Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Askari wa kenya ni mdebwedo,huku bongo unavunjwa mbavu mapema sana..usifananishe askari wa kenya na bongo,askari wa bongo sio watu kabisa,usiombe wawepo na mgambo hatari sana!Kenya kwenye nyakati kama hizo hapo huyu jamaa hawezi thubutu kushuka. Hata aje na silaha kali, labda awe na back-up ya platoon yake na yale magwanda yao ya vita. Wakenya wa 'kujitoa mhanga' huwa wapo wengi sana hapo. Kugeuziwa hapo ni sekunde moja tu jombaa. [emoji1]
Viongozi watangulie mbele Dar
Wewe unawajua Kenya Police au unawasikiaga tu? Fika Isebania au hata Namanga mkajuane nao vyema.Askari wa kenya ni mdebwedo,huku bongo unavunjwa mbavu mapema sana..usifananishe askari wa kenya na bongo,askari wa bongo sio watu kabisa,usiombe wawepo na mgambo hatari sana!
Mimi situmie VPN. Natumia mtandao wa kawaida. Internet ipo na inafanya kazi. Mitandao ya kijamii tu ndo imesitishwa kwa muda. hata hivyo, jamiiforums inafanya kazi.Msitegemee huyo dictator uchwara atarudisha mtandao na huku mnataka kuandamana, tunzeni VPN Zenu vizuri. Na 2025 Anagombea tena tusipomfunga brake now.
Utakuwa una matatizo sio bure.Nimecheka hadi nimejamba[emoji28][emoji28][emoji1787]
Hii picha huyo polisi alikuwa anamuovatek huyo mkora mwenzioKenya kwenye nyakati kama hizo hapo huyu jamaa hawezi thubutu kushuka. Hata aje na silaha kali, labda awe na back-up ya platoon yake na yale magwanda yao ya vita. Wakenya wa 'kujitoa mhanga' huwa wapo wengi sana hapo. Kugeuziwa hapo ni sekunde moja tu jombaa. [emoji1]
[emoji1][emoji1][emoji1] Waandamanaji ambao wanapigania haki zao ndio unawaita wakora? Acheni uoga bana, hao wahuni huwa wanabebwa tu na magenge yao na sanasana silaha zao. Wakithubutu kuja 'omundu khu mundu' huwa wanapewa discipline. [emoji1]Hii picha huyo polisi alikuwa anamuovatek huyo mkora mwenzio
[emoji1][emoji1][emoji1] Waandamanaji ambao wanapigania haki zao ndio unawaita wakora? Acheni uoga bana, hao wahuni huwa wanabebwa tu na magenge yao na sanasana silaha zao. Wakithubutu kuja 'omundu khu mundu' huwa wanapewa discipline. [emoji1]
Huyu naye ni mwalimu akimcharaza polisi viboko, mtumishi mwenzake wa umma. Kwenye maandamano ya walimu kule gatuzi la Kericho. πHii pic ni photoshot
Kwani nyie kenya mna mageuzi gani??Nimecheka sana ila nikaishia kuwa na huzuni, poleni sana ndugu zetu, kwa namna hiyo ni wazi hampo tayari kwa mageuzi, mtulie tu labda vizazi vyenu vya baadaye sana miaka ya usoni vitakuja kubadilisiha lakini sio nyie wa leo.
bongo linapokuja swala la kupiga watu,usidhani polisi wanaigiza.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Waandamanaji ambao wanapigania haki zao ndio unawaita wakora? Acheni uoga bana, hao wahuni huwa wanabebwa tu na magenge yao na sanasana silaha zao. Wakithubutu kuja 'omundu khu mundu' huwa wanapewa discipline. [emoji1]
Acha uoga wewe! πbongo linapokuja swala la kupiga watu,usidhani polisi wanaigiza.[emoji1][emoji1][emoji1]
hao polisi wenu wa kenya tuwaache wako league yao[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu polisi nae vipi anakimbilia vita bila cover up? wacha achapwe!Huyu naye ni mwalimu akimcharaza polisi viboko, mtumishi mwenzake wa umma. Kwenye maandamano ya walimu kule gatuzi la Kericho. π
nyinyi hao mnafanya fujo na ma3,kisha gari ya polisi inapita ikiwazuia mnatoboa tyre mkishangilia[emoji23][emoji23],eti nini hamuogopi polisi.Acha uoga wewe! [emoji28]
Polisi ni mwanadamu tu kama wewe.
HAHAHAHHAHAHHAHAHA kashuka bila chochote hahahahaha hujaona kashuka na gwanda zake hapoVery funny but questionable
Mtu pekee alieweza kutawanya kikundi hiki cha wanaume wa kitanzania ni polisi mmoja tu, tena ni dereva ambae hakuwa hata na chochote.
Jibu la ni moja tu ....UOGA ππ
Polisi kashuka bila chochote na hii ni ishara tu kwamba alikuwa ana nia njema kabisa
View attachment 1617320
Mzee tunaomba ripoti ya maandamanounanijua?
hunijui
mimi kuwepo au kutokuwepo to prove to you is nonsense, no one knows anybody here.
Sikujui hunijui,sina haja ya kuprove chochote kwa watu tusiojuana...
kesho nipo road by any means neccessary...kufa nitakufa mimi sio wewe,worry about your own life not mine..mine belongs to me not you!
#Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana #Nitaandamana
Na nyumban uage kabisa yaannyinyi hao mnafanya fujo na ma3,kisha gari ya polisi inapita ikiwazuia mnatoboa tyre mkishangilia[emoji23][emoji23],eti nini hamuogopi polisi.
hao polisi wenu ni maandazi huo ndio ukweli,bongo sio kwamba ukikomaa humpigi polisi,unamgonga vyema kabisa,ila hakikisha umeandaa mwili na maji umekunywa ya kutosha,hakuna rangi utaacha kuona.