VIDEO: Watu wa Gym haya ni mazoezi gani na yanasaidia nini?

VIDEO: Watu wa Gym haya ni mazoezi gani na yanasaidia nini?

Gym now days kuna mambo mengi ya kijinga

Ova
Kabisa kabisa ata hii ya kufanya mazoezi wameungana na wanawake afu wote wamevaa vitait vifupi vimewanata mwilini aisee hivi afya yao ya akili itakua sawa kweli, kuna mambo yanapaswa kujiwekea mipaka hatupaswi kabisa kulingana ki mavazi, tabia ata muonekano na wanawake wao wana asili yao na sisi tuna asili yetu
 
Wenzenu kupunguza uzito ni ajira tosha. Mfano huko Dubai mtu akipunguza uzito analipwa

Authorities in Dubai are offering gold in return for weight loss in an scheme to encourage healthier living.


For each kilogram lost, participants will receive a gram of gold, which is currently worth about $45 (£30).

Those taking part - dubbed "golden losers" - need to lose at least two kilos to receive the payout.

The three participants who lose the most weight will be entered into a draw to win a gold coin worth $5,400.


View: https://www.wsj.com/video/dubai-offers-gold-for-weight-loss/100DBB1B-F1FD-4878-89BD-0CD2F1D872DA

Wanaotaka kuzamia Dubai


View: https://www.youtube.com/watch?v=H3C2-Iojke4
 
Nakumbuka zamani ile naenda kujiunga na gym (ya mtaa) ila iko smart sana, mara ya kwanza kuingia ndani tu nilishtuka asee kuna madogo na mafather wamekata yani ndani unakuta watu kazi watu chuma tuu.

story mkiwa ndani sasa utasikia, fulani umu ndani ndo king alipiga askari watano kwa pamoja usimchezee na story nizakweli. Kuna jamaa mmoja alikua anapenda kutembea usiku sana akikutana na kibaka anampasua uso anamtoa jino anakuja nalo gym kutuonesha.

Kwaiyo ilikua kama challenge ivi, huwezi kua member verified bila kua na tukio la kishujaa na huwez kua top member bila matukio endelevu.

Kufikia tu mwezi nkajikuta nisha adapt kuvaa mashati makubwa, kunyoa upara, kuvaa viatu vya seft tu kama timberland and etc. Mtaani nikawa mkombozi watu wakidhulumiwa naitwa nikasuruhishe.

Sasa sikuizi izi gym ziko mixed na wanawake dah naona ni kama kuhamasishana uzinzi tuu. Tulikua tunafanya mazoez ya pumzi sana ila pale hakuna ambae alishawahi kufanya ayo mazoez ya squats kubinua tako ivo hell no.
 
Nakumbuka zamani ile naenda kujiunga na gym (ya mtaa) ila iko smart sana, mara ya kwanza kuingia ndani tu nilishtuka asee kuna madogo na mafather wamekata yani ndani unakuta watu kazi watu chuma tuu.

story mkiwa ndani sasa utasikia, fulani umu ndani ndo king alipiga askari watano kwa pamoja usimchezee na story nizakweli. Kuna jamaa mmoja alikua anapenda kutembea usiku sana akikutana na kibaka anampasua uso anamtoa jino anakuja nalo gym kutuonesha.

Kwaiyo ilikua kama challenge ivi, huwezi kua member verified bila kua na tukio la kishujaa na huwez kua top member bila matukio endelevu.

Kufikia tu mwezi nkajikuta nisha adapt kuvaa mashati makubwa, kunyoa upara, kuvaa viatu vya seft tu kama timberland and etc. Mtaani nikawa mkombozi watu wakidhulumiwa naitwa nikasuruhishe.

Sasa sikuizi izi gym ziko mixed na wanawake dah naona ni kama kuhamasishana uzinzi tuu. Tulikua tunafanya mazoez ya pumzi sana ila pale hakuna ambae alishawahi kufanya ayo mazoez ya squats kubinua tako ivo hell no.
Na mapunga kibao wako

Ova
 
Na mapunga kibao wako

Ova
Upunga ni kwenye izi gym zenu za kizungu, nimepiga gym na kina lord eyes kinondoni miaka ile ndo mamaster tunaenda battle to battle na kina brother pina we acha ilikua ni kiumeni kweli, mtu mentality inakaa kivita vita ukikosa challenge unaumwa huo ujasiri wa uyo punga kusogea kiumeni anauto wapi. Huwezi kukaa kiumeni huna tukio yani ilikua haiwezekani, bas labda hue na hata kovu la kisu kidogo utatambulika.
 
Yes hizo ndo gym sasa mkuu.
Upunga ni kwenye izi gym zenu za kizungu, nimepiga gym na kina lord eyes kinondoni miaka ile ndo mamaster tunaenda battle to battle na kina brother pina we acha ilikua ni kiumeni kweli, mtu mentality inakaa kivita vita ukikosa challenge unaumwa huo ujasiri wa uyo punga kusogea kiumeni anauto wapi. Huwezi kukaa kiumeni huna tukio yani ilikua haiwezekani, bas labda hue na hata kovu la kisu kidogo utatambulika.
o
 
Tatizo vijana mnawaza uchafu kwenye kila kila kitu, hayo mazoezi yanalenga magoti.
 
Nakumbuka zamani ile naenda kujiunga na gym (ya mtaa) ila iko smart sana, mara ya kwanza kuingia ndani tu nilishtuka asee kuna madogo na mafather wamekata yani ndani unakuta watu kazi watu chuma tuu.

story mkiwa ndani sasa utasikia, fulani umu ndani ndo king alipiga askari watano kwa pamoja usimchezee na story nizakweli. Kuna jamaa mmoja alikua anapenda kutembea usiku sana akikutana na kibaka anampasua uso anamtoa jino anakuja nalo gym kutuonesha.

Kwaiyo ilikua kama challenge ivi, huwezi kua member verified bila kua na tukio la kishujaa na huwez kua top member bila matukio endelevu.

Kufikia tu mwezi nkajikuta nisha adapt kuvaa mashati makubwa, kunyoa upara, kuvaa viatu vya seft tu kama timberland and etc. Mtaani nikawa mkombozi watu wakidhulumiwa naitwa nikasuruhishe.

Sasa sikuizi izi gym ziko mixed na wanawake dah naona ni kama kuhamasishana uzinzi tuu. Tulikua tunafanya mazoez ya pumzi sana ila pale hakuna ambae alishawahi kufanya ayo mazoez ya squats kubinua tako ivo hell no.
Hii ni kweli kabisa haya mazoezi ya siku hizi ya ana manake upande wa pili
 
M
Kabisa kabisa ata hii ya kufanya mazoezi wameungana na wanawake afu wote wamevaa vitait vifupi vimewanata mwilini aisee hivi afya yao ya akili itakua sawa kweli, kuna mambo yanapaswa kujiwekea mipaka hatupaswi kabisa kulingana ki mavazi, tabia ata muonekano na wanawake wao wana asili yao na sisi tu
Umenena Vyema mkuu
 
Back
Top Bottom