Video: Watanzania huwa mna tabia ya kusahau, Prof. Mkenda akiwa Waziri wa Kilimo aliongea ukweli mchungu sakata la Sukari. Wakamuweka pembeni

Video: Watanzania huwa mna tabia ya kusahau, Prof. Mkenda akiwa Waziri wa Kilimo aliongea ukweli mchungu sakata la Sukari. Wakamuweka pembeni

CCM ingekuwa na mfumo mzuri wa kupata mgombea wa urais wasingepata shida kutumia polisi kuiba masanduku ya kura, imagine una watu kama kina Prof. Mkenda aisee uchaguzi ungekuwa na mvuto sana, kulikuwa hamna haja ya kuhamasisha watu washiriki uchaguzi watu wangekuja tu wenyewe kutokana na ubora wa wangombea kutoka chama tawala na kutoka vyama vya upinzani na hapo tungeona radha halisi ya siasa.
 
Kuna siku James Mbatia alisema hivi pale Bungeni "Elimu yetu sasa hivi ipo kwa ajili ya kuandaa WAJINGA badala ya Wataalamu ili tu wawe wapiga kura,sasa WAJINGA wakiwa wengi wanao uwezo wa kumchagua MMOJA WAO KUWA KIONGOZI WA TAIFA (YAANI KWA KUTUMIA WINGI WAO WATATUCHAGULIA KIONGOZI).

Sasa hayo aliyema wakati wa JKM na sasa yametamalaki. Sasa mimi ninaona ya kwamba hilo kundi na MKENDA ni vitu viwili tofati hivyo ni lazima watamuweka pembeni na wao waendelee na safari chini kiongozi msaidizi Lucas Mwaaashambwa.
 
CCM ingekuwa na mfumo mzuri wa kupata mgombea wa urais wasingepata shida kutumia polisi kuiba masanduku ya kura, imagine una watu kama kina Prof. Mkenda aisee uchaguzi ungekuwa na mvuto sana, kulikuwa hamna haja ya kuhamasisha watu washiriki uchaguzi watu wangekuja tu wenyewe kutokana na ubora wa wangombea kutoka chama tawala na kutoka vyama vya upinzani na hapo tungeona radha halisi ya siasa.
Kabisa ila watu kama hawa hawawezi kupewa nafasi kugombea Urais. Ingekuwa vizuri wawe na uchaguzi huru, haki na wa wazi. Kila mwenye vigezo achukue form, alete sera, maono yake washindane. Wajumbe wachague.
 
Huyu Mkenda hataweza kuelewana na machawa katika huu mtaala mpya kwa sababu inaonekana Mkenda hataki ubabaishaji halafu utekelezaji wa mtaala mpya unahitaji pesa nyingi. Na tunajua vipaumbele vyetu ni nini!

Watashindwana na Mkenda kwa sababu atawaomba pesa mfano ya kuendesha mafunzo kwa walimu na wahusika watasema hawana pesa. Sidhani kama Mkenda amefurahishwa na walimu kupewa semina bure hata nauli hakuna
 
Huyu Mkenda hataweza kuelewana na machawa katika huu mtaala mpya kwa sababu inaonekana Mkenda hataki ubabaishaji halafu utekelezaji wa mtaala mpya unahitaji pesa nyingi. Na tunajua vipaumbele vyetu ni nini!

Watashindwana na Mkenda kwa sababu atawaomba pesa mfano ya kuendesha mafunzo kwa walimu na wahusika watasema hawana pesa. Sidhani kama Mkenda amefurahishwa na walimu kupewa semina bure hata nauli hakuna
Ngoja tuone!! Ila yajayo Yanasikitisha..
 
Sheria hii ilikuwa na Nia njema kabisa ila Sasa wenye viwanda wakageuka kuwa madalali na kutengeneza uhaba wa kusudi Ili wapige hela na hii ilitokana na ukweli kwamba nao ni wafanyabiashara.

Unawalonda harafu Wanaleta shida Ile Ile so Bora soko kuwa huria na ndicho Bashe amekifanya Sasa hivi japo akawa anabishana na Mpina.

Mwisho hiki hakilingani na alichosema juzi kwamba alizuiwa kuongea.

By the way Samia ni muingwana na hajawahi fanya maamuzi Kwa mihemko hata siku Moja .
NB: Ukiona watu wanalilia sukari waonee huruma sana!
Bashe alichofanya ni uchuuzi na utapeli
 
NB: Ukiona watu wanalilia sukari waonee huruma sana!
Bashe alichofanya ni uchuuzi na utapeli
Kwa hiyo kuruhusu Kila mwenye uwezo wa kuleta sukari alete ndio uchuuzi na utapeli au?

Kwamba baada ya ruksa hiyo sukari haikuoatikana tena Kwa bei nafuu ama una maanisha nini bwashee?

Mwisho watu kulilia sukari ndio manake nini?
 
Kwa hiyo kuruhusu Kila mwenye uwezo wa kuleta sukari alete ndio uchuuzi na utapeli au?

Kwamba baada ya ruksa hiyo sukari haikuoatikana tena Kwa bei nafuu ama una maanisha nini bwashee?

Mwisho watu kulilia sukari ndio manake nini?
Sakata la sukari nchini ni ishara ya kuwa soko lipo! Sasa maamuzi yanayofanyika ndo yanaonesha tofauti ya akili za kichuuzi/kitapeli na akili za kimaendeleo.
Kimaendeleo wizara ilipaswa kubanana na viwanda vya ndani hata kwa ruzuku, stimulus packs n.k. Akili hii ingevisaidia viwanda hivyo kuongeza uzalishaji, kurahisisha bei na kuongeza ajira kwa raia (kwa muda mrefu)

Akili za kichuuzi na kitapeli ni kama alizochukua Bashe za kulifanya sakata la sukari kuwa huria hadi kampuni za stationery zikajihusisha. Economic leakages, Short-term fixs, 10% based solutions kimsingi zinanufaisha zaidi nchi inakotoka sukari.
Tuache uchumi tuje kwenye afya: Je, ni wewe au Bashe au nani anaweza kuthibitisha UBORA wa hizo sukari kwa matumizi na afya za WaTanzania? Hivi kampuni isiyokuwa na uzoefu au weledi wa ununuzi wa sukari inaweza kuwa na check & balance kuhakiki ubora? Au kipaumbele kilikuwa sukari ipatikane hata kama ni sumu?

Alafu unashangaa kuna watu wanahoji mbona tuna ardhi hatulimi kwa faida... mbona tuna vijana hawana kazi... mbona maradhi na matatizo ya kiafya yanaongezeka!
Kwa akili za kichuuzi na kitapeli tusahau. Tutaishia tu kuwasindikiza wengine huko duniani.

Akili za kimaendeleo zingejiuliza: Kama watu washatengenezwa vichwa kiasi kwamba hawawezi kuishi bila sukari ni kwanini tusiwafanye kuwa mradi wa kilimo wenye tija!?

NB: ONYO: SUKARI ya kigeni ni hatari kwa afya. Kama unaweza kuishi bila hiyo sukari fanya hivyo!
 
Sakata la sukari nchini ni ishara ya kuwa soko lipo! Sasa maamuzi yanayofanyika ndo yanaonesha tofauti ya akili za kichuuzi/kitapeli na akili za kimaendeleo.
Kimaendeleo wizara ilipaswa kubanana na viwanda vya ndani hata kwa ruzuku, stimulus packs n.k. Akili hii ingevisaidia viwanda hivyo kuongeza uzalishaji, kurahisisha bei na kuongeza ajira kwa raia (kwa muda mrefu)

Akili za kichuuzi na kitapeli ni kama alizochukua Bashe za kulifanya sakata la sukari kuwa huria hadi kampuni za stationery zikajihusisha. Economic leakages, Short-term fixs, 10% based solutions kimsingi zinanufaisha zaidi nchi inakotoka sukari.
Tuache uchumi tuje kwenye afya: Je, ni wewe au Bashe au nani anaweza kuthibitisha UBORA wa hizo sukari kwa matumizi na afya za WaTanzania? Hivi kampuni isiyokuwa na uzoefu au weledi wa ununuzi wa sukari inaweza kuwa na check & balance kuhakiki ubora? Au kipaumbele kilikuwa sukari ipatikane hata kama ni sumu?

Alafu unashangaa kuna watu wanahoji mbona tuna ardhi hatulimi kwa faida... mbona tuna vijana hawana kazi... mbona maradhi na matatizo ya kiafya yanaongezeka!
Kwa akili za kichuuzi na kitapeli tusahau. Tutaishia tu kuwasindikiza wengine huko duniani.

Akili za kimaendeleo zingejiuliza: Kama watu washatengenezwa vichwa kiasi kwamba hawawezi kuishi bila sukari ni kwanini tusiwafanye kuwa mradi wa kilimo wenye tija!?

NB: ONYO: SUKARI ya kigeni ni hatari kwa afya. Kama unaweza kuishi bila hiyo sukari fanya hivyo!
Yaani Serikali iwape ruzuku viwanda vya ndani ambavyo 80% ni private sector ambao hao hao wamepewa upendeleo na Bado wanafanya utapeli? Au hukusikia maelezo ya Waziri?

Unampa nafasi viwanda ya ku import gap sugar harafu wao Wana import kidogo zaidi Ili bei zipande,huu ndio ulikuwa ugomvi na hao wenye viwanda achilia mbali Kushindwa Kuzalisha ya kutosha licha ya kupewa mazingira ya Bure
 
Yaani Serikali iwape ruzuku viwanda vya ndani ambavyo 80% ni private sector ambao hao hao wamepewa upendeleo na Bado wanafanya utapeli? Au hukusikia maelezo ya Waziri?

Unampa nafasi viwanda ya ku import gap sugar harafu wao Wana import kidogo zaidi Ili bei zipande,huu ndio ulikuwa ugomvi na hao wenye viwanda achilia mbali Kushindwa Kuzalisha ya kutosha licha ya kupewa mazingira ya Bure
Kwani nchi zingine wanafanyaje? Ukitumia akili za Bashe za kichuuzi na kitapeli kusolve tatizo la kimaendeleo hutoboi!
Mazingira gani ya bure wamepewa? Unaweza kumuita Bashe aje kuelezea hapa?
Acheni bifu na sekta binafsi. Kimsingi wanatumiza majukumu yenu. Muhimu kwa sasa muangalie jinsi ya kushirikiana na sekta binafsi kwa manufaa ya nchi na watu wake vizazi hata vizazi!
 
Huyu Mkenda hataweza kuelewana na machawa katika huu mtaala mpya kwa sababu inaonekana Mkenda hataki ubabaishaji halafu utekelezaji wa mtaala mpya unahitaji pesa nyingi. Na tunajua vipaumbele vyetu ni nini!

Watashindwana na Mkenda kwa sababu atawaomba pesa mfano ya kuendesha mafunzo kwa walimu na wahusika watasema hawana pesa. Sidhani kama Mkenda amefurahishwa na walimu kupewa semina bure hata nauli hakuna
Alafu hapo kuna fedha za kuwaalika, kuwasafirisha, kuwalaza, kuwalisha na kuwaburudisha machawa na wasanii waliokimbia umande!
Prof. angerudi tu uraiani akafanye tafiti apige mpunga wake!
 
Back
Top Bottom