sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Very funny but questionable
Mtu pekee alieweza kutawanya kikundi hiki cha wanaume wa kitanzania ni polisi mmoja tu, tena ni dereva ambae hakuwa hata na chochote.
Jibu la ni moja tu ....UOGA 😂😂
Polisi kashuka bila chochote na hii ni ishara tu kwamba alikuwa ana nia njema kabisa
Mtu pekee alieweza kutawanya kikundi hiki cha wanaume wa kitanzania ni polisi mmoja tu, tena ni dereva ambae hakuwa hata na chochote.
Jibu la ni moja tu ....UOGA 😂😂
Polisi kashuka bila chochote na hii ni ishara tu kwamba alikuwa ana nia njema kabisa