Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu wanatoa amri kwa walimu vizuri tu maana ndio mteja .Njoo apa Sinza tower high school kama kuna upuuzi wa fimbo kama izo .mtu anatoa ada m4 unaleta upuuzi ,ni shule za kimaskin ndio kuna upuuzi mwingi
Zaa wako mtandike mnarudisha hasira kwa watoto wenzio nyie vipi na shule za kimaskini ndio kuna huu upuuzi elimu bure.Kuwa na adabu bwana mdogo,kama sio huyo mwalimu unadhani ungeweza kuandika huo ujinga ulioupost?
Imebidi tu nichekeHisia mgando hujui umri na mazingira ya alie record. Hii hali ipo Tanzania nzima,kumbuka na yeye recordr anawatoto wanasoma shule tofauti asingependa yawatokee haya,hujalengwa wewe muuza mahindi ya kuchoma hapa, wenye mamlaka wakiona labda itawaingia imani waondoe hizi adhabu.
Wafiche kama wenzao police mpaka wauwe ndio ijulikane,husapoti wakati unachukia kwanini imerikodiwa??? Kuwa na imani na wengine sio lazima awe mwanao..kama wewe ulipitia mateso sio lazima wengine wapitie.Hivi viskwambi vya kugaiwa vitafukuzisha waalimu wengi.
Mimi siwezi kusema lolote maana sijui hao wanafunzi walikosea nini.
Binafsi mzee wangu alikuwa mkali sana kwenye mslezi kuliko hao waalimu ila alinisaidia maana huenda ningeangukia kwenye makundi mabaya. Hii haimaanishi basupport hiyo adhabu.
Siutumei huo muda kusoma hata kitabu my friend, kuliko kumfuatilia mtu wewe sindio ulianza au???Nakufatilia Muda sio mrefu utajua unamtukana Nani utakuwa mfano
Unatukana watu unadhani huwezi kukamatwa?Siutumei huo muda kusoma hata kitabu my friend, kuliko kumfuatilia mtu wewe sindio ulianza au???
Wewe si ndio ulianza tukukate sasa???Unatukana watu unadhani huwezi kukamatwa?
nisingechapwa nisingekuwa nilipo
Huwezi kuona kosa la mwalimu kwa sababu akili huna.hapo kosa la mwalimu au walimu liko wapi matoto hayachapwi .
Sheria inasemaje?Ao watoto wamefanya ngono darasani sasa mnataka wawaache hivi hivi ???
Haya, geuka.Darasani siwezi na nikifanya hivyo naomba mnipe bakora za ugoko
Ndo maana sioni huruma kwa wanaorekodi kujumuishwa kwenye haya matukio.Mtu unamuona anamchapa mtoto sana au anapitiliza ! Kwanini huo muda wa kumrekodi usitumie kumnyang'anya fimbo huyo mwalimu?
Ili asimuumize mtoto !! Serikali iwe inawafukuza hata wanaorekodi ! Jifunzeni kuonyana na kuelemishana nyie kwa nyie.
Yaani kama una uwezo wa kushuhudia na kurekodi mtoto anapigwa hivyo , maana yake hata wewe ni katili unamrekodi katili mwenzio.
Huku mtandaoni tumewachoka ! Kila siku nyie kurekodiana tu au ndo fashion Walimu
Brilliant ideas!!! haya ndio mawazo tunataka,tuachana na fikra mgando kwavile mzazi alichapwa basi watoto lazima wachapwe,bahati mbaya watu wa aina yako ni wachache sana nchi hii,ila kwavile mnasimamia haki Mungu yupo pamoja na nyinyi,wanatushinda hata Kenya wamefuta hizi adhabu kitambo.Huwezi kuona kosa la mwalimu kwa sababu akili huna.
Sheria ya viboko ifuatwe. Kuchapa mwisho VIBOKO VINNE tena kwa IDHINI YA MKUU WA SHULE NA KWA MAANDISHI.
Na viboko havitolewi hovyo hovyo. Ni mpaka kuwe na KOSA KUBWA la kinidhamu na liidhinishwe kwamba kweli hili ni KOSA KUBWA LA KINIDHAMU kwa mujibu wa SHERIA ZA SHULE ZILIVYOAINISHA MAKOSA HAYO.
Ni marufuku kuchapa watoto kama ng'ombe. Ukikiuka utashughulikiwa.
Na mimi nasema wawashughulikie maana tumechoshwa na walimu wahuni.
FUKUZA KAZI!!! Na ikibidi hata kufunguliwa MASHTAKA YA JINAI.
Hatuwezi kuwa na taifa la KUPIGANA MAFIMBO na MIJELEDI.
Usiwazulie hawakufanya ngono kosa lao walichelewa kuingia Darasani...Ila walimu tuliofanikisha hili tunamshukuru waziri Mkuu tayari amelishughulikia.ilikuwa inatuumiza rohozetu kuona mateso waliokuwa wakipitia watoto,Again thank you Jamiiforums thank you Majaliwa you really deserve to be prime minister,ombi letu hii iwe nchi nzimaAo watoto wamefanya ngono darasani sasa mnataka wawaache hivi hivi ???
Shukran za dhati kwako brother from another mother, Divisheni Foo!!! Waziri Mkuu amelishughulikia na yule Mwalimu aliekuwa akionekana kama anauwa Nyoka keshatolewa,waalim tuliofanikisha tunasema Asanteni wewe ni miongoni mwa waliochukizwa sio hao waliokuwa wakibeza kama hawana watoto. Ni matumaini yetu yaliowakuta watafute kazi za kufanya sio kutafuta mchwawi kwani mchawi ni wewe mwenyewe,huwezi piga mtoto wa mtu kiasi kile halafu uachwe. Hapa lengo letu walimu ieleweke sio kumfukuzisha kazi bali ni huruma kwa watoto wetu.. Mungu ibaliki Tanzania Mungu mbaliki Waziri Mkuu.Wewe hufanyagi ngono?