VIDEO: Wasaliti waanza kulia na kusaga meno. Hakuna kumhurumia yeyote, hakutakuwa na Mswalie Mtume

VIDEO: Wasaliti waanza kulia na kusaga meno. Hakuna kumhurumia yeyote, hakutakuwa na Mswalie Mtume

Tuliwaambia mapema sana kwamba ndani ya Chadema hakuna mkubwa kuliko Chama , sasa wametimuliwa wanaanza kutia huruma .

Mzee Lwakatare ulipiganiwa na chama kwa kiwango cha kutisha mno , ukatolewa ndani ya mdomo wa mamba ili uishi tena leo unasaliti bila aibu , Umevuna ulichopanda
Lakini Mbowe bhana anafeli sana japo siwatetei hawa wasaliti,lakini inakuaje kunakosekana mahusiano mazuri kati ya Mwenyekiti na Mbunge ambaye amewahi kuwa Afisa usalama wa Chama na tena aliyeyumikia chama cha uadilifu mkubwa na nyakati ngumu??? alafu mwisho wa siku wanamtema kizembezembe dakika za mwisho ...Itachukua miaka mingi sana CHADEMA kusimama kama taasisi maana wanajenga na kubomoa
 
Mtizamo wangu, walichokifanya wabunge hawa ni kosa kubwa sana. Huwezi kugomea utekelezaji wa maamuzi ya chama chako hata kama hukubaliani nacho, unapoona ukubaliani na wenzio cha kufanya ni kujivua uanachama wa chama hicho rejea uamuzi wa Lazaro Nyalandu.

Lakini na ninyi CHADEMA, kwa nini msingewapa muda wa kujieleza kabla ya kufikia uamuzi huo? Hata CCM walipomfukuza Membe huenda uamuzi ulishafanyika kabla hata ya kujieleza lkn angalau walimpa haki yake kisha wakafanya maamuzi yake. Mngewaita pengine wangegoma hata kuja na hapo ndio mngewafyeka vizuri.

All in all, Spika anaweza kuwakingia kifua wakaendelea kuwa wabunge wa kiti cha spika na wakapata hizo pesa lakini haiondoi ukweli kwamba wamefukuzwa, na kufukuzwa kwao kunaweza kuwa mtaji kwa wanaowapa kichwa ili kuikomoa CHADEMA au ikawapunguzia uzito kule kwa kuonekana hawana madhara tena.

Mh. Spika wangu, hivi bado hujawagundua CHADEMA, ulichokitamka leo Bungeni ndicho hasa walichokitaka ukifanye, yaani umeingia kwenye mtego wao bila kutumia nguvu nyingi. Jitahidi kujipa muda wa kutafakari kabla ya kutoa kauli/maamuzi.

Hawa jamaa wameshajua udhaifu wako, nao ni kama wanarusha ngumi zao pale pale penye jeraha.

Siasa ni sayansi, pia ni sanaa.
 
Kuwa kwenye siasa ni kuwa jehenamu au duniani?

Cdm mnatutisha
Cdm hata Mungu huona wema katikati ya uovu

Siku zitatukumbusha kama kanisa katoliki lilivyoumia kwa maamuzi kama haya 1500 years iliyopita kwamba kila aliyesema tofauti na imani ni msaliti na hapaswi kuwa sehemu ya jumuiya

Kwa nn cdm msijifunze?

..hata mimi sikupenda jinsi hawa wabunge walivyofukuzwa.

..lakini cdm wasingechukua hatua ingekuwa vigumu kusimamia nidhamu na msimamo wa chama kuhusu kujiweka kando na vikao vya bunge.

..na tatizo lingine linalosononesha ni kauli za kubeza chama zilizokuwa zinatolewa na Mh.Selasini, Mh.Lwakatare, na Mh.Komu, na Mh.Silinde, wakati wakichangia ndani ya bunge, na ktk mahojiano na vyombo vya habari.

..binafsi nadhani kama wasingekuwa wanakishambulia chama wakati wa kuchangia mijadala ya bunge, labda kamati kuu ya cdm isingefikia uamuzi huu mgumu na wa kusikitisha.
 
Kwa haya yanayoendelea hakuna upinzani serious Tz na kuanzia leo naachana na siasa za bongo ni ujinga mtu Kama silinde,rwakatale hawa ni seniors kabisa kwenye upinzani ona walivyotusaliti pia nawalaumu CDM wangewaacha tu kimya kimya hv najiuliza kweli cdm walidhani wakiwatimua uanachama spika angekubali kweli? Na wanajua wako na beef na spika hata dalili hawakuziona za spika kumuita cecil mwambe Tena bungeni,spika lengo lake ni kuiabisha cdm na cdm nao wanajipeleka kichwa kichwa tu hao wabunge wasaliti ilikuwa ni kuachwa kimya kimya tu ona Sasa mmewapa kiki ya bure kabisa,watanzania tumeshajua huyo spika ni kichaa Sasa na nyinyi cdm mnapoanza kubishana na huyo kichaa tunawashangaa
 
..hata mimi sikupenda jinsi hawa wabunge walivyofukuzwa.

..lakini cdm wasingechukua hatua ingekuwa vigumu kusimamia nidhamu na msimamo wa chama kuhusu kujiweka kando na vikao vya bunge.

..na tatizo lingine linalosononesha ni kauli za kubeza chama zilizokuwa zinatolewa na Mh.Selasini, Mh.Lwakatare, na Mh.Komu, na Mh.Silinde, wakati wakichangia ndani ya bunge, na ktk mahojiano na vyombo vya habari.

..binafsi nadhani kama wasingekuwa wanakishambulia chama wakati wa kuchangia mijadala ya bunge, labda kamati kuu ya cdm isingefikia uamuzi huu mgumu na wa kusikitisha.

Chama makini
Kingewahoji hata kwa simu basi kwa wakati huu

Baada ya kuvunja bunge mkawafukuza hapo chama kingegain momentum ya wabunge wenyewe na umma
Lkn leo inaonekana ni hasira, wivu na roho mbaya ambayo inatazama mafao tu ili wakose fedha za kampeni lkn chadema inapaswa kuwa na roho mbaya hivyo wakati umma ukiwahurumia ktk nyakati zao za shida?
 
]Busara ya kukaa kimya ni nzuri sana kama kuna watu wanaielewa.
Ndiyo maana kwangu mfano wa uongozi ni maaskofu( hawawahi wala hawachelewi ili wasisababishe kifo na yeye asijiue).
Maamuzi ya kiongozi lazima yawe na chembe ya wema na haki kwani wanaperfom kazi ya Mungu hivyo wakishindwa wao wanakuwa wamehesabiwa dhambi.

Je adhabu hii inawema? Imetoa haki kati ya aliyekosewa( chama) na mkosaji (mbunge)?
Adhabu hii haijasababisha kifo kwa mkosaji( all aspects) au mkosewa ( chama) hajajisababishia kifo?

Ukitazama Cdm hasa viongozi wakuu wanaonekana kuzishiriki shida zote za magu yaani hawana tofauti( inaonekana cdm hakuna watu wenye hofu kamili ya mungu na kuogopa makosa ya sharia ya maumbile pia sharia zingine za Mungu )



Kamati kuu inawatu kama mdee, mnyika, Jacob, na wengine ambao asili ni waropokaji, wajeuri na hawana utii hivyo si rahisi kuona wema wa mkosaji au safari ya gari lao, msipobadili Hali ya akili na tabia ya viongozi hasa kamati kuu ni ngumu kuona mayai ya nyoka.
 
]Busara ya kukaa kimya ni nzuri sana kama kuna watu wanaielewa.
Ndiyo maana kwangu mfano wa uongozi ni maaskofu( hawawahi wala hawachelewi ili wasisababishe kifo na yeye asijiue).
Maamuzi ya kiongozi lazima yawe na chembe ya wema na haki kwani wanaperfom kazi ya Mungu hivyo wakishindwa wao wanakuwa wamehesabiwa dhambi.

Je adhabu hii inawema? Imetoa haki kati ya aliyekosewa( chama) na mkosaji (mbunge)?
Adhabu hii haijasababisha kifo kwa mkosaji( all aspects) au mkosewa ( chama) hajajisababishia kifo?

Ukitazama Cdm hasa viongozi wakuu wanaonekana kuzishiriki shida zote za magu yaani hawana tofauti( inaonekana cdm hakuna watu wenye hofu kamili ya mungu na kuogopa makosa ya sharia ya maumbile pia sharia zingine za Mungu )



Kamati kuu inawatu kama mdee, mnyika, Jacob, na wengine ambao asili ni waropokaji, wajeuri na hawana utii hivyo si rahisi kuona wema wa mkosaji au safari ya gari lao, msipobadili Hali ya akili na tabia ya viongozi hasa kamati kuu ni ngumu kuona mayai ya nyoka.
Mropokaji kati ya wanaotukana chama hadharani na kamati kuu ni nani ?
 
Mropokaji kati ya wanaotukana chama hadharani na kamati kuu ni nani ?
Wote hamna adabu kwa kuwa kubwabwaja ni kama sifa ya viongozi wa cdm hakuna adabu, heshima wala kauli ya upole,unyenyekevu na sympathy inayolenga kukusanya na si kutawanya

Uvumilivu ni mwalimu mzuri ambaye hata wewe ukiikosa ndoa yako inaharibika

Nimeona umuhimu wa chama kuwa na chaplain pia bunge ili mrudishwe kwenye asili ya Mungu mnayemwamini ambaye ni haki , wema sheria ya mambile( maadili)
 
Wote hamna adabu kwa kuwa kubwabwaja ni kama sifa ya viongozi wa cdm hakuna adabu, heshima wala kauli ya upole,unyenyekevu na sympathy inayolenga kukusanya na si kutawanya

Uvumilivu ni mwalimu mzuri ambaye hata wewe ukiikosa ndoa yako inaharibika

Nimeona umuhimu wa chama kuwa na chaplain pia bunge ili mrudishwe kwenye asili ya Mungu mnayemwamini ambaye ni haki , wema sheria ya mambile( maadili)
Hivi kubwabwaja ni nini ? wanaonukuliwa na vyombo vya habari unawaona ila unaleta uzushi tu !
 
Wote

Hao wabunge ni viongozi kwani ni sehemu ya maamuzi ya cdm
Instagram media - CADyvDTHCO8 ( 674 X 640 ).jpg
 
Ngoja tuone uchaguz huo Apo chadema mmesha poteza wabunge Zaid ya 15 kabla ya uchaguz esabu ndogo tu kwa upepo uliopo sasahivi simuon mbunge wa chadema kurudi kwenye Bunge Mungu awatangulie katika maisha yenu mapya
Tuliwaambia mapema sana kwamba ndani ya Chadema hakuna mkubwa kuliko Chama , sasa wametimuliwa wanaanza kutia huruma .

Mzee Lwakatare ulipiganiwa na chama kwa kiwango cha kutisha mno , ukatolewa ndani ya mdomo wa mamba ili uishi tena leo unasaliti bila aibu , Umevuna ulichopanda
View attachment 1447377

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima waliyojijengea kwa miaka yote kuiyeyusha kwa siku mbili ni jambo la aibu litakalowadhalilisha maisha yote .

Fadhila za chadema kwa Lwakatare si za yeye kuja kufanya hivi , hii ni aibu kwake na familia yake
Kwqni wewe kupewa uafisa paraganda huko chadema kunakutoa akili na kujisahau sana
Usijisahau kijana,hata wewe utaondoka tu hapo.kaondoka slaa itakua Lwakatare
 
Chama makini
Kingewahoji hata kwa simu basi kwa wakati huu

Baada ya kuvunja bunge mkawafukuza hapo chama kingegain momentum ya wabunge wenyewe na umma
Lkn leo inaonekana ni hasira, wivu na roho mbaya ambayo inatazama mafao tu ili wakose fedha za kampeni lkn chadema inapaswa kuwa na roho mbaya hivyo wakati umma ukiwahurumia ktk nyakati zao za shida?

..kweli.

..lakini una uhakika hawa walikuwa wanaheshimu vikao na viongozi wa cdm?

..nadhani hawa walikuwa tayari kwa lolote.
 
Back
Top Bottom