Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Mkuu Ghiti Milimo umependa nini kwenye jibu hilo? SijaelewaAsante...
Kimbelembele chako cha kujibu, jibu sasa. Mbona unaanza kuzunguka mbuyu. Una makalio makubwa? Swali aulizwe mwingine wewe unadandia kujibu.Vifuatavyo husema akili ya mtu..
Maneno yake kwa wengine..
Majibu yake kwa maswali ya wengine..
Mavazi yake...
Tabia zake....
Maeneo anayopendelea kwenda..
Majukwa ni ya mijadala... yeyote anauliza na yeyote anajibu.... ILA KWENYE MAJIBU YA MASWALI TUNATOFAUTIANA BUSARA....Kimbelembele chako cha kujibu, jibu sasa. Mbona unaanza kuzunguka mbuyu. Una makalio makubwa? Swali aulizwe mwingine wewe unadandia kujibu.
Jibu sasa sio unaanza kuleta vijinukuu vya kizungu ulivyoviiba mtandaoni; una makalio makubwa?Majukwa ni ya mijadala... yeyote anauliza na yeyote anajibu.... ILA KWENYE MAJIBU YA MASWALI TUNATOFAUTIANA BUSARA....
Wengine majibu yao ni MATUSI yanayokwenda hata kwa mtu asiye na ID humu JF.... mfano mama, baba au ndugu mwingine yeyote asiyejua JF kunafanyika nini...
..."Emotional intelligence can predict one’s ability to navigate stressful situations, and the ability to learn to think critically".....
Hivi wameachana kweliiiii??Toka zari na daimond waachane kafurahi kweli kachizika anarusha vijembe ,wanawake kama wema wengi kweli anachizika kwenye hakuna[emoji23][emoji23][emoji23]
Busara yangu inaniambia niache kujibizana mambo yasiyo na tija... NIMEFIKA TAMATIJibu sasa sio unaanza kuleta vijinukuu vya kizungu ulivyoviiba mtandaoni; una makalio makubwa?
Akili imekurejea. Safi sana.Busara yangu inaniambia niache kujibizana mambo yasiyo na tija... NIMEFIKA TAMATI
[emoji23][emoji23]asanteUtamuelewaje na wewe ni mwanamke mwenzie..!!??
Nimefurahishwa na jibu la AHSANTE, badala ya kumjibu kwa tusi! Jibu limeonyesha UTOFAUTI WA HEKIMA!Mkuu Ghiti Milimo umependa nini kwenye jibu hilo? Sijaelewa
Watalifumua wataliacha kama kawaida tu...He he he he
naona kafurahi kweli kweli aiseee
Mpaka kufikia hatua kuanika wo wo wo hadharani, si mchezo