Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikimbilie kulaumu bro,unafikiri mimi naweza angalia na nikamuacha,alie record ni miongoni mwa hao waalim nimetumiwa tu fanya namna huu unyama uishe sio kunilaumu mimi.Mtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu...
Hapana! Kuna walimu ni wabishi hata wakizuiwa hawako tayari kubadilika.Mtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu...
Walimu wa namna hii wanaotumia zaidi adhabu ya viboko wengi hawako sawa kisaikolojia. Utakuta mwalimu anaadhibu mwanafunzi kama anaua nyoka! Duh! Serikali itoe tamko. Viboko sio suluhisho la kudhibiti nidhamu
Whatever the reason hi haikubaliki. Prof Mkenda take note of this please!
Prof Mkenda take note na chukua hatuaMtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu ? ili asimuumize mtoto !! Serikali iwe inawafukuza hata wanaorekodi ! Jifunzeni kuonyana na kuelemishana nyie kwa nyie.
Yaani kama una uwezo wa kushuhudia na kurekodi mtoto anapigwa hivyo , maana yake hata wewe ni katili unamrekodi katili mwenzio.
Huku mtandaoni tumewachoka ! Kila siku nyie kurekodiana tu au ndo fashion Walimu
Wazazi walindeni waoto wenu, mtotot akikushitakia lala mbele na mwalimu mhusika. Kwa sasa hatuna walimu, ni takataka za kutesa watoto. Chukueni sheria mkononi mnusuru watoto wenu! Serikali does not care , wanusuru watoto wenu!Mtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu ? ili asimuumize mtoto !! Serikali iwe inawafukuza hata wanaorekodi ! Jifunzeni kuonyana na kuelemishana nyie kwa nyie.
Yaani kama una uwezo wa kushuhudia na kurekodi mtoto anapigwa hivyo , maana yake hata wewe ni katili unamrekodi katili mwenzio.
Huku mtandaoni tumewachoka ! Kila siku nyie kurekodiana tu au ndo fashion Walimu