudi kwa furaha

Mbinu ya kufukuza haina thamani kwa utendaji wa chama
Watu walijaribu "kumtukana" mwenyeki faraghani wakafukuzwa wewe unakitukana chama,mwenyekiti na viongozi hadharani unategemea nini? Binafsi nadhani adhabu ya kuwafukuza ilikuja kwa kuchelewa sana.Nidhamu ni jambo la lazima kwenye hizi taasisi.Uzuri kuna mifumo ya ndani ya kukosoa maamuzi ya chama kwanini hawakutumia mifumo hiyo?
 
Soma na post za nyuma
Watu walijaribu "kumtukana" mwenyeki faraghani wakafukuzwa wewe unakitukana chama,mwenyekiti na viongozi hadharani unategemea nini? Binafsi nadhani adhabu ya kuwafukuza ilikuja kwa kuchelewa sana.Nidhamu ni jambo la lazima kwenye hizi taasisi.Uzuri kuna mifumo ya ndani ya kukosoa maamuzi ya chama kwanini hawakutumia mifumo hiyo?
 
Aibu aliyiwabebesha Wahaya si ya kubeza , amestaafu kihovyo mno !

Bunge linaisha weeks mbili zijazo na kampeni zina anza,kwa nn CDM wasiwaache tu hawa kwa hizi weeks 2?
Silinde kwa mfano aliisha jifia Momba,hawezi mshinda kijana wetu Simfukwe kura za maoni ndani ya CDM na sana sana angeenda Jimbo la Tunduma kumjaribu Mwakajoka lkn pia angepigwa kura za maoni,Silinde kumfukuza ni kumpa mileages za kisiasa tu,aliisha jifia kwa kuwa acha ‘masela’ walio mpa ubunge!
Kumbuka 2015 Silinde alimshinda Simpasa wa CCM kwa tofauti ya kura 208 tu (Silinde 36,408 vs 36,200 za Simpasa)
Silinde hawezi shinda ubunge 2020!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii misaliti imejengwa na ccm na serikali kwa ajili ya kukiboa chama cha CDM, naipongeza kwa dhati kabisa kuondoa misaliti, chadema kina mtaji wa ajabu sana wa watu kuliko ccm na kusema kweli ccm wanajua hili.
 
Tuliwaambia mapema sana kwamba ndani ya Chadema hakuna mkubwa kuliko Chama , sasa wametimuliwa wanaanza kutia huruma .

Mzee Lwakatare ulipiganiwa na chama kwa kiwango cha kutisha mno , ukatolewa ndani ya mdomo wa mamba ili uishi tena leo unasaliti bila aibu , Umevuna ulichopanda
View attachment 1447377
Wapi Analia!
 
Back
Top Bottom