Video: Watanzania wampongeza rais wao kwa kusoma hotuba ya kingereza

Video: Watanzania wampongeza rais wao kwa kusoma hotuba ya kingereza

Angekua hajui asingeongea acheni porojo bana
 
Kama unaweza panda vyeo vya serikali kutoka mbunge, kwenda waziri hadi Rais bila kujua kiingereza cha kudondolea puani basi hamna advantage yeyote ya lugha ya mkoloni. Maisha ya John pombe Magufuli mtoto wa maskini yana ashiria haya kwa uwazi kabisa.
......na hii ya kulipualipua mambo hata katika mambo ya msingi hata elimu ndiyo epitome ya umasikini wetu despite being top 3 in the continent in terms of natural riches.
 
Hehehe!! Lugha ya Kingereza huwababaisha na kuwatesa sana wenzetu wa kusini, yaani kitu cha kawaida kama rais kusoma hotuba iliyoandikwa kwa lugha ya kingereza anashangiliwa na kupongezwa sana, hamna anayejadili wala kutaja hoja za hotuba ya rais.
Watakuambia kingereza ni cha mkoloni hawakitaki mara Wachina hawajui kingereza lakini wanafanya makubwa, mara kingereza sio kipimo cha elimu, mara hiki mara kile, yaani vijisababu vyote vya kujiliwaza kwa kushindwa kujifunza kingereza.

Ukienda Bongo utakuta mabango kote yanatangaza nafasi za kujifunza na kuongea Kingereza ndani ya miezi mitatu, sijui nani kawadanganya lugha ni kitu cha kujifunza ndani ya muda mfupi hivyo na unaanza kutema yai moja kwa moja.

Watanzania wachache waliojifunza Kingereza na kukizungumza kwa weledi wananufaika pakubwa maana fursa zipo kibao, nyingi zinashikiliwa na wageni. Kila Mtanzania mwenye hela yake huhakikisha wanae wanasomea kwenye shule zinazofundisha kingereza, walalahoi wa st kayumba aka kajamba ndio wameachwa wakidangaywa wagande kwenye kiswahili tu eti ndio kujikomboa kutoka kwa wakoloni halafu nafasi za ajira zinapotangazwa humo wanachomekea "lazima ujue kuandika na kuongea kingereza kwa ufahasa"


Kumbe padlocks anaeza ongea Kiingereza. Hata kama ni ya kubahatisha lakini amejaribu. Zamani nilikuwa nimempa 2/10 sasa nimempa 5/10. Hongera sana. Watamzania wengine wamuige raisi wao katika kujifunza lugha la kimataifa.
 
Kumbe padlocks anaeza ongea Kiingereza. Hata kama ni ya kubahatisha lakini amejaribu. Zamani nilikuwa nimempa 2/10 sasa nimempa 5/10. Hongera sana. Watamzania wengine wamuige raisi wao katika kujifunza lugha la kimataifa.
Hahitaji marks za kiiengereza
 
Hili suala la lugha ya English huwa linanipa kipimo cha umbumbu wa mtu, sijui ni kutokana na ulimbukeni {lack of exposure} wa watu wengi au vipi, mimi nimekua interacted na watu wa mataifa tofauti kwenye organisations za kimataifa kiukweli wapo wazungu ambao wakiongea English utatamani kuwaziba midomo

Kuna wazungu hawajui kabisa tofauti ya baadhi ya consonants and vowels they are mixing especially from Eastern Europe countries na majority hawajui kabisa English but you won't expect inferiority in the, they confident and don't look down just because of their second language

Ni baadhi tu ya mbumbu za kiafrika ndio tunateseka, lakini ni sababu ya colonial legacy, back then sio mtu tu akiongea kama mzungu alikua anaheshima na kuonekana wa maana kwenye jamii {upper class} bali hata mpaka styles za nywele.

images
Tumekuelewa mkuu, 'they confident'!
 
Ushawasikia Hawa jamaa wanaongea Hiyo Lugha mnayojigamba nayo Wakenya wakati mnashindia Gundi Mmpate Stimu!!!
Wakenya ni WATUMWA WA MUINGEREZA!!!
1110681

1110682
5
1110683

1110684
 
Tz tunachukulia English kama Lugha za kienyeji. Tofauti na Mkenya anaamini akiongea kiingereza basi ashakua
1. Tajiri
2. Msomi
3. Mjanja
Badilikeni!!!!
 
Hehehe!! Lugha ya Kingereza huwababaisha na kuwatesa sana wenzetu wa kusini, yaani kitu cha kawaida kama rais kusoma hotuba iliyoandikwa kwa lugha ya kingereza anashangiliwa na kupongezwa sana, hamna anayejadili wala kutaja hoja za hotuba ya rais.
Watakuambia kingereza ni cha mkoloni hawakitaki mara Wachina hawajui kingereza lakini wanafanya makubwa, mara kingereza sio kipimo cha elimu, mara hiki mara kile, yaani vijisababu vyote vya kujiliwaza kwa kushindwa kujifunza kingereza.

Ukienda Bongo utakuta mabango kote yanatangaza nafasi za kujifunza na kuongea Kingereza ndani ya miezi mitatu, sijui nani kawadanganya lugha ni kitu cha kujifunza ndani ya muda mfupi hivyo na unaanza kutema yai moja kwa moja.

Watanzania wachache waliojifunza Kingereza na kukizungumza kwa weledi wananufaika pakubwa maana fursa zipo kibao, nyingi zinashikiliwa na wageni. Kila Mtanzania mwenye hela yake huhakikisha wanae wanasomea kwenye shule zinazofundisha kingereza, walalahoi wa st kayumba aka kajamba ndio wameachwa wakidangaywa wagande kwenye kiswahili tu eti ndio kujikomboa kutoka kwa wakoloni halafu nafasi za ajira zinapotangazwa humo wanachomekea "lazima ujue kuandika na kuongea kingereza kwa ufahasa"

Ramaphosa kachomoa Dili la Kenya
Umeiskia Hiyo?
 
Ushawasikia Hawa jamaa wanaongea Hiyo Lugha mnayojigamba nayo Wakenya wakati mnashindia Gundi Mmpate Stimu!!!
Wakenya ni WATUMWA WA MUINGEREZA!!!
View attachment 1110681
View attachment 11106825
View attachment 1110683
View attachment 1110684
Wakenya ni watu wa ajabu sana, hata na mimi pia nimeshangazwa na wakenya wanavomsifia rais wao Jiwe kwa kusoma lugha ambayo ameitumia kwa muda mrefu sana alivokuwa anasomea Phd yake. Sijui hawa watu huwa wanamchukuliaje rais wao.
 
Tz tunachukulia English kama Lugha za kienyeji. Tofauti na Mkenya anaamini akiongea kiingereza basi ashakua
1. Tajiri
2. Msomi
3. Mjanja
Badilikeni!!!!
lakini ukilinganisha na Mtanzania,,, Mkenya ni mtu tajiri, msomi na mjanja zadi ya Mtanzania. hilo usiwai sahau katika maisha yako yote.
 
lakini ukilinganisha na Mtanzania,,, Mkenya ni mtu tajiri, msomi na mjanja zadi ya Mtanzania. hilo usiwai sahau katika maisha yako yote.
Kenya ako tajiri sana ni Wivu wa wa Tz tu.
Hata Siku ingine tukipata Hunger hatuwezi nunua chakula from TZ
E
1110946

1110947
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Wakenya mpo vizuri kwenyr kingereza mnajua sana sanaaa yaani kupita hata waingereza wenyewe komaeni kwenye kingereza kitawaletea utajiri na maendeleo mazuri sana kitawapa marafiki wengi kitawalipa mishahara kitawajengea miundo mbinu wakenya mpo juu kwa kiingereza kuliko nchi yoyote duniani safi sana kama wakenya mna kitu cha kujivunia.
Hizo ndo sifa za kijinga wakenya mnazo ziwaza na kuzipenda sina hiyana nimewapa na nyingine nilizo sahau nikizipata wakenya nitawaekea.
Tanzania haiitaji kingereza ili kujiendesha au kufanikiwa tunahitaji akili, utayari, uthubutu madhubuti fikra pana na uwezo wa kutumia nguvu kikamilifu kwa maendeleo ya taifa letu.
Sasa kama ndo hivyo, kwa nini tumsifie kwa kuongea kingereza?

Ina maana tunamwambia hawezi kwa hiyo kumsikia akiongea ung'eng'e basi lazima asifiwe!

Akipondwa kwa kutoongea Eng mnalalamika, akiongea broken Eng kama yangu mnamsifia.

Unafiki ni kama uchawi tu.
 
Kumbe padlocks anaeza ongea Kiingereza. Hata kama ni ya kubahatisha lakini amejaribu. Zamani nilikuwa nimempa 2/10 sasa nimempa 5/10. Hongera sana. Watamzania wengine wamuige raisi wao katika kujifunza lugha la kimataifa.
Mkuu, 5 nyingi mno kwa mtu wa elimu yake ukilinganisha na alichokiongea(sio kusoma) na alivyokuwa anasoma

Nampa 3/10 ili aongeze juhudi
 
Hili deal la kufundisha kiswahili kule south limewaharibia sana nadhani wataandika thread nyingi sana.
Kwa kuwa wanajua kiingereza wanaweza kwenda south Africa kufundisha kile kiswahili chao cha kuchanganya nomini na vivumishi nadhani Cril alivishtukia
 
Kenya ni nchi maskini sana.
90% ni jangwa. Wanajitutumua tu
View attachment 1110951
View attachment 1110952

Ndio hili nimekua siku zote najaribu kuwaelimisha ndugu zako kuwa nchi yetu kame tupu, ila la kushangaza tunaongoza ukanda wote huu kiuchumi, kijeshi, kielimu, na kila kitu.
Ina maana tunajituma sana wakati mivivu wenye liinchi likubwa lenye kila kitu mnatujazia omba omba kwetu hapa, hebu tazama hii video.

 
Tumekuelewa mkuu, 'they confident'!
Sio hapo tu, cheki hii phrase yote

"........ inferiority in the(m) , they (......) confident and..... "


Hizo ni typos and I have no time to do proofreading here, for what? Pick it as it pleases you I don't care 😊
 
Back
Top Bottom