DOKEZO VIDEO: Wazazi angalieni Walimu Shule ya Sekondari Majaliwa

DOKEZO VIDEO: Wazazi angalieni Walimu Shule ya Sekondari Majaliwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tatzo watu hawaji na mtazamo Chanya zaid yakuweka sababu ambazo hazina uhusiano
Dah! Kizazi hiki ndio maana matoto yetu yanakuwa mashoga. Mnataka walimu wawapetipeti wanafunzi.
 
1. Matokeo ya kuajiri failures, watu wenye stress zao tayari...

2. Ukosefu wa mamlaka za uwajibishaji tangia ngazi ya chini, waalimu kama hao wanaomwaga viboko iliopaswa kuwe na mamlaka ya kuwawajibisha tokea ngazi ya shule...
Kwanza inaitwa failers na sio failures. Failers tunashinda Jamiiforums. Au unafikiria failers ni yule wa darasani? Unadhani Dewji anashinda humu? Sisi ndio failers.
 
Kwanza inaitwa failers na sio failures. Failers tunashinda Jamiiforums. Au unafikiria failers ni yule wa darasani? Unadhani Dewji anashinda humu? Sisi ndio failers.

Iache hivyo hivyo ulivyoiona imeandikwa na usiiweke unavyotaka wewe...
 
Walimu ni washamba sana

Sasa hapo alikuwa anarekodi ili iwe nini?

Na kama alikuwa anajua kitendo anachofanya hakina shida kwanini akifanya kwa kificho kwanini hakufanya wenzake wote waone?

Kinachotakiwa hapa ni kuanzia na hawa walimu wapenda kurekodi

Mbona hatujawahi kuona nesi akifanya procedures kwa mgonjwa akarekodiwa na wenzake?

Tuna haki ya kusema kada ya walimu imeingiliwa na watu wasiojielewa

Sasa hapa inatakiwa kuanza na walimu wanaorekodi na kusambaza bila yeye kuchukua hatua kwanza kunusuru ile hali

Huyu anataka kuonekana yeye ni shujaa kumbe ndezi mmoja
 
Enheee mwalimu utakae kuja kumzingua mwanangu aise nachoma shule moto ,siku nitakayo enda kumuandikisha mwanangu shule iwe msingi au sec natoa onyo kabisa viboko mwisho 4 vikizidi apo wataniona mbaya ,
Mchelea mwana kulia hulia yeye......... Spare the rod spoil the child....!
ndugu zangu..... viboko vina sehemu yake ktk maadili ya mtoto,

Tukijifinya wanetu ni MAYAI wasiguswe tujiandae kupokea watoto wetu ambao wanafanywa na kila mwenzao, toto linagezwa shoga, lingine linafira wenzake.... ila sababu tumesema tusiwaguse..... basi kweli hawaguswi unakujakupokea toto ni JIZI, MALAYA, SHOGA , VUTA BANGI, LILEVI na yote hayo anayafanya shuleni na ni kwasababu tu hatutaki wanentu waadhibiwe......!

Majanga mengi ya watoto kuharibika ni wakati tumepeleka wanentu UGANDA na KENYA tukiaminishana KIINGEREZA NDIO ELIMU, walirudi watoto wameharibika kichizi ila wanaongea kiingereza kizuri.

MWITO WANGU

TUUNGANE KUWASIHI WALIMU WANAPOCHAPA BASI WASICHAPE KAMA WANAUA NYOKA, BALI WAWAADHIBU KAMA WAZAZI
 
Usikimbilie kulaumu bro,unafikiri mimi naweza angalia na nikamuacha,alie record ni miongoni mwa hao waalim nimetumiwa tu fanya namna huu unyama uishe sio kunilaumu mimi.Shule ipo kusini inaitwa Qassim Majaliwa Secondary school...so kazi kwako,sijaileta hapa ili iwe watu ku enjoy..we need to do something wewe na mimi.
Huyo mwalimu aliyekutumia badala ya kuchukua hatua kwanza na yeye ni mpumbavu tu.
 
Asee kuna watu walisoma humu jamii forum na walichapwa zaid ya pale lakn huko secondary nimefundsha na msingi nimefundsha swala lipo hivi

Swala la nidhamu kwa mwanafunz n kitu cha kwanza ili matokeo yawe sawa
Hapo mwl anasema utoro/mtoto n mtoro na hana sababu za msingi akampa 5
Kuwamilik hawa watoto wa secondary kuna htaji nguvu kubwa sana
Adhabu nyingne kwa mwanafunz kunawez mplekea akakosa vpnd vingne drs
Wanafunz wa secondary wanakuja hawan nidhamu ata kidogo


#kaata ualimu ni MATESO

Sichochei kipgo ila sisi umu tumepgwa sana na bila hvyo tusengekuw hapa tulipo


#kuchapa ni mateso kwa mwl
#mwl acha kuchapa hutofukuzwa kazi
#fikafundisha ondoka pokea mshahara


Kizazi cha mashoga hiki kuanzia wazaz hadi watoto wao

Yani mimi nashangaa watu kulaumu humu sisi tumechapwa zaidi ya hivyo na hakukua na shida
Kwanza mimi nisingechapwa nisingekuwa nilipo
Walimu acheni kujipendekeza fanyeni kazi ya kufundisha tu acheni wazazi wadeal na mitoto yao
 
Sahihi
Walimu ni washamba sana

Sasa hapo alikuwa anarekodi ili iwe nini?

Na kama alikuwa anajua kitendo anachofanya hakina shida kwanini akifanya kwa kificho kwanini hakufanya wenzake wote waone?

Kinachotakiwa hapa ni kuanzia na hawa walimu wapenda kurekodi

Mbona hatujawahi kuona nesi akifanya procedures kwa mgonjwa akarekodiwa na wenzake?

Tuna haki ya kusema kada ya walimu imeingiliwa na watu wasiojielewa

Sasa hapa inatakiwa kuanza na walimu wanaorekodi na kusambaza bila yeye kuchukua hatua kwanza kunusuru ile hali

Huyu anataka kuonekana yeye ni shujaa kumbe ndezi mmoja
 
Mbona hizo video hao watoto wamechapwa kawaida sana? Mnataka watoto waleleweje nyie vijana wakisasa?

Hili Taifa mnalipeleka wapi? Msizani mnawakomoa walimu Ila nao ni binadamu Kuna siku wataghairi kufanya hayo wanayoyafanya na amini nawaambia hali itakuwa mbaya sana kwa malezi ya watoto wetu.

Imeandikwa "usimnyime mtoto fimbo"
Hatujafikia bado ustaarabu huo wakutochapana hasa kwa mazingira na aina ya shule zetu za kayumba na malezi mabovu ya wazazi.

Tushirikiane navwalimu ktk kuboresha heshima na maisha ya watoto wetu.
 
Enheee mwalimu utakae kuja kumzingua mwanangu aise nachoma shule moto ,siku nitakayo enda kumuandikisha mwanangu shule iwe msingi au sec natoa onyo kabisa viboko mwisho 4 vikizidi apo wataniona mbaya ,
Walimu wakiambizana mwanao wasimchape umefikiri mtoto atafaulu?, Asipoifanya kazi ya mwalimu sawa,asipoandika sawa asipohudhuria vipindi sawa , akicheza darasani sawa, akifika shule kwa kuchelewa fresh

Na kama ni WA kike akiwa anapigwa miti na wanazengo sawa tu


UACHE KUHEMKA

Mwalimu hawezi kupewa amri na mzazi
 
acha ujinga wewe dingi, utapambana na policcm ukalipishwa mavioo na mamaeza ukajuta milele.

Kisha maticha wanategea na mitoto yenu inalamc C ya kiswahili pekee na f zote.
Mjinga baba yako. Pili nakwambia ukimpiga mtoto wangu hivyo nitapambana na wewe mwalimu mtaani usiku au nyumbani kwako. Maiti yako itaokotwa mitaani
 
Asee kuna watu walisoma humu jamii forum na walichapwa zaid ya pale lakn huko secondary nimefundsha na msingi nimefundsha swala lipo hivi

Swala la nidhamu kwa mwanafunz n kitu cha kwanza ili matokeo yawe sawa
Hapo mwl anasema utoro/mtoto n mtoro na hana sababu za msingi akampa 5
Kuwamilik hawa watoto wa secondary kuna htaji nguvu kubwa sana
Adhabu nyingne kwa mwanafunz kunawez mplekea akakosa vpnd vingne drs
Wanafunz wa secondary wanakuja hawan nidhamu ata kidogo


#kaata ualimu ni MATESO

Sichochei kipgo ila sisi umu tumepgwa sana na bila hvyo tusengekuw hapa tulipo


#kuchapa ni mateso kwa mwl
#mwl acha kuchapa hutofukuzwa kazi
#fikafundisha ondoka pokea mshahara


Kizazi cha mashoga hiki kuanzia wazaz hadi watoto wao
Wazazi nyoronyoro na watoto mayai mayai

Hapo wala hakuna cha kutisha kabisa hizo fimbo n za kawaida tu ndio maana hata madogo hawajalia
 
Back
Top Bottom