Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daagaa mchele kwa mihogoTafta maisha mkuu kuna chakula cha anasa hapo aseee , kwahiyo yeye hata kula asile kisa ni mbunge
Mkuu mwache ashibe apate akili ya kutafutia hao wenye dhiki!
Daagaa mchele kwa mihogo
Ungekuwa na Iq kubwa ungeelewaJenga hoja mkuu
Kwahiyo hata kula ni kusahau wananchi wako? Wacha upuuzi!
Dagaa mchele na mihogoKwahiyo ukiwa mbunge wa CCM ufunge na kuomba...? Hiyo ipo chini sana nyie makamanda hewa wa kaki
Ipo siku utakuwa na Iq kubwaKwahiyo hata kula ni kusahau wananchi wako? Wacha upuuzi!
Kunywa bia mbili na valuu ndogo ni anasa?Wanasema Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake! We ulitaka ale ugali mlenda kisa wapiga kura wake wanaishi maisha magumu? Mbona wewe uko mjini Kila siku unaponda Bata ilihali wazazi wako na nduguzo huko kijijini kwenu wanalala njaa?.
Mungu katuumba hivyo, kuzidiana uwezo ni kawaida na haitafutika mpaka Dunia inaisha
Ni anasa mkuuKunywa bia mbili na valuu ndogo ni anasa?