Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ushabiki wa kijinga ndio ulifanyika hata wakati wa corona, wanatengeza picha halafu wanasema watu walikuwa wanakufa ovyo na corona, mimi naamini kama ujinga ule haukufanikwa hata huu pia hautafanikiwa, inabidi watu wenye uelewa tuwe watazamaji tu maana wajinga wanajipa matumaini.Sijapenda mtu mwenye akili timamu kudanganya watu kirahisi hivi inatia hasira sana
Kuna sehemu imetajwa CHADEMA kwenye mada au video imehusisha CHADEMA kwa namna yeyote?
Mkuu..nime-share tu video hii..siwezi fanya huo ujinga wa kutengeneza video ili iwe nini, kwa manufaa ya nani..Mimi itanisaidia nini. Mimi sina chama ,narudia sina chama !Huu ushabiki wa kijinga ndio ulifanyika hata wakati wa corona, wanatengeza picha halafu wanasema watu walikuwa wanakufa ovyo na corona, mimi naamini kama ujinga ule haukufanikwa hata huu pia hautafanikiwa, inabidi watu wenye uelewa tuwe watazamaji tu maana wajinga wanajipa matumaini.
na ndo maana anaomba kula kwa vitisho sana,akijua akisharudi ikulu hasira yote ataipeleka sehemu walipo mnyima kulaMagufuli amekosa kibali cha wananchi,ni vyema akajitoa katika kinyang'anyiro hiki
Kawadanganye mazezeta wenzako.Katika kile kilichoonekana watu kususa hotuba ya mgombea Urais kupitia chama cha mapinduzi Zanzibar. Watu wakiwa wamevalia nguo zenye nembo ya CCM walionekana wakitoka huku mgombea huyo akiendelea na hotuba.
Wanajidanganya wenyewe Malalamiko FCHii video ingekaa poa kama mchukua picha angekuwa juu ya jukwaa nyuma ya JPM alafu tuone watu wanavyoondoka.
Lakini kuweka video ya mkutano ulioisha wa siku za nyuma na kuweka sauti ya JPM ni uwongo wa hali ya juu.
Acha uongo dogo na picha na video za kuungaunga!! Ilikuwa live tv zote kila mtu kaona. Pia tuliokuwa Zanzibar tuneona live mpaka mwisho. Leo imewaumaaa sanaaaa!! Na bado!!!!!Katika kile kilichoonekana watu kususa hotuba ya mgombea Urais kupitia chama cha mapinduzi Zanzibar. Watu wakiwa wamevalia nguo zenye nembo ya CCM walionekana wakitoka huku mgombea huyo akiendelea na hotuba.
Mshua anakwama sana hajui kuongea huyo angebakigi tuu kuwa waziri maana hana busara kabisa na hana break na maneno yake mara maendeleo hayana chama, sisi wote ni watanzania mara ukichagua upinzani mtajuta sasa. Tumuelewe vp, mbona anafeli sanaHuu ushabiki wa kijinga ndio ulifanyika hata wakati wa corona, wanatengeza picha halafu wanasema watu walikuwa wanakufa ovyo na corona, mimi naamini kama ujinga ule haukufanikwa hata huu pia hautafanikiwa, inabidi watu wenye uelewa tuwe watazamaji tu maana wajinga wanajipa matumaini.
Nimemshangaa!! Mwaka huu watatagaaa! Tena yai viza!Hii video ingekaa poa kama mchukua picha angekuwa juu ya jukwaa nyuma ya JPM alafu tuone watu wanavyoondoka.
Lakini kuweka video ya mkutano ulioisha wa siku za nyuma na kuweka sauti ya JPM ni uwongo wa hali ya juu.
Madame ,nimekuelewa ila mbona unatumia lugha Kali wakati Mimi nime-share tu kwa wanajamiiforum.Acha uongo dogo na picha na video za kuungaunga!! Ilikuwa live tv zote kila mtu kaona. Pia tuliokuwa Zanzibar tuneona live mpaka mwisho. Leo imewaumaaa sanaaaa!! Na bado!!!!!
Nikuulize unawashwawashwa na nini ndg yangu! Mbona pilipili ipo shambaaa? Sio jambo jema kwa mwanaume kuwashwawashwa!
acha kubishana na mental disorder people mkuuMadame ,nimekuelewa ila mbona unatumia lugha Kali wakati Mimi nime-share tu kwa wanajamiiforum.
Naomba urekebishe lugha yako ya kuwashwawashwa...maana ina maudhui mabaya!
Kingine Mimi siyo dogo kama unavyodhani ..naweza kuwa sawa na Kaka yako (kama unayo) au nikawa sawa na wewe kiumri..so kuwa makini usiendeshwe na hisia .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yetu alipiga spana siku ileWazee wa kuongeza vichwa.... 🤣🤣
Cc: Mama Maria Nyerere