Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana mvuto hata kidogo huyu babuKatika kile kilichoonekana watu kususa hotuba ya mgombea Uraisi kupitia chama cha mapinduzi Zanzibar .watu wakiwa wamevalia nguo zenye nembo ya CCM walionekana wakitoka huku mgombea huyo akiendelea na hotuba.
View attachment 1589217
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]Katika kile kilichoonekana watu kususa hotuba ya mgombea Uraisi kupitia chama cha mapinduzi Zanzibar .watu wakiwa wamevalia nguo zenye nembo ya CCM walionekana wakitoka huku mgombea huyo akiendelea na hotuba.View attachment 1589217
Ndio maana wakisikia watu wamemsubiria mtu mpaka usiku, wanapata hasira sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Visiwani wanamwita ng'ombe
ongeza volume huko mbele wakusikie
Mbona unawafokea! Watu walikuwa wengi, lakini baada ya burudani wakaamua kuondoka. Kwani hapo wanafanyaje?Nenda utube kaangalie mkutano, unaweka upuuzi wa sekunde 60 una uingizia maneno. Kaangalie mkutano upo U tube, hakuna longolongo.