DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
Hapo kumejaa mashoga tuKama gym kwenywewe mazoezi ndo haya bakini na gym Zenu na mazoezi yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kumejaa mashoga tuKama gym kwenywewe mazoezi ndo haya bakini na gym Zenu na mazoezi yenu.
Duniani humu kuna mambo mengi sana.Yanasaidia nn
Inawezekana.Haya sawa. Ila Kuna halufu ya mapapai hapo
Aisee nikweliDuniani humu kuna mambo mengi sana.
Ni hatarii. Kipindi Cha nyuma nilkuwa najua gym ni sehemu ya kwenda watu makini tu wenye uhitaji wa kuboresha miili yao Kwa mazoezi lkn Kwa Sasa hapa aminiki Tena!Hapo kumejaa mashoga tu
MdundikoSiwezi kuwa mzaramo hata siku moja
Jaamaa wanakuzaa makalio na Yule jamaa lao kubwa jinga mwemye kalio kmaKuna mmoja nimemuona hapo nikajua ni mwanamke,kumbe dume na mindevu Yake🏃🏃
Kuna mmoja nimemuona hapo nikajua ni mwanamke,kumbe dume na mindevu Yake🏃🏃
😃😃😃Ni hatarii. Kipindi Cha nyuma nilkuwa najua gym ni sehemu ya kwenda watu makini tu wenye uhitaji wa kuboresha miili yao Kwa mazoezi lkn Kwa Sasa hapa aminiki Tena!
Kufanya nini?Nawewe unayafanya mkuu?
Hayo mazoezKufanya nini?
Nzi kufia kwenye kidonda si bahati mbaya ni mpangilio ya maisha yake.Kilala kheri mkuu. Ukirudi na Linda katoe sadaka
😀 😀 😀 😀 haya mazonge sasa ndomana unakuta kidume kimeumuka umuka hadi makalioKama gym kwenywewe mazoezi ndo haya bakini na gym Zenu na mazoezi yenu.
Hao ni wasauziwajinga kabisa wanaume wa dar
🤔 kweli kabisa sasa kubinua vile ndo nini sasa?Hao ni wasauzi
Gym zimekuwa na mambo mengi siku hizi
Hata kama kujenga afya lakin wapunguze mbwembwe
Ova
Aya nimekuja nipo hapa hizo squat za kubinuka hivo ni za kutengeneza hips na kiuno......zipo squat ambazo hubinukiWanakujaa, wee subirii.
Gym now days kuna mambo mengi ya kijinga🤔 kweli kabisa sasa kubinua vile ndo nini sasa?