Video: Watu watatu waanguka kutoka kwenye ndege inayoondoka Kabul (Afghanistan)

Video: Watu watatu waanguka kutoka kwenye ndege inayoondoka Kabul (Afghanistan)

Soma vizuri historia ya huu utawala wa Taliban na kwa nini ilifikia wamarekani na warusi kuingilia kati. Hawa jamaa ni makatili balaa mfano chini ya utawala wao ukikutwa umezini/kuchepuka adhabu ni kifo kwa kupigwa mawe; wanawake wakivaa akasahau kufunika kichwa anakula viboko hadharani; wanawake hakuna kufanya kazi yoyote ya kuajiriwa, wao ni kukaa home tuu. Juzi nimesikia hao wapiganaji kwenye miji waliyoiteka wanalazimisha kuoa wanawake kwa nguvu, yaani hata kama mwanamke hampendi mwanaume anaolewa kwa nguvu, kiufupi hawa jamaa ni balaaa.
Ni ma mbwa kichaa yalojificha kwa kivuli cha dini hapo hakuna cha haki wala nini ni mwendo wa ubabe tu sasa dini ndo inataka hvyo dah!!
 
Unaludi na toto la kiarabu
Sure mkuu Kama hili la Lebanon linaniambia lifuate
Screenshot_20210804-234444.png
 
Sasa Taliban wakipundua wananchi wanakimbia nini?kwani Taliban wanawaua wananchi ? Wao Nia yao si madaraka tu
Wanakimbia maana hao jamaa utawala wao una Sheria Kali sana za kidini.
 
Hizo ni bangi. Unaanzaje kudandia ndege?
Sio bangi , bali wanajatibu next available chance.
Insict ya survival inapofeli mahala ulipo , unajaribu the next available move ,
Wakati world trade centers towers zinalipuliwa , kuna watu walikuwa wanajirusha kutoka ghorofa za juu kabisa , na kufa , sio kwamba walikuwa wajinga , bali waliona kubaki ndani kwenye moto wa mafuta hakukuwa na tumaini lolote .
 
Mkuu usemacho ni kweli swali linakuja hao watoa hukumu ni wakamilifu kiasi Gani?wao hawatendi dhambi kabisa kabisa?huo ni uonevu Tu hakuna binadamu mkamilifu usipotenda Dhambi huku basi utatenda kule na ndo maana tunaoamini uwepo wa Mungu mwenye kuhukumu ni M/Mungu pekee alokamilika acha watu wakimbie wakaishi Uhuru wao!!
Vipi mahakimu na majaji wetu nao ni wakamilifu kiasi gani?
Wao hawafanyi makosa kabisa?
Mkuu kwenye jamii yoyote(Serikali) lazima kuwepo sheria, wasimamizi wa sheria pamoja na watu watakao hukumu pindi sheria zikikiukwa.
Kua hakimu haimaanishi kua wewe ni mtakatifu, hata hakimu akifanya makosa na yeye pia atahukumiwa na hakimu mwingine.
Hebu fikiria hapa nchini kusingekua na hukumu kwa yoyote ataefanya makosa hali ingekuaje?
Yaani wizi ruksa, ujambazi ruksa, mauaji ruksa, ubakaji ruksa kwa kua hakuna mtu mtakatifu asie na dhambi ili kuhukumu wafanyao makosa.
 
Sharia za kiislamu waislam wenyewe tunaziogopa ,ww ukikutwa unazini ukiwa ushaoa adhabu yako unafukiwa mwili mzima kinabaki kichwa tu kinapigwa mawe mpk unakufa na mkizini wote hamjaoa wala kuolewa adhabu yenu fimbo 100 kila moja sasa kwann watu wasidandie ndege
Eti huyu naye ni Muislamu na anatarajia Kukutana na Mola wake siku ya Qiyama!
 
Kwani watu wanakimbia ?waasi wanapoingia madarakani Mara nyingi wao wanapindua serikali na kukaa madarakani Sasa hapo wananchi kwanini wanaamua kukimbia mbona sielewi

Wengi wanaopindua serekali huwa sio watu wakawaida, wanakaribia kuwa Wanyama. Historia inonyesha wengi wanaopindua huwa ni Wanyama kwenye utawala wao.
Baada ya mpinduzi 64 Zanzibar, ndani ya kipindi cha mwezi mmoja waliua Zaidi ya watu 20,000/-. Na katika kipindi cha miaka 8 cha utawala wakimapinduzi waliopetea, kufungwa, kubakwa walikua ni wengi sana.
 
Back
Top Bottom