Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #121
Dume Hilo lishakuwa papai!oya!! huyu si mwanaume kabisa man!!!!..aua nemekosea labda!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dume Hilo lishakuwa papai!oya!! huyu si mwanaume kabisa man!!!!..aua nemekosea labda!!!
Acha kuchafua bar za watu weweahahaaaaaaaaaaaaaa!!!!!! nasikia enzi za BILICANAS!!! kulikuwa na baunsa mmoja akikuona kimbaumbau kama mimi unaingia chooni kujisaidia nae anazama!! anakukwida alaf anakuuliza,"nivue unichomeke au nisivue?"" ukisema usivue,,,anakuminya mpaka unazima!!!
Arusha hiyowajinga kabisa wanaume wa dar
Jamaa katua Arusha this week ....kuna gym IPO Njiro imemletaNimefatilia mkuu wale ni WA south sio bongo hii
squash kwaajili ya muscles za mapajaKama gym kwenywewe mazoezi ndo haya bakini na gym Zenu na mazoezi yenu.
Yupo Arusha ....Katua Juzi......Hapo ni Bondeni kwa Madiba. Na SA kwa mashoga wamejaa kama wote.
huyo msouth anakuja arusha au yupo arusha tyr?Jamaa yupo Arusha this week
aiseeeYupo Arusha ....Katua Juzi......
watu waarusha nendeni sasa fursa hiyojamaa anaitwa dlamini
mkipata nafasi ahojiwe kama kipa bado yupo ulingoniJamaa katua Arusha this week ....kuna gym IPO Njiro imemleta
Una Roho mbaya sana na wewe lijamaa yaani ukifa mke wako ataolewa siku ya matanga na hilo li avatar lako li baya la hovyo hovyo,mkipata nafasi ahojiwe kama kipa bado yupo ulingoni
Mke wangu hata olewa labda akuoe mkuu 😂 😂Una Roho mbaya sana na wewe lijamaa yaani ukifa mke wako ataolewa siku ya matanga na hilo li avatar lako li baya la hovyo hovyo,
Hovyo kabisa wewe lijamaa na hapa nipo live bila chenga sikuogopi na kama ukinijibu nawaambia mods wakupige ban maisha na kama hujui Max Melo ni Mjomba wangu hivyo siogopi lolote na chochote nipo tayari kwa mpambano!
😂😂😂
Note & Warning Comment yangu haihusiani na comment Yako mkuu! Nikifa MkeWangu Asiolewe
Unaona unaona mpenzi mtazamaji kasema mke wake atanioa na kunilipia mahali kabisa na atanifanya Marioo nilale kwenye kitanda cha Marehemu,Mke wangu hata olewa labda akuoe mkuu 😂 😂
Yupo Arusha tayari....Show yake na Gym za Arusha ni Kesho tarehe 29 mpaka 31 Mayhuyo msouth anakuja arusha au yupo arusha tyr?
watu wajasili kweli jamaa mwenye tako lote lile loohYupo Arusha tayari....Show yake na Gym za Arusha ni Kesho tarehe 29 mpaka 31 May