[emoji23] [emoji23] [emoji23] shenzWanavopenda sifa muda sio mrefu utasikia eti Jiwe kashinda tuzo la kuongea kiingereza kwa ufasaha. Alafu tuzo lenyewe atakabidhiwa na yule rais wa Yemen yule, Ghadaffi! 😀
......na hii ya kulipualipua mambo hata katika mambo ya msingi hata elimu ndiyo epitome ya umasikini wetu despite being top 3 in the continent in terms of natural riches.Kama unaweza panda vyeo vya serikali kutoka mbunge, kwenda waziri hadi Rais bila kujua kiingereza cha kudondolea puani basi hamna advantage yeyote ya lugha ya mkoloni. Maisha ya John pombe Magufuli mtoto wa maskini yana ashiria haya kwa uwazi kabisa.
Kumbe padlocks anaeza ongea Kiingereza. Hata kama ni ya kubahatisha lakini amejaribu. Zamani nilikuwa nimempa 2/10 sasa nimempa 5/10. Hongera sana. Watamzania wengine wamuige raisi wao katika kujifunza lugha la kimataifa.Hehehe!! Lugha ya Kingereza huwababaisha na kuwatesa sana wenzetu wa kusini, yaani kitu cha kawaida kama rais kusoma hotuba iliyoandikwa kwa lugha ya kingereza anashangiliwa na kupongezwa sana, hamna anayejadili wala kutaja hoja za hotuba ya rais.
Watakuambia kingereza ni cha mkoloni hawakitaki mara Wachina hawajui kingereza lakini wanafanya makubwa, mara kingereza sio kipimo cha elimu, mara hiki mara kile, yaani vijisababu vyote vya kujiliwaza kwa kushindwa kujifunza kingereza.
Ukienda Bongo utakuta mabango kote yanatangaza nafasi za kujifunza na kuongea Kingereza ndani ya miezi mitatu, sijui nani kawadanganya lugha ni kitu cha kujifunza ndani ya muda mfupi hivyo na unaanza kutema yai moja kwa moja.
Watanzania wachache waliojifunza Kingereza na kukizungumza kwa weledi wananufaika pakubwa maana fursa zipo kibao, nyingi zinashikiliwa na wageni. Kila Mtanzania mwenye hela yake huhakikisha wanae wanasomea kwenye shule zinazofundisha kingereza, walalahoi wa st kayumba aka kajamba ndio wameachwa wakidangaywa wagande kwenye kiswahili tu eti ndio kujikomboa kutoka kwa wakoloni halafu nafasi za ajira zinapotangazwa humo wanachomekea "lazima ujue kuandika na kuongea kingereza kwa ufahasa"
Hahitaji marks za kiiengerezaKumbe padlocks anaeza ongea Kiingereza. Hata kama ni ya kubahatisha lakini amejaribu. Zamani nilikuwa nimempa 2/10 sasa nimempa 5/10. Hongera sana. Watamzania wengine wamuige raisi wao katika kujifunza lugha la kimataifa.
Tumekuelewa mkuu, 'they confident'!Hili suala la lugha ya English huwa linanipa kipimo cha umbumbu wa mtu, sijui ni kutokana na ulimbukeni {lack of exposure} wa watu wengi au vipi, mimi nimekua interacted na watu wa mataifa tofauti kwenye organisations za kimataifa kiukweli wapo wazungu ambao wakiongea English utatamani kuwaziba midomo
Kuna wazungu hawajui kabisa tofauti ya baadhi ya consonants and vowels they are mixing especially from Eastern Europe countries na majority hawajui kabisa English but you won't expect inferiority in the, they confident and don't look down just because of their second language
Ni baadhi tu ya mbumbu za kiafrika ndio tunateseka, lakini ni sababu ya colonial legacy, back then sio mtu tu akiongea kama mzungu alikua anaheshima na kuonekana wa maana kwenye jamii {upper class} bali hata mpaka styles za nywele.
Ramaphosa kachomoa Dili la KenyaHehehe!! Lugha ya Kingereza huwababaisha na kuwatesa sana wenzetu wa kusini, yaani kitu cha kawaida kama rais kusoma hotuba iliyoandikwa kwa lugha ya kingereza anashangiliwa na kupongezwa sana, hamna anayejadili wala kutaja hoja za hotuba ya rais.
Watakuambia kingereza ni cha mkoloni hawakitaki mara Wachina hawajui kingereza lakini wanafanya makubwa, mara kingereza sio kipimo cha elimu, mara hiki mara kile, yaani vijisababu vyote vya kujiliwaza kwa kushindwa kujifunza kingereza.
Ukienda Bongo utakuta mabango kote yanatangaza nafasi za kujifunza na kuongea Kingereza ndani ya miezi mitatu, sijui nani kawadanganya lugha ni kitu cha kujifunza ndani ya muda mfupi hivyo na unaanza kutema yai moja kwa moja.
Watanzania wachache waliojifunza Kingereza na kukizungumza kwa weledi wananufaika pakubwa maana fursa zipo kibao, nyingi zinashikiliwa na wageni. Kila Mtanzania mwenye hela yake huhakikisha wanae wanasomea kwenye shule zinazofundisha kingereza, walalahoi wa st kayumba aka kajamba ndio wameachwa wakidangaywa wagande kwenye kiswahili tu eti ndio kujikomboa kutoka kwa wakoloni halafu nafasi za ajira zinapotangazwa humo wanachomekea "lazima ujue kuandika na kuongea kingereza kwa ufahasa"
Wakenya ni watu wa ajabu sana, hata na mimi pia nimeshangazwa na wakenya wanavomsifia rais wao Jiwe kwa kusoma lugha ambayo ameitumia kwa muda mrefu sana alivokuwa anasomea Phd yake. Sijui hawa watu huwa wanamchukuliaje rais wao.Ushawasikia Hawa jamaa wanaongea Hiyo Lugha mnayojigamba nayo Wakenya wakati mnashindia Gundi Mmpate Stimu!!!
Wakenya ni WATUMWA WA MUINGEREZA!!!
View attachment 1110681
View attachment 11106825
View attachment 1110683
View attachment 1110684
lakini ukilinganisha na Mtanzania,,, Mkenya ni mtu tajiri, msomi na mjanja zadi ya Mtanzania. hilo usiwai sahau katika maisha yako yote.Tz tunachukulia English kama Lugha za kienyeji. Tofauti na Mkenya anaamini akiongea kiingereza basi ashakua
1. Tajiri
2. Msomi
3. Mjanja
Badilikeni!!!!
lakini ukilinganisha na Mtanzania,,, Mkenya ni mtu tajiri, msomi na mjanja zadi ya Mtanzania. hilo usiwai sahau katika maisha yako yote.
Kenya ako tajiri sana ni Wivu wa wa Tz tu.
Hata Siku ingine tukipata Hunger hatuwezi nunua chakula from TZ
E
Sasa kama ndo hivyo, kwa nini tumsifie kwa kuongea kingereza?Wakenya mpo vizuri kwenyr kingereza mnajua sana sanaaa yaani kupita hata waingereza wenyewe komaeni kwenye kingereza kitawaletea utajiri na maendeleo mazuri sana kitawapa marafiki wengi kitawalipa mishahara kitawajengea miundo mbinu wakenya mpo juu kwa kiingereza kuliko nchi yoyote duniani safi sana kama wakenya mna kitu cha kujivunia.
Hizo ndo sifa za kijinga wakenya mnazo ziwaza na kuzipenda sina hiyana nimewapa na nyingine nilizo sahau nikizipata wakenya nitawaekea.
Tanzania haiitaji kingereza ili kujiendesha au kufanikiwa tunahitaji akili, utayari, uthubutu madhubuti fikra pana na uwezo wa kutumia nguvu kikamilifu kwa maendeleo ya taifa letu.
Mkuu, 5 nyingi mno kwa mtu wa elimu yake ukilinganisha na alichokiongea(sio kusoma) na alivyokuwa anasomaKumbe padlocks anaeza ongea Kiingereza. Hata kama ni ya kubahatisha lakini amejaribu. Zamani nilikuwa nimempa 2/10 sasa nimempa 5/10. Hongera sana. Watamzania wengine wamuige raisi wao katika kujifunza lugha la kimataifa.
Kwahyo we unaona Ni ufahalii kubwa jinga hvyoooooHehehe! Pole ila ndivyo ilivyo, kinawatesa sana kingereza...
Kenya ni nchi maskini sana.
90% ni jangwa. Wanajitutumua tu
View attachment 1110951
View attachment 1110952
Sio hapo tu, cheki hii phrase yoteTumekuelewa mkuu, 'they confident'!