DOKEZO VIDEO: Wazazi angalieni Walimu Shule ya Sekondari Majaliwa

DOKEZO VIDEO: Wazazi angalieni Walimu Shule ya Sekondari Majaliwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu ? ili asimuumize mtoto !! Serikali iwe inawafukuza hata wanaorekodi ! Jifunzeni kuonyana na kuelemishana nyie kwa nyie.
Yaani kama una uwezo wa kushuhudia na kurekodi mtoto anapigwa hivyo , maana yake hata wewe ni katili unamrekodi katili mwenzio.

Huku mtandaoni tumewachoka ! Kila siku nyie kurekodiana tu au ndo fashion Walimu
Sijaona Cha ajabu kabisa, kwa sie madingi zenu,tuliosoma miaka ya 90, hizo stiki za kawaida kabisa,
Enzi hizo, ukichelewa kufika shule, stiki, ukishindwa SoMo stiki, Tena Mwalimu anachagua kwa kupiga, mgongoni, nyuma ya viganja vya mikono kwa kutumia rula.

Na hapo, Binti Bado hajaombwa mambo na ticha.
 
Usikimbilie kulaumu bro,unafikiri mimi naweza angalia na nikamuacha,alie record ni miongoni mwa hao waalim nimetumiwa tu fanya namna huu unyama uishe sio kunilaumu mimi.Shule ipo kusini inaitwa Qassim Majaliwa Secondary school...so kazi kwako,sijaileta hapa ili iwe watu ku enjoy..we need to do something wewe na mimi.
Hujawahi kufundisha nyumban kwa majaliwa wewe hao watoto hawataki Elimu kabisa .... Unamfundisha mtoto mpk kikwapa kinanuka jasho na mtoto hataki kusema ameelewa au hajaelewa ,<<yaaan Bila hivyo hatuendi hapo hamna fimbo kabisa.... Na majaliwa mwenyewe anajua jamaa zake hawataki Elimu.....
 
akimpiga mwanangu hivi napambana naye mtaani usiku..wengine wataogopa. Serikali can not help, lililoo ni wazazi kupambana na washenzi hawa
Mjengee shule mwanao umfundishe nyumbani
 
Mtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu ? ili asimuumize mtoto !! Serikali iwe inawafukuza hata wanaorekodi ! Jifunzeni kuonyana na kuelemishana nyie kwa nyie.
Yaani kama una uwezo wa kushuhudia na kurekodi mtoto anapigwa hivyo , maana yake hata wewe ni katili unamrekodi katili mwenzio.

Huku mtandaoni tumewachoka ! Kila siku nyie kurekodiana tu au ndo fashion Walimu
Unaweza kukuta aliyerekodi nae ni Mwalimu ila ana bifu na huyo Mwalimu anayewachapa hao watoto,na lengo lake kuu ni kumtia matatizoni huyo Mwalimu wala sio eti anawaonea huruma hao watoto,

Mtoto anachapwa hivyo kisha yeye anarekodi tu? How?
 
Mtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu ? ili asimuumize mtoto !! Serikali iwe inawafukuza hata wanaorekodi ! Jifunzeni kuonyana na kuelemishana nyie kwa nyie.
Yaani kama una uwezo wa kushuhudia na kurekodi mtoto anapigwa hivyo , maana yake hata wewe ni katili unamrekodi katili mwenzio.

Huku mtandaoni tumewachoka ! Kila siku nyie kurekodiana tu au ndo fashion Walimu
Bila kurekodiwa ungejuaje tukio limetokea? Huu ni ushahidi usio na shaka
 
Enheee mwalimu utakae kuja kumzingua mwanangu aise nachoma shule moto ,siku nitakayo enda kumuandikisha mwanangu shule iwe msingi au sec natoa onyo kabisa viboko mwisho 4 vikizidi apo wataniona mbaya ,
Fanya homeschooling Kwa mwanao, afanye mitihani kama private candidate
 
Asilimia kubwa ya waalimu hawafuati maadili na taratibu za ufundishaji kwa sababu wengi waliingia hii fani kama kimbilio baada ya kukosa kazi nyingine.
 
akimpiga mwanangu hivi napambana naye mtaani usiku..wengine wataogopa. Serikali can not help, lililoo ni wazazi kupambana na washenzi hawa
anatengenezewa mazingira magumu kila kosa stiki, hachaguliwi kujibu swali, akiropoka class namtimua, kila mifano mibaya anatolewa, sisahihishi daftari lake na mwanafunz anayeshrikiana nae anachezea mboko za kutosha.

Kwa psychological torture hiyo ndan ya mwez anaporomoka kitaaluma na mwe9 unaofuata anaachia shule.
 
Asilimia kubwa ya waalimu hawafuati maadili na taratibu za ufundishaji kwa sababu wengi waliingia hii fani kama kimbilio baada ya kukosa kazi nyingine.
acha wivu kwa unaowaz kila kitu kinadharia. Walimu wana ufauli kati ya point 28 hadi 7.

Kada nyingne zina 33 to 29 za cert.
 
Wazazi walindeni waoto wenu, mtotot akikushitakia lala mbele na mwalimu mhusika. Kwa sasa hatuna walimu, ni takataka za kutesa watoto. Chukueni sheria mkononi mnusuru watoto wenu! Serikali does not care , wanusuru watoto wenu!
acha ujinga wewe dingi, utapambana na policcm ukalipishwa mavioo na mamaeza ukajuta milele.

Kisha maticha wanategea na mitoto yenu inalamc C ya kiswahili pekee na f zote.
 
Mtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu ? ili asimuumize mtoto !! Serikali iwe inawafukuza hata wanaorekodi ! Jifunzeni kuonyana na kuelemishana nyie kwa nyie.
Yaani kama una uwezo wa kushuhudia na kurekodi mtoto anapigwa hivyo , maana yake hata wewe ni katili unamrekodi katili mwenzio.

Huku mtandaoni tumewachoka ! Kila siku nyie kurekodiana tu au ndo fashion Walimu
Halafu ukute nae ni mwalim wa hapo hapo ujinga wa Hali ya juu sana
 
Mtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu ? ili asimuumize mtoto !! Serikali iwe inawafukuza hata wanaorekodi ! Jifunzeni kuonyana na kuelemishana nyie kwa nyie.
Yaani kama una uwezo wa kushuhudia na kurekodi mtoto anapigwa hivyo , maana yake hata wewe ni katili unamrekodi katili mwenzio.

Huku mtandaoni tumewachoka ! Kila siku nyie kurekodiana tu au ndo fashion Walimu
mtu anataka kuua mtu watu wapo wanaangalia
 
Asee kuna watu walisoma humu jamii forum na walichapwa zaid ya pale lakn huko secondary nimefundsha na msingi nimefundsha swala lipo hivi

Swala la nidhamu kwa mwanafunz n kitu cha kwanza ili matokeo yawe sawa
Hapo mwl anasema utoro/mtoto n mtoro na hana sababu za msingi akampa 5
Kuwamilik hawa watoto wa secondary kuna htaji nguvu kubwa sana
Adhabu nyingne kwa mwanafunz kunawez mplekea akakosa vpnd vingne drs
Wanafunz wa secondary wanakuja hawan nidhamu ata kidogo


#kaata ualimu ni MATESO

Sichochei kipgo ila sisi umu tumepgwa sana na bila hvyo tusengekuw hapa tulipo


#kuchapa ni mateso kwa mwl
#mwl acha kuchapa hutofukuzwa kazi
#fikafundisha ondoka pokea mshahara


Kizazi cha mashoga hiki kuanzia wazaz hadi watoto wao
 
Back
Top Bottom