tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Dah! Kizazi hiki ndio maana matoto yetu yanakuwa mashoga. Mnataka walimu wawapetipeti wanafunzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Kizazi hiki ndio maana matoto yetu yanakuwa mashoga. Mnataka walimu wawapetipeti wanafunzi.
Kwanza inaitwa failers na sio failures. Failers tunashinda Jamiiforums. Au unafikiria failers ni yule wa darasani? Unadhani Dewji anashinda humu? Sisi ndio failers.1. Matokeo ya kuajiri failures, watu wenye stress zao tayari...
2. Ukosefu wa mamlaka za uwajibishaji tangia ngazi ya chini, waalimu kama hao wanaomwaga viboko iliopaswa kuwe na mamlaka ya kuwawajibisha tokea ngazi ya shule...
Ni kweli. Wazazi wa akina Junia.Tatzo watu hawaji na mtazamo Chanya zaid yakuweka sababu ambazo hazina uhusiano
Kwanza inaitwa failers na sio failures. Failers tunashinda Jamiiforums. Au unafikiria failers ni yule wa darasani? Unadhani Dewji anashinda humu? Sisi ndio failers.
Mchelea mwana kulia hulia yeye......... Spare the rod spoil the child....!Enheee mwalimu utakae kuja kumzingua mwanangu aise nachoma shule moto ,siku nitakayo enda kumuandikisha mwanangu shule iwe msingi au sec natoa onyo kabisa viboko mwisho 4 vikizidi apo wataniona mbaya ,
Walim Kwa kuchongeana hamjambo.kama huna vipindi nenda nyumbani kalishe kuku.😂😂😂😂😂😍
Huyo mwalimu aliyekutumia badala ya kuchukua hatua kwanza na yeye ni mpumbavu tu.Usikimbilie kulaumu bro,unafikiri mimi naweza angalia na nikamuacha,alie record ni miongoni mwa hao waalim nimetumiwa tu fanya namna huu unyama uishe sio kunilaumu mimi.Shule ipo kusini inaitwa Qassim Majaliwa Secondary school...so kazi kwako,sijaileta hapa ili iwe watu ku enjoy..we need to do something wewe na mimi.
Asee kuna watu walisoma humu jamii forum na walichapwa zaid ya pale lakn huko secondary nimefundsha na msingi nimefundsha swala lipo hivi
Swala la nidhamu kwa mwanafunz n kitu cha kwanza ili matokeo yawe sawa
Hapo mwl anasema utoro/mtoto n mtoro na hana sababu za msingi akampa 5
Kuwamilik hawa watoto wa secondary kuna htaji nguvu kubwa sana
Adhabu nyingne kwa mwanafunz kunawez mplekea akakosa vpnd vingne drs
Wanafunz wa secondary wanakuja hawan nidhamu ata kidogo
#kaata ualimu ni MATESO
Sichochei kipgo ila sisi umu tumepgwa sana na bila hvyo tusengekuw hapa tulipo
#kuchapa ni mateso kwa mwl
#mwl acha kuchapa hutofukuzwa kazi
#fikafundisha ondoka pokea mshahara
Kizazi cha mashoga hiki kuanzia wazaz hadi watoto wao
Walimu ni washamba sana
Sasa hapo alikuwa anarekodi ili iwe nini?
Na kama alikuwa anajua kitendo anachofanya hakina shida kwanini akifanya kwa kificho kwanini hakufanya wenzake wote waone?
Kinachotakiwa hapa ni kuanzia na hawa walimu wapenda kurekodi
Mbona hatujawahi kuona nesi akifanya procedures kwa mgonjwa akarekodiwa na wenzake?
Tuna haki ya kusema kada ya walimu imeingiliwa na watu wasiojielewa
Sasa hapa inatakiwa kuanza na walimu wanaorekodi na kusambaza bila yeye kuchukua hatua kwanza kunusuru ile hali
Huyu anataka kuonekana yeye ni shujaa kumbe ndezi mmoja
Kabisa aisee.Enheee mwalimu utakae kuja kumzingua mwanangu aise nachoma shule moto ,siku nitakayo enda kumuandikisha mwanangu shule iwe msingi au sec natoa onyo kabisa viboko mwisho 4 vikizidi apo wataniona mbaya ,
Walimu wakiambizana mwanao wasimchape umefikiri mtoto atafaulu?, Asipoifanya kazi ya mwalimu sawa,asipoandika sawa asipohudhuria vipindi sawa , akicheza darasani sawa, akifika shule kwa kuchelewa freshEnheee mwalimu utakae kuja kumzingua mwanangu aise nachoma shule moto ,siku nitakayo enda kumuandikisha mwanangu shule iwe msingi au sec natoa onyo kabisa viboko mwisho 4 vikizidi apo wataniona mbaya ,
Mjinga baba yako. Pili nakwambia ukimpiga mtoto wangu hivyo nitapambana na wewe mwalimu mtaani usiku au nyumbani kwako. Maiti yako itaokotwa mitaaniacha ujinga wewe dingi, utapambana na policcm ukalipishwa mavioo na mamaeza ukajuta milele.
Kisha maticha wanategea na mitoto yenu inalamc C ya kiswahili pekee na f zote.
Wazazi nyoronyoro na watoto mayai mayaiAsee kuna watu walisoma humu jamii forum na walichapwa zaid ya pale lakn huko secondary nimefundsha na msingi nimefundsha swala lipo hivi
Swala la nidhamu kwa mwanafunz n kitu cha kwanza ili matokeo yawe sawa
Hapo mwl anasema utoro/mtoto n mtoro na hana sababu za msingi akampa 5
Kuwamilik hawa watoto wa secondary kuna htaji nguvu kubwa sana
Adhabu nyingne kwa mwanafunz kunawez mplekea akakosa vpnd vingne drs
Wanafunz wa secondary wanakuja hawan nidhamu ata kidogo
#kaata ualimu ni MATESO
Sichochei kipgo ila sisi umu tumepgwa sana na bila hvyo tusengekuw hapa tulipo
#kuchapa ni mateso kwa mwl
#mwl acha kuchapa hutofukuzwa kazi
#fikafundisha ondoka pokea mshahara
Kizazi cha mashoga hiki kuanzia wazaz hadi watoto wao
Du hawa walimu watapata taabu sana. Hii shule ipo mkoa na halamashauri gani mkuu?