Haina kunguni hiyo kaniki? Halafu mila haziruhusu mtu mwenye mapungufu ya kimwili kuwa kiongozi. Zamani walikuwa wanawaondoa kisiri watoto wachanga wenye mapungufu
Haina kunguni hiyo kaniki? Halafu mila haziruhusu mtu mwenye mapungufu ya kimwili kuwa kiongozi. Zamani walikuwa wanawaondoa kisiri watoto wachanga wenye mapungufu
Unajua unaweza kujua huyu mtu anamapunggufu kiasi gani kichwani kwa jinsi tu ya matamshi yake.Kweli unaweza kumdhihaki mtu hali yake bila kuangalia madhila aliyo pitia nakuwalaani watu walio mfikisha hapo. Aisee. Wal,, a sisemi sana.
Wanaochekesha ni wafuasi wake. Wakati Mama Samia alipopewa Uchifu Hangaya walidharau na kukebehi kuwa ni ujinga. Leo anapewa Lissu wanashangilia! Kweli Prof. Safari hakukosea kuwaita Nyumbu!!
Haina kunguni hiyo kaniki? Halafu mila haziruhusu mtu mwenye mapungufu ya kimwili kuwa kiongozi. Zamani walikuwa wanawaondoa kisiri watoto wachanga wenye mapungufu