tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
Hivi viskwambi vya kugaiwa vitafukuzisha waalimu wengi.
Mimi siwezi kusema lolote maana sijui hao wanafunzi walikosea nini.
Binafsi mzee wangu alikuwa mkali sana kwenye mslezi kuliko hao waalimu ila alinisaidia maana huenda ningeangukia kwenye makundi mabaya. Hii haimaanishi basupport hiyo adhabu.
Mimi siwezi kusema lolote maana sijui hao wanafunzi walikosea nini.
Binafsi mzee wangu alikuwa mkali sana kwenye mslezi kuliko hao waalimu ila alinisaidia maana huenda ningeangukia kwenye makundi mabaya. Hii haimaanishi basupport hiyo adhabu.