Video: Watu watatu waanguka kutoka kwenye ndege inayoondoka Kabul (Afghanistan)

Video: Watu watatu waanguka kutoka kwenye ndege inayoondoka Kabul (Afghanistan)

Sijaon
Shirika la Habari la Aśvaka limeripoti kuwa vijana watatu wamefariki baada ya kudondoka kutoka kwenye ndege walipokuwa wakijaribu kuondoka kutoka Kabul, Afghanistan.

Mapema leo, mamia ya raia wa Afghanistan walionekana wakiwa kwenye uwanja wa ndege wakitaka kupanda kwa nguvu kwenye ndege ya Jeshi la Marekani (USAF) aina ya Boeing C-17 iliyokuwa ikiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hamid Karzai mjini Kabul. Video zilizosambaa katika mitandao ya kijamii, ambazo hazikuthibitiswa zilionesha watu wawili wakidondoka kutoka kwenye ndege hiyo.

Chanzo: Aśvaka News Agency

⚠️ TAHADHARI ⚠️

Video hizi zina maudhui ya kuogofya


View attachment 1894361

View attachment 1894353

View attachment 1894354

View attachment 1894355
Sijaona mtu aloanguka, wala sijaona picha za kuogofya, acheni propaganda za kijinga
 
Sijaon
Shirika la Habari la Aśvaka limeripoti kuwa vijana watatu wamefariki baada ya kudondoka kutoka kwenye ndege walipokuwa wakijaribu kuondoka kutoka Kabul, Afghanistan.

Mapema leo, mamia ya raia wa Afghanistan walionekana wakiwa kwenye uwanja wa ndege wakitaka kupanda kwa nguvu kwenye ndege ya Jeshi la Marekani (USAF) aina ya Boeing C-17 iliyokuwa ikiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hamid Karzai mjini Kabul. Video zilizosambaa katika mitandao ya kijamii, ambazo hazikuthibitiswa zilionesha watu wawili wakidondoka kutoka kwenye ndege hiyo.

Chanzo: Aśvaka News Agency

⚠️ TAHADHARI ⚠️

Video hizi zina maudhui ya kuogofya


View attachment 1894361

View attachment 1894353

View attachment 1894354

View attachment 1894355
Sijaona mtu aloanguka, wala sijaona picha za kuogofya, acheni propaganda za kijinga
 
Sharia za kiislamu waislam wenyewe tunaziogopa ,ww ukikutwa unazini ukiwa ushaoa adhabu yako unafukiwa mwili mzima kinabaki kichwa tu kinapigwa mawe mpk unakufa na mkizini wote hamjaoa wala kuolewa adhabu yenu fimbo 100 kila moja sasa kwann watu wasidandie ndege
Kwani ni lazima kuzini?.
Muislam wa kweli ni lazima aigope na kuikimbia zinaa Ustadh tongwe .
 
Kwani watu wanakimbia ?waasi wanapoingia madarakani Mara nyingi wao wanapindua serikali na kukaa madarakani Sasa hapo wananchi kwanini wanaamua kukimbia mbona sielewi
Unawajua taleban wewe, hawa ni binamu na Bokoharam, au alishababu .... Ni masela wanaojificha nyuma ya kivuli cha dini yao.

Kuongoza kwao ni kwa njia ya vitisho na ukatili ili watu wawaogope. Ndio maana wanaitwa terrorists. Hawa jamaa si watu wazuri kabisa. Ndio maana raia wasio taka shida wanasepa mapema.
 
Sharia za kiislamu waislam wenyewe tunaziogopa ,ww ukikutwa unazini ukiwa ushaoa adhabu yako unafukiwa mwili mzima kinabaki kichwa tu kinapigwa mawe mpk unakufa na mkizini wote hamjaoa wala kuolewa adhabu yenu fimbo 100 kila moja sasa kwann watu wasidandie ndege
Hawa jamaa siku ya kwenda mbinguni wakikuta kumbe hizi dhambi zote kumbe husamehewa na kuingia mbinguni ni sote tunaingia watalalamika sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wametangaza kuwa nchi ya kifalme ya kiislamu, na wananchi wake wote ni waislamu sasa shida iko wapi? Wanaokimbia sio waislamu?
Soma vizuri historia ya huu utawala wa Taliban na kwa nini ilifikia wamarekani na warusi kuingilia kati. Hawa jamaa ni makatili balaa mfano chini ya utawala wao ukikutwa umezini/kuchepuka adhabu ni kifo kwa kupigwa mawe; wanawake wakivaa akasahau kufunika kichwa anakula viboko hadharani; wanawake hakuna kufanya kazi yoyote ya kuajiriwa, wao ni kukaa home tuu. Juzi nimesikia hao wapiganaji kwenye miji waliyoiteka wanalazimisha kuoa wanawake kwa nguvu, yaani hata kama mwanamke hampendi mwanaume anaolewa kwa nguvu, kiufupi hawa jamaa ni balaaa.
 
Zishike zote chief.. [emoji23]

Nyege si mchezo, tunapenda kuzini ila zinaa ni uchafu kwa kweli... Ni raha kumfanyia mwenzio, ila ukifanyiwa wewe ndio unaona ubaya wa zinaa
Mkuu usemacho ni kweli swali linakuja hao watoa hukumu ni wakamilifu kiasi Gani?wao hawatendi dhambi kabisa kabisa?huo ni uonevu Tu hakuna binadamu mkamilifu usipotenda Dhambi huku basi utatenda kule na ndo maana tunaoamini uwepo wa Mungu mwenye kuhukumu ni M/Mungu pekee alokamilika acha watu wakimbie wakaishi Uhuru wao!!
 
Unawajua taleban wewe, hawa ni binamu na Bokoharam, au alishababu .... Ni masela wanaojificha nyuma ya kivuli cha dini yao.

Kuongoza kwao ni kwa njia ya vitisho na ukatili ili watu wawaogope. Ndio maana wanaitwa terrorists. Hawa jamaa si watu wazuri kabisa. Ndio maana raia wasio taka shida wanasepa mapema.
Umenena mkuu haiwezekani binadamu mwenye mapungufu kibao aniwekee sheria za hovyo kana kwmba yeye ni mkamilifu sana hawa Wahuni wanaichafua sana dini ni mbwa kama mbwa wengine acha wanaojijua wanapungufu ya kibinadamu wasepe wakaishi kwa uhuru kuliko huko jehanamu!!
 
Mkuu usemacho ni kweli swali linakuja hao watoa hukumu ni wakamilifu kiasi Gani?wao hawatendi dhambi kabisa kabisa?huo ni uonevu Tu hakuna binadamu mkamilifu usipotenda Dhambi huku basi utatenda kule na ndo maana tunaoamini uwepo wa Mungu mwenye kuhukumu ni M/Mungu pekee alokamilika acha watu wakimbie wakaishi Uhuru wao!!
Sisemi watekeleza hukumu ni watu wasafi la hasha, na ndio maana nabii issa aliwaambia watu yule ambae msafi awe wa kwanza kurusha jiwe, watu huwa tuna mihemko tukiona wenzetu wamekosea..

Hukumu ni zake Mwenyezi Mungu, na mpaka kufikia huko kuna vipengele lazima vipitiwe, mfano mtu awe kashuhudiwa na watu wa 4 wenye akili zao timamu, sio kusikia wala kuona mtu anaingia gest au geto, waone laiv tendo linatendeka, au lah mwenyewe akiri kutenda hivyo

Laiti tungeishi km munguu atakavyo dunia ingekuwa sehemu salama, ila ndio hivyo haiwezekani, ibilisi nae kaapa kutuvuruga vuruga
 
Back
Top Bottom