Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Mazoezi ya kukaza/kuongeza misuli ya matako na mapaja..Kama gym kwenywewe mazoezi ndo haya bakini na gym Zenu na mazoezi yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazoezi ya kukaza/kuongeza misuli ya matako na mapaja..Kama gym kwenywewe mazoezi ndo haya bakini na gym Zenu na mazoezi yenu.
Sikatai asee haiwezekan mwanaume uwe na makalio namna ileWote mademu hapo
Mazoezi ya kukaza/kuongeza misuli ya matako na mapaja..
Siwezi kuwa mzaramo hata siku mojautakuwa mtu wa pwani, tatizo ni nini hapo?
Kupata mimbaKama gym kwenywewe mazoezi ndo haya bakini na gym Zenu na mazoezi yenu.
Nimewahi ambiwa hii saivi Nakubali.mkuu hiyo ipo gym zote tu, za watu wazembe wazembe
😂😂Kupata mimba
UhakikaVAR check.Goli halali (Mashoga)
Wa south waleIla wanaume wa dar mnafeli kinoma.!
Kumbe ni Dar?
Dume linakuza tako.
Unaweza kuta jitu mbavu nene kumbe linaliwa tko. Bongo ushuzi kweli
Hakuna mazoez mengine?Kwa wanawake wanao enda fanya mazoezi hiyo gym Jamaa ana amsha amsha sana.
shida ni Jamaa mwenyewe sasa,ila sisi ni nani wakumpangia aina ya maisha aliyochagua? Tumuache aendelee kuweka watu sawa sio mbaya
Kumbe papaiKuna mmoja nimemuona hapo nikajua ni mwanamke,kumbe dume na mindevu Yake🏃🏃
HatariiDah kinyaaa